Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Shukrani mkuu. Nilikuwa offline kwa muda kadhaa, acha nikitulia nianze na hii
 
Nakuelewa sana dakitare, tuko hapa kupunguza stress sasa wanapotokea wajinga wachache kuchafua hali yahewa inakera mno

Mtu kashupaza mshipa wa shingo ilimradi kukera tu wengine [emoji35]

BTN ushajipatia jezi ya mnyama weye?
 
watu wengine kweli sio wastaarabu sasa wewe unamuonya kama nani??
 
Naongea kwa sauti ya Iryn,YOU ARE A REAL GENTLEMAN.

Tuna heshimu muda wako,option yoyote ambayo ni best kwako tutaipokea,

Ukiweza kutokusoma comments itakua ni nzuri sana,na utawashinda wajinga wajinga wanaojiona wajuaji(wanakera sana,saana yani)

Big Up sana mwamba,ntakutafuta siku moja tukae mahali tunywe Heineken,bia yetu pendwa

Huku vijijini tunakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano
 
Wala uandishi huu wa kihemko hafanani na mtu mwenye Hela kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Nakusihi tena ndugu mwandishi utakaporudi na hizo episodes zako hakikisha unaandika vitu vya kweli usitufanye watu wajinga hapa, yaani tukae tusome story tukiamini tunajifunza kumbe wewe unatudanganya hilo halitakubalika.
Aisee ila mwamba umemkalia kooni mwana kama kakuibia[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 

Iryn a real gentleman?????? It doesn’t settle well. Gentlewomen nacho ni kiingereza
 
Yah! huoni unavyochukulia serious?!

Unapofuatilia post ya mwanaume, hasa story yake na kuanza kuleta zogo, huoni uko serious?!
Huwezi hata kuanzisha thread maana huna jipya la kushare zaidi ya kuhangaika na walizoanzisha wenzao.
Tulia tu, kuna watu tuko serious na jf, tunaweza kupata jambo jipya hapa, hata burudani tu.
 
Mkuu Mimi nitakutetea hapa naweka na kiti nitaua mtu we endelea Mimi nipo mbele yako
 
Watu kama hawa natamani tusiwajibu wala kuwapa attention yoyote ile. Ni kutupotezea nguvu na muda

Mbaya zaidi tunaharibu Uzi wawatu kwa kuendelea kujibizana nao. Heri tuwapotezee tu

Dakitare Watu8 fanya mpango nami nivae jezi mwanalusanyi mwenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…