Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

"Hapa ndo nikajua kumbe nilikua nimewekewa mtego kama ningekua natabia za kifisi kama wale wazee wa kula Kimasihara bhasi kibarua kingeota nyasi."
Hapo team rikiboy ishakuweka katika namna ya kukupa maua yako yani wapo kikaoni lkn lengo kuu bado ngoja waendelee kukutazama vizuri kuliko mwanzo.

Team DeepPond badae watakuja kusema neno kuhusu prisca kama ingefaa kuwa mchepuko au ulizingua

Watu wa kiroho wanajua kabisa ulivyo mla iryn ndy mwisho wa kupata pesa mana ni jaribu lazima ufunge zipo hata kama mna vesha mkiwa wote.

Ngoja nimtag huyu kamanda hapa mana simuoni.
Analyse
Shukrani mkuu. Nilikuwa offline kwa muda kadhaa, acha nikitulia nianze na hii
 
Valeee, kuna watu wako na stress za maisha sasa wakiwa nyuma ya keyboard ndio muda waoutumia kushare stress zao na watu wengine...

JF hapa wengi tunatumia usernames ambazo sio majina wala utambulisho wetu rasmi nje ya hapa, sasa kwa mtu anayelia lia kwamba stori ni FAKE, je vipi kuhusu jina lako unalotumia hapa jukwaani ambalo nalo ni utambulisho FAKE tu...

Mwandishi yeyote hapa akiandika maisha yake halisi, lazima atatwist baadhi ya matukio kwa nia ya ama kunogesha kidogo stori na kuepusha kujulikana...

Kama stori ni FAKE, yes it might be FAKE then IGNORE...

Kama stori ni REAL, yes it might be REAL then ENJOY...
Nakuelewa sana dakitare, tuko hapa kupunguza stress sasa wanapotokea wajinga wachache kuchafua hali yahewa inakera mno

Mtu kashupaza mshipa wa shingo ilimradi kukera tu wengine [emoji35]

BTN ushajipatia jezi ya mnyama weye?
 
Acha kususa mtoto wa kiume, kama kuna mahali unawanywesha watu chai lazima uambiwe ukweli, kuna matukio mengi umeyaongeza chumvi na nimelijua hilo kutokana na kwamba huko Dar kabla wewe hujaja chuo kusoma tayari mishe hizi za kuzunguka tumezifanya kwa hiyo ukijaribu kujaza chumvi kidogo tu sisi tunajua.

Matukio yako mengi hasa episode za mbele yamekosa uhalisia kwa sababu umeandika kwa lengo la kujionyesha kuwa wewe ni gentleman, kila demu anakutaka wewe n.k. Ingekuwa kweli usingeachwa na demu wako wa chuo. Halafu kwa nini kila siku wateja wako ni wanawake tu tena wale wenye uwezo wao? Hakuna kupindisha lugha wewe ni muongo.

Tukirudi upande wako halisi ni kuwa wewe ni kweli ni taxi driver na mitaa mingi unaijua kutokana na kazi yako ya udereva ila matukio mengi umeyapika sio halisi, madereva wengi mna laana hiyo ya kuongea uongo kisa mnakutana na watu tofautitofauti.

Anyway usiwanyime watu wako mwendelezo wa hadithi ila nakuonya acha kuandika vitu vya uongo, simulia yale matukio halisi tu bila kujaza sukari au chumvi. Lakini pia ina option ya kuwaomba radhi hadhira yako then uwambie kuwa unachanganya matukio ya kweli na uongo ili kunogesha story, kufanya hivyo sio dhambi.

Mwisho kwa wale wote wanaodhani niko hapa eti namuonea wivu mleta simulizi, acheni huo ujinga. Nimeruka na wanawake wakali Dubai na Marekani miaka hiyo kwa hiyo sina nikichoacha katika mapenzi, ninachofanya ni kuitetea hadhira ya jf wasidanganywe maana huu mtandao sio fb useme utakuja utaandika uongo halafu watu wakuchekee. Humu wako watu critical thinkers ambao kuwadanganya sio rahisi.
watu wengine kweli sio wastaarabu sasa wewe unamuonya kama nani??
 
Mdugu zangu nitamalizia hii story sababu ya heshima ya JF. Kuna watu wengi wamenitumia ujumbe na watu ambao nawaheshimu wameomba nimalizie story.

Nimegundua story inafuatiliwa na watu wengi sana mpaka sasa tuna views almost 400k ni watu wengi sana.

Nitawapa mwendelezo na huu mwezi 8 story yetu itakuwa imeisha yote.

Kitu kingine sitajibu swali lolote kwa mtu atakayeuliza, ila nitajibu maswali yote baada ya kumaliza kuandika story.

Naomba heshima iwepo kwenye uzi kusiwepo na watu kutukanana sio jambo jema sisi sote ni Watanzania japo kuna foreigners pia wanapitia huu uzi. Kwa mtu ambaye atakiuka na kuleta taharuki nitamreport kwa mods waangalie namna ya kudeal naye.

Kama unaona huwezi kwenda na hii story unaweza uka ignore huu uzi, ukaacha watu ambao wako tayari kusoma.

Nilikua naomba mfanye maamuzi nyinyi wenyewe;

1. Niandike Epsode zote then nizipost?

2. Ndani ya week niwe napost episode 3?

Option ipi kwenu itafaa?

BY INSIDER MAN
Naongea kwa sauti ya Iryn,YOU ARE A REAL GENTLEMAN.

Tuna heshimu muda wako,option yoyote ambayo ni best kwako tutaipokea,

Ukiweza kutokusoma comments itakua ni nzuri sana,na utawashinda wajinga wajinga wanaojiona wajuaji(wanakera sana,saana yani)

Big Up sana mwamba,ntakutafuta siku moja tukae mahali tunywe Heineken,bia yetu pendwa

Huku vijijini tunakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano
 
Usifikiri wote tuna maisha magumu kama wewe fala, niko nje ya nchi kabla hujajiunga jf, nina biashara za kueleweka hapo mjini kwenu, nina exposure kubwa na mwaka huu nilikuwepo huko kununua mashamba morogoro. Usifikiri tunavyocomment wote tuko kama wewe jobless, wengine jf ni zaidi ya mtandao ndio maana tunapoona kuna wajinga wanakuja kuharibu mtandao kwa kuleta uongo hatuwezi kuvumilia.View attachment 2703002
Wala uandishi huu wa kihemko hafanani na mtu mwenye Hela kabisa
 
Muhimu uwe unaandika vitu vya kweli la sivyo spana ziko palepale, hatuwezi kukuona unawadanganya watu eti kwa sababu tu waburudike ikiwa mwenyewe umesema ni story ya kweli. Ukidanganya matukio tutaendelea kukusakama maana ndio kazi yetu kurekebisha tabia. Mtu mzima kudanganywa tena na mtu hata humjui ni ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Nakusihi tena ndugu mwandishi utakaporudi na hizo episodes zako hakikisha unaandika vitu vya kweli usitufanye watu wajinga hapa, yaani tukae tusome story tukiamini tunajifunza kumbe wewe unatudanganya hilo halitakubalika.
Aisee ila mwamba umemkalia kooni mwana kama kakuibia[emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X6816 using JamiiForums mobile app
 
Naongea kwa sauti ya Iryn,YOU ARE A REAL GENTLEMAN.

Tuna heshimu muda wako,option yoyote ambayo ni best kwako tutaipokea,

Ukiweza kutokusoma comments itakua ni nzuri sana,na utawashinda wajinga wajinga wanaojiona wajuaji(wanakera sana,saana yani)

Big Up sana mwamba,ntakutafuta siku moja tukae mahali tunywe Heineken,bia yetu pendwa

Huku vijijini tunakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano

Iryn a real gentleman?????? It doesn’t settle well. Gentlewomen nacho ni kiingereza
 
Nitafute attention Kwa lipi..Kwan tunajuana umu?? hapa mm ni sehem ya kupumzisha akili tu,,kama ww unachukulia seriously jf pole zako .wajinga kama ww ndio mnakimbilia umu na kuchukulia mambo seriously..

Sijawah anzisha Uzi umu na sitofanya never coz najua wajinga umu wengi kama ww huwez nishaur chochote.. simply your nothing umo kichwan.
Yah! huoni unavyochukulia serious?!

Unapofuatilia post ya mwanaume, hasa story yake na kuanza kuleta zogo, huoni uko serious?!
Huwezi hata kuanzisha thread maana huna jipya la kushare zaidi ya kuhangaika na walizoanzisha wenzao.
Tulia tu, kuna watu tuko serious na jf, tunaweza kupata jambo jipya hapa, hata burudani tu.
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Mkuu Mimi nitakutetea hapa naweka na kiti nitaua mtu we endelea Mimi nipo mbele yako
 
Yah! huoni unavyochukulia serious?!

Unapofuatilia post ya mwanaume, hasa story yake na kuanza kuleta zogo, huoni uko serious?!
Huwezi hata kuanzisha thread maana huna jipya la kushare zaidi ya kuhangaika na walizoanzisha wenzao.
Tulia tu, kuna watu tuko serious na jf, tunaweza kupata jambo jipya hapa, hata burudani tu.
Watu kama hawa natamani tusiwajibu wala kuwapa attention yoyote ile. Ni kutupotezea nguvu na muda

Mbaya zaidi tunaharibu Uzi wawatu kwa kuendelea kujibizana nao. Heri tuwapotezee tu

Dakitare Watu8 fanya mpango nami nivae jezi mwanalusanyi mwenzangu
 
Back
Top Bottom