Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ushauri kwa watunzi/wasimuliaji wote, njia nzuri ya kuepukana na mambo ya kukatishwa tamaa kabla ya lengo la stori yako kuitimiza jitahid uandike yote na uitume yote.

Ushauri kwa wasomaji, kwenye kila stori kuna la kujifunza iwe niya uongo ama ukweli, kikubwa tuburudike.
Tuthamini kujitolea kwa waandishi wa humu jf.
 
Mkuu acha ushamba ficha ujinga huo,, Kuna apartments kibao masaki Huku nazifahamu kodi 1500-3000usd na Bdo mnaishi watu wengi na mnaonana vzuri tu
Muambie huyo. Sent staff wetu wanakaa apartment za watu wengi na ni USD 3000 kwa mwezi..
 
kama upo seriously na jf..WEWE ni mwehu uliefeli Kila kitu ktk maisha .pole Yako..jf ilikua real before 2015...toka mda uo Hadi sasa wanaojiunga ni weupe kichwan kama WEWE unashabikia vistory vya kijinga...!!!

Siwezi kushare chochote coz wapumbavu ni wengi humu ndani Zaid ya werevu..hakuna watachoelewa Zaid ya ushabiki wa kijinga kama wako
 
Naona maisha yamekuchapa kweli kweli unatafuta pa kutolea stress
Kwani umelazimishwa usome simple katafute uzi mwingine
Kila mtu na mtazamo wake..asa ujinga wako unataka nishabikie uongo niwe mwendawazimu na mpumbav kama wewe..big no!!

Tusilazimishane ujinga ,,wewe kama umechagua kuwa jinga keep it up.
 
Kila mtu na mtazamo wake..asa ujinga wako unataka nishabikie uongo niwe mwendawazimu na mpumbav kama wewe..big no!!

Tusilazimishane ujinga ,,wewe kama umechagua kuwa jinga keep it up.
Sasa kwanini unafuatilia ujinga kama kweli wewe ni mwerevu? Kila mtu ana mtazamo ila huu mtazamo wako ni wakijinga na kifala sana. Ukiona haikufai achana nayo soma vichwa vinavyokufaa mambo ya uber waachie wanauber
 

JF imeweka Forums za kila aina usipangie mtu nini asome, kama wewe unaona hapakufai unang’ang’ania nini? Si uende majukwaa ya werevu huko
 
Sasa kwanini unafuatilia ujinga kama kweli wewe ni mwerevu? Kila mtu ana mtazamo ila huu mtazamo wako ni wakijinga na kifala sana. Ukiona haikufai achana nayo soma vichwa vinavyokufaa mambo ya uber waachie wanauber

Mtu kama huyu kubishana naye ni kumpa tension tu, just ignore him.
 
Mimi ndio maana humu huwa nawaletea mastory ta kijinga tu yasio na maana
 
Wewe ni kibogoyo kama vibogoyo wengine huna makali. Mjanja poli wewe
 
Yaani sie binadamu!!!, mtu huna mpango nayo stori unaona chai, kwanini usiachane nayo, haya mmefukuza mwamba imebaki kupiga mastori kwenye Uzi wa watu!! , HAYA ANDIKENI ZENU AMBAZO SIO CHAI TUSOME!!
 
Ndugu zangu nitakuwa nashusha Episode 3 kila week.

Ijumaa, Jumamosi & Jumapili

Tukutane ijumaa.
Asante Mkuu,ubarikiwe!Story inatuondolea stress za kazi na maisha,achana na hao wanaojifanya wajuaji,sisi wengine tunaburudika na kujifunza.
 
Yaani sie binadamu!!!, mtu huna mpango nayo stori unaona chai, kwanini usiachane nayo, haya mmefukuza mwamba imebaki kupiga mastori kwenye Uzi wa watu!! , HAYA ANDIKENI ZENU AMBAZO SIO CHAI TUSOME!!
Uzi umevamiwa na wasiojielewa,sasa si wangeenda kwenue siasa kuchallenge km wanajua sana,kwani story zote au movies zinakuwaga real?
 
Ndugu zangu nitakuwa nashusha Episode 3 kila week.

Ijumaa, Jumamosi & Jumapili

Tukutane ijumaa.
Tunashukuru hata kwa kuturudia kaka mkubwa... Nilikuwa na"scroll tu kutafuta mwendelezo wa stori nakuta maujinga + mabishano ya hovyo ya baadhi ya memba..... Keep it up kaka mkubwa
 
Karibu sana Musoma
 
Uzi uko na 351k views and over 1k comments!

Kuukatisha kwa sababu na ngedere wawili watatu ni kuikosea heshima hadhira yako. Anyway, naheshimu maamuzi yako. I'm out!


NB: Hassan Killo, wewe ni msengerema.
Mura Ebu tuma picha ya huyo mkungu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…