Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Ushauri kwa watunzi/wasimuliaji wote, njia nzuri ya kuepukana na mambo ya kukatishwa tamaa kabla ya lengo la stori yako kuitimiza jitahid uandike yote na uitume yote.

Ushauri kwa wasomaji, kwenye kila stori kuna la kujifunza iwe niya uongo ama ukweli, kikubwa tuburudike.
Tuthamini kujitolea kwa waandishi wa humu jf.
 
Mkuu acha ushamba ficha ujinga huo,, Kuna apartments kibao masaki Huku nazifahamu kodi 1500-3000usd na Bdo mnaishi watu wengi na mnaonana vzuri tu
Muambie huyo. Sent staff wetu wanakaa apartment za watu wengi na ni USD 3000 kwa mwezi..
 
Yah! huoni unavyochukulia serious?!

Unapofuatilia post ya mwanaume, hasa story yake na kuanza kuleta zogo, huoni uko serious?!
Huwezi hata kuanzisha thread maana huna jipya la kushare zaidi ya kuhangaika na walizoanzisha wenzao.
Tulia tu, kuna watu tuko serious na jf, tunaweza kupata jambo jipya hapa, hata burudani tu.
kama upo seriously na jf..WEWE ni mwehu uliefeli Kila kitu ktk maisha .pole Yako..jf ilikua real before 2015...toka mda uo Hadi sasa wanaojiunga ni weupe kichwan kama WEWE unashabikia vistory vya kijinga...!!!

Siwezi kushare chochote coz wapumbavu ni wengi humu ndani Zaid ya werevu..hakuna watachoelewa Zaid ya ushabiki wa kijinga kama wako
 
Naona maisha yamekuchapa kweli kweli unatafuta pa kutolea stress
Kwani umelazimishwa usome simple katafute uzi mwingine
Kila mtu na mtazamo wake..asa ujinga wako unataka nishabikie uongo niwe mwendawazimu na mpumbav kama wewe..big no!!

Tusilazimishane ujinga ,,wewe kama umechagua kuwa jinga keep it up.
 
Kila mtu na mtazamo wake..asa ujinga wako unataka nishabikie uongo niwe mwendawazimu na mpumbav kama wewe..big no!!

Tusilazimishane ujinga ,,wewe kama umechagua kuwa jinga keep it up.
Sasa kwanini unafuatilia ujinga kama kweli wewe ni mwerevu? Kila mtu ana mtazamo ila huu mtazamo wako ni wakijinga na kifala sana. Ukiona haikufai achana nayo soma vichwa vinavyokufaa mambo ya uber waachie wanauber
 
kama upo seriously na jf..WEWE ni mwehu uliefeli Kila kitu ktk maisha .pole Yako..jf ilikua real before 2015...toka mda uo Hadi sasa wanaojiunga ni weupe kichwan kama WEWE unashabikia vistory vya kijinga...!!!

Siwezi kushare chochote coz wapumbavu ni wengi humu ndani Zaid ya werevu..hakuna watachoelewa Zaid ya ushabiki wa kijinga kama wako

JF imeweka Forums za kila aina usipangie mtu nini asome, kama wewe unaona hapakufai unang’ang’ania nini? Si uende majukwaa ya werevu huko
 
Sasa kwanini unafuatilia ujinga kama kweli wewe ni mwerevu? Kila mtu ana mtazamo ila huu mtazamo wako ni wakijinga na kifala sana. Ukiona haikufai achana nayo soma vichwa vinavyokufaa mambo ya uber waachie wanauber

Mtu kama huyu kubishana naye ni kumpa tension tu, just ignore him.
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Mimi ndio maana humu huwa nawaletea mastory ta kijinga tu yasio na maana
 
Wazee nimerudi, vipi tuanzie tulipoishia au nilegeze kama jamaa aendelee na story? maana hata mimi ni fan wake ila sipendagi uongo. Nina uwezo wa kumwambia aendelee au asiendelee na akakubali.

Angalizo: Atakayenijibu vibaya ndio mbaya wenu asiyetaka story.
Wewe ni kibogoyo kama vibogoyo wengine huna makali. Mjanja poli wewe
 
Yaani sie binadamu!!!, mtu huna mpango nayo stori unaona chai, kwanini usiachane nayo, haya mmefukuza mwamba imebaki kupiga mastori kwenye Uzi wa watu!! , HAYA ANDIKENI ZENU AMBAZO SIO CHAI TUSOME!!
 
Ndugu zangu nitakuwa nashusha Episode 3 kila week.

Ijumaa, Jumamosi & Jumapili

Tukutane ijumaa.
Asante Mkuu,ubarikiwe!Story inatuondolea stress za kazi na maisha,achana na hao wanaojifanya wajuaji,sisi wengine tunaburudika na kujifunza.
 
Yaani sie binadamu!!!, mtu huna mpango nayo stori unaona chai, kwanini usiachane nayo, haya mmefukuza mwamba imebaki kupiga mastori kwenye Uzi wa watu!! , HAYA ANDIKENI ZENU AMBAZO SIO CHAI TUSOME!!
Uzi umevamiwa na wasiojielewa,sasa si wangeenda kwenue siasa kuchallenge km wanajua sana,kwani story zote au movies zinakuwaga real?
 
Ndugu zangu nitakuwa nashusha Episode 3 kila week.

Ijumaa, Jumamosi & Jumapili

Tukutane ijumaa.
Tunashukuru hata kwa kuturudia kaka mkubwa... Nilikuwa na"scroll tu kutafuta mwendelezo wa stori nakuta maujinga + mabishano ya hovyo ya baadhi ya memba..... Keep it up kaka mkubwa
 
Kufanya biashara na wewe sio sababu ya kunianika, mimi ni verified member na na watu wengi tu najuana nao physically including you, sasa kunijua jina na details zangu kadhaa usidhani unayajua maisha yangu yote.

Nilikuwa msamvu najenga hostel ya mzee pale MUM ndio nikawasiliana nawewe wakati nje ya hapo hatujuani kihivyo
Karibu sana Musoma
 
Uzi uko na 351k views and over 1k comments!

Kuukatisha kwa sababu na ngedere wawili watatu ni kuikosea heshima hadhira yako. Anyway, naheshimu maamuzi yako. I'm out!


NB: Hassan Killo, wewe ni msengerema.
Mura Ebu tuma picha ya huyo mkungu .
 
Back
Top Bottom