Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

INSIDER MAN chukua mauwa yako mdogo wangu Familia kwanza aise...wakina Iryn wapo wengi sana hata wakina Junior hawatawamaliza...na wanazaliwa Kila siku.
Hawatawamaliza, Ila watafika nao mbali...


Hata wewe, pambana kula japo hautamaliza ila utafika nao mbali [emoji1787]
 
Insiderman alipitia msoto wa jobless! Sasa kila fursa ya hela ikijitokea hakai kizembezembe! Hata kumuuza Iryn iliapate hela naona poa tu! Iryn ni mwanamke kama mwanamke yeyote kuliwa ataliwa tu! Sasa kwanini nisimuuze akaliwe na mtu aliyekatika nafasi ya mimi kutengeneza hela?? Hebo!! Kwani ni ndugu yangu au mwanangu!! Ebu tuwe serious!
 
Iryn n muhimu sana kwa mwamba ktk mtonyo. Na angetulia hata miradi ya iryn msimamizi n insider.
 
Inawezekana pia alijua alivyouzwa kwa Muajemi, kwa hiyo alikuwa anamtafutia sababu ya kuachana naye
 
ngoja niweke kituo hapa
 
Hapo Iryn kamuonea huruma jamaa[emoji23]...Kaona kumkalisha masaa zaidi ya moja mme wa mtu noma. Kajishtukia. Kaona jamaa kawa kama ndugu (anaona atamkalisha ndugu yake, tena mume wa mtu masaa zaidi ya moja kumsubiria).

My view.
 
AM WELL EDUCATED MAN , 25 years by age , Student at DIT institute of Technology mwaka wa Mwisho batchelor wa Civil Engineering, Am in need of party time job mpaka mwezi wa 1 mwakani… Nina leseni ya gari and someone who can be trusted, kama unagari na hautumii sana let’s have a deal tufanye kazi.. au nyengine inayo fanana na hii…
Natanguliza shukrani [emoji120].
0766566085 Dar es salaam
 
A Dit student, halafu ushakuwa well educated man? Mkuu hongera sana [emoji119][emoji119]
 
Hapo Iryn kamuonea huruma jamaa[emoji23]...Kaona kumkalisha masaa zaidi ya moja mme wa mtu noma. Kajishtukia. Kaona jamaa kawa kama ndugu (anaona atamkalisha ndugu yake, tena mume wa mtu masaa zaidi ya moja kumsubiria).

My view.
Nahisi hiyo pia ni sababuz aliona kuwa na ukaribu kama walivyokuwa wanakaa Kwa irylin haikuwa poa. Ni kama mtu anaejutia
 
Kama tulivyokuwa tunasubiri kuliwa kwa Edna na Roma kwenye story ya singanojr siku alivyoliwa ilikuwa sherehe[emoji3][emoji3]
@singanojr mwenyewe yupo hapa analia alosto anaomba story iendelee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Reactions: ram
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…