Lubebenamawe
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 1,973
- 2,239
Lakini katika takwimu hizo kumbuka kuna hanithi, mashoga, waseja (mapadre), na pia kuna wasiokuwa na nguvu za kutosha, walioamua kutojihusisha na maswala ya mapenzi, wafungwa ...Hiyo ndio population ya wanaume na wanawake duniani una lingine mkuuView attachment 2783683
Gari Ina umbo la kibabe sema ndio hivyo yaani.Kwa msioijua duals ndio hii View attachment 2783710
Pole kwa Junior na muombea afya njemaNashukuru Mungu Jana JUNIOR ali recover na amepona kabisa. Navyoandika hapa tuko Mlimani city tunazurura. [emoji120]
Mdada umeuwaaaaa[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]chukuwa maua pia [emoji253] [emoji257] [emoji7]Kwa uzoefu Wangu mdogo Ile Raha yake haielezeki mkuu kila mwanamke ana staili yake ya kufika kilele huyo wako hio ndio njia yake ya ufikaji kilele pole sana kwa kuteseka sio yeye ni ule utamu anaoupata! !
Yeah mwanamke akikojoa kisawasawa anaeza zima au tulia kulala kimyaaa kwa dakika kadhaa then badae unarudi kawaida, anaweza sikia njaaa pia anaweza hisi kiu ya maji!!
Mwingine akiwa anakojoa kama hivo anaweza kusukuma mwanaume mwingine anamkumbatia kwanguvuuuu mwingine anakufinya ile sanaa mwingine analia anatoa machozi kabisa mwingine anakutukana kuna wa kukung'ata n.k n.k kila ke na hekaheka zake za ufikaji!
Ila kiukweli the feeling haielezeki!
Mtoto wa Mjini halelewagi aisee ingawa waleaji wanamsaka kwa fujo. Tabia za wanaolelewa mbona ziko wazi tu. Kwa lugha nyingine, uShirika wa INSIDER MAN na IRENE tunaita CORPORATE AMALGAMATION ambamo aidha utoe mtaji au expertise. Naona INSIDER MAN anatoa expertise, professionalism na good will.kwahiyo unamwambiaje Insider kuwa analelewa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ooohhh poleni sana kaka Mungu amponye mtoto wetu arudi kua na afya boraNdugu wana JF saa 1 usiku nilipokea taarifa za kuumwa kwa Junior wakati wanampeleka hospitaal akazidiwa so amelazwa hapa. Nimeambiwa ni homa maana juzi tu hapa ametoka uchagani na mama yake, kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza ruhusiwa.
Maombi yenu [emoji120]
Rejea SAYANSI KILIMO ya darasa la TANO mwaka 1987. Dume moja linatosha majike 25 ya . . .[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio Jane aache upuuzi Iryn na mama J wanatosha
Sasa unabisha au?? Muulize kama haitwi FettyAcha uongo
Weka akaunti yake ya insta kwanzaSasa unabisha au?? Muulize kama haitwi Fetty
Saluti kwako Mkuu[emoji871]Mambo unayoyasikia kwa uwazi ya aina hiyo ni machache sana kuliko yaliyoko huko gizani. Jane ni mtu mzima anajua dunia ilivyo. Huko sirini mtu anamkunja dada mtu na mdogo mtu,mama mkwe,mpaka binamu kama wote wanavutia. Na muda mwingine wote wanajuana,wanavumiana tu kidizain. Dunia uionavyo kwa nje sivyo ilivyo kwa ndani. Kuna mambo ya kutisha huko ndani. Ukiyasikia unaweza uzimie. Na jua zipo siri zinakuzunguka hapo hapo ulipo na hutakuja uzisikie mpaka kifo chako
Poleni familia ya INSIDER MAN kwa wahka mlopitia jana. Namshukuru ALLAH SWT kwa kumuafu Junior wetu. Salaam kwa Mama J.Ndugu wana JF saa 1 usiku nilipokea taarifa za kuumwa kwa Junior wakati wanampeleka hospitaal akazidiwa so amelazwa hapa. Nimeambiwa ni homa maana juzi tu hapa ametoka uchagani na mama yake, kama mambo yatakuwa mazuri tunaweza ruhusiwa.
Maombi yenu [emoji120]
Gari nzuriKwa msioijua duals ndio hii View attachment 2783710
I hope hii itakuwa ni story bora ya muda wote... kwenye jukwaa la mahusiano..... hakuna wa kubishaMiezi 3 uzi una views 3 million, sio jambo dogo. Kuna watu wana nyota by nature
LERNING IS EASIER THAN UNLEARNING ikiwa na maana Kujifunza jambo jipya ni rahisi kuliko kufuta jambo ambalo ulishajifunza.Mkuu mnaposema nature ya mwanaume ni kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja mkae mkijua, ni sawa na kusema na mwanamke naye awe na mwanaume zaidi ya mmoja maana wanaume wanafanya ngono na hao hao wanawake hawafanyi na viumbe vingine, kwa sababu ratio ya population duniani kwa jinsia zote ni almost iko sawa ila wanaume wamezidi kidogo
So mnapotunga hivyo vitheory vyenu kuwa mwanaume ana tamaa hatosheki na mwanamke mmoja na kusingizia nature, mkumbuke kwamba hiyo hiyo nature imewasaliti kwenye upande wa population maana kama nature ingekuwa upande wenu, population ya wanawake ingetakiwa kuiacha mbali sana ya wanaume ili hiyo theory yenu iwe logical and applicable
Yani kama kila mwanaume atataka kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja basi automatically mnakuwa mnalazimisha na mwanamke naye awe na mwanaume zaidi ya mmoja, kitu ambacho huwa hamtaki kusikia wala kukubaliana nacho ilihali ndio uhalisia wenyewe huo yani kwa kifupi idadi ya watu wote duniani na hata nchi moja moja inawakataa na inapingana na hiyo theory yenu, hiyo asili inaweza kuwa imempatia mwanaume tamaa kubwa ila imesahau kumpatia na idadi kubwa ya wanawake wa kumtosha so jitafakarini
Nilikuwa na mahusiano na mdogo mtu tukaachana ila bado anaonyesha ananipenda. Dada mtu amenitamkia live kuwa anahitaji faragha na mimi.Ambaye bado anaonyesha hisia waziwazi ni nani happy?
mawasiliano moja uelekeo ubungo terminal ya zamani. bila shaka hili gari lilikuwa linauzwa.Kwa msioijua duals ndio hii View attachment 2783710