Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Lesson learnt:
The way this "true" story is arranged and explained, makes you look like a person who has seen books, but the way you act, is like an idiot.
 
Lesson learnt:
The way this "true" story is arranged and explained, makes you look like a person who has seen books, but the way you act, is like an idiot.
I think wanaume wote tunafanana thinking ways zetu.
 
Habari wakuu!....
Tusubiriapo next ep., waweza pitia huu uzi...... full of lessons


Link:
 
Hapana INSIDER MAN kazidi, kibaya zaidi he cannot make decision on his own, he depends on consultancy.
Wakati mwingine unajichanganya mpaka inafika sehemu unakua huna namna ya kufanya uamuzi. Sasa una mchepuko, ana mimba, unatembea na mfanyakazi wake.
Hapo tayari una mke, mtoto na huwezi muomba mama ushauri au Mzee wako, na kwao yeye ndo wa kiume mkubwa. Lazima uwe limited na option unazokua nazo kuhusu kuomba ushauri. Simcheki sana maana labda ninachomzidi ni kwamba huwa narudi tu Kwa Yesu na kumwambia tu Bwana Mkubwa Yesu nimefika mwisho wa kufikiria niongoze.
 
We Spider yaani maisha yako bhana, yamekaa kikahaba, kusaidia wanawake, kula hotelini, kulomba, kugombana, kutapeli mapenzi,kununua magari, kukopa kopa, nakkunyegesha hadhira ya hwa vijana wa kitanzania wanaowaza pombe na mapenzi, binafsi nkikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, ni imani yangu Marry atakula dudu, asalamalekooooooo
 
Moja kati ya nyuzi zenye mafunzo sana hasa kwa waajiriwa na wanaotaka kuajiriwa.
 
I
LI UJUE HII NI STORY YA KUTUNGA INAISHIA PAZURI KABLA YA KUANZA EPSODE NYINGINE ILI KUMVUTIA ZAIDI MSOMAJI AENDELEE KUFUATILIA😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…