Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Huyo Kenge anajikutaga sana,mpaka abembeleeezwe
Uzi wenyewe tunasoma bure, hatumlipi wala JF hawamlipi but bado unamtukana! Interesting.
I can bet; INSIDER MAN ana andikaga hu uzi akiwa kajificha mama J asione ana post nini mtandaoni; mmejiuliza siku 1 mama J aje agundue kama mwamba kapiga show na madem hao wote nini kitatokea kwa ndoa yake? Halafu baadhi kapanga kabisa kuwapiga na mimba? What about Asmaa, remember hadi pilau la Christmas alikulaga kwa mama J but mama J hata hajui kama yule nae alikua mke mwenza. Wanaume wenzie tunamuelewa sana; tumsubiri. Again, kipindi cha likizo cha review za paper la NBAA (Nani Bingwa Aje Aone ) kimekwisha, dogo bado anapambania CPA yake na ana watoto 3 wanaojulikana, tumvumilie.
 
Uzi wenyewe tunasoma bure, hatumlipi wala JF hawamlipi but bado unamtukana! Interesting.
I can bet; INSIDER MAN ana andikaga hu uzi akiwa kajificha mama J asione ana post nini mtandaoni; mmejiuliza siku 1 mama J aje agundue kama mwamba kapiga show na madem hao wote nini kitatokea kwa ndoa yake? Halafu baadhi kapanga kabisa kuwapiga na mimba? What about Asmaa, remember hadi pilau la Christmas alikulaga kwa mama J but mama J hata hajui kama yule nae alikua mke mwenza. Wanaume wenzie tunamuelewa sana; tumsubiri. Again, kipindi cha likizo cha review za paper la NBAA (Nani Bingwa Aje Aone ) kimekwisha, dogo bado anapambania CPA yake na ana watoto 3 wanaojulikana, tumvumilie.
Kuna mtoto wa 3?? Ukiacha wa Irene Mama J kuna mwingine 😁shangazi sina habari 😁
 
Kuna mtoto wa 3?? Ukiacha wa Irene Mama J kuna mwingine 😁shangazi sina habari 😁
Watoto wengine huaga wanajulikana siku mwanaume anapelekwa kaburini. Anyway, aliwahi kuliandika hili wakati kaianza season 2; juzi pia hapa alitupia message za mwanamke 1 ambaye inahisiwa atakua mama J so huenda tayari J ana wadogo zake 2.
 
Watoto wengine huaga wanajulikana siku mwanaume anapelekwa kabuni. Anyway, aliwahi kuliandika hili wakati kaianza season 2; juzi pia hapa alitupia message za mwanamke 1 ambaye inahisiwa atakua mama J so huenda tayari J ana wadogo zake 2.
Ok Asante nakumbuka alisema kapata mtoto nikajua Irene kajifungua ila tujiulize yanini wakati INSIDER MAN yupo
 
Mary haaaaaaaaa!!!
Na kujua hapewi vitu kisa Iryn yeye bado yumo.. Duh!!!!
Udespereti gani huo na mwanaume ameisha lala na mdogo wake.. Yanatoka lini kwenye story Prisca amdake amkomeshe..

Jane kungwi haswaaaa

Iryn atakudaka kusema au atanyamaza nawe akutumie tu atengeneze pesa. Manager/Director

Ila anapolipa siku hizi unasema mkalipia 😅😅😅
Enjoy life 🍸🍻
 
I can imagine hiyo siku mama J anajua umezaa na Iryn ataumia kiasi gani!! Hasa ukizingatia huyo Iryn anajidai kwenda kumsabahi.. yeye ataona alikuwa anasanifiwa tu..Na huwezi kumficha milele ipo siku tu atajua tu..
..hilo litakuwa ni pigo kubwa sana kwake..
Hivi unajua ni kwa nini wanawake wengi wa kichaga wanabaki wajane? Yani mwanamke wa kichaga uwe umeanza naye maisha from zero kisha mkafanikiwa mkawa na majumba, mabiashara na magari n.k na baadae akagundua mumewe amezaa na wanawake wengine huko nje... Aise japo sio wote lakini wengi wao kinachofuatia ni watu kuimba parapanda italia na Padri atasema mwanga wa milele umwangazie....
 
Back
Top Bottom