Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Beautiful without brain 😁maisha yangu sizalishwi bila ndoa toka usichana nakwepa na sio ndoa ili mradi ndoa yaani nikuone unafaa kuwa baba na mume hauna mambo mengi,mume wa kwanza tuliowana tukajaaliwa watoto wa 2 tukaachana alipo anza mambo ya wanawake nikasepa mume wa 2 alificha makucha kukaa nae ndani alinionesha mapicha picha nikasema sizai ng'ooo 2013 tukaachana nikasema sasa natuliza komwe langu mpaka 2021 nikaolewa na mume wa sasa tuna watoto wa 2 Alihamdulillah hapa naona kifo tena ndo kitatutenganisha mume wangu katulia hana mambo mengi kazini home baba bora na mume bora kwangu may be umri wake unachangia kashamaliza ujana.nae kuniowa kasota sanaa miaka 10 anaimba aniowe hapo nachuja nani awe mume wangu mpaka kifo 😁nilikuwa pisi kali sasa mshangazi.
Hongera, nawanao bila shaka watafata mkondo
 
Mary haaaaaaaaa!!!
Na kujua hapewi vitu kisa Iryn yeye bado yumo.. Duh!!!!
Udespereti gani huo na mwanaume ameisha lala na mdogo wake.. Yanatoka lini kwenye story Prisca amdake amkomeshe..

Jane kungwi haswaaaa

Iryn atakudaka kusema au atanyamaza nawe akutumie tu atengeneze pesa. Manager/Director

Ila anapolipa siku hizi unasema mkalipia 😅😅😅
Enjoy life 🍸🍻

Ni WIVU tu
 
Hongera, nawanao bila shaka watafata mkondo
Amiin Baba yangu alikuwa Mcha Mungu si unajua wazee wa Kimanyema halafu Mama msomali tena yule mwenyewe Somaliland ilichangia sana kwenye malezi wakali na mimba Mungu anipe afya na umri hint yangu nimlee kwenye misingi mizuri itakayo msaidia kwenye maisha yake.
 
Mh! Huu msiba wa mwanamke uliyempenda alifariki kiukweli pamenipa mshtuko. Ila yote kwa yote njia za Mungu hazichunguziki
 
Mary haaaaaaaaa!!!
Na kujua hapewi vitu kisa Iryn yeye bado yumo.. Duh!!!!
Udespereti gani huo na mwanaume ameisha lala na mdogo wake.. Yanatoka lini kwenye story Prisca amdake amkomeshe..

Jane kungwi haswaaaa

Iryn atakudaka kusema au atanyamaza nawe akutumie tu atengeneze pesa. Manager/Director

Ila anapolipa siku hizi unasema mkalipia 😅😅😅
Enjoy life 🍸🍻
Hata wewe ukikutana na jamaa akakukuna vizuri huwezi kumuacha; wanawake tunawajua
Na subiria usumbufu wa Mary

Wanaume wengi humu pia, ulalamika wanapotafutwa kwa simu kila sekunde. Mbona Prisca haukupenda tabia yake king'ang'a hata Maza alikupa warning. Na huyu Mary si damu hiyo hiyo!!! Ila kazidisha kabisaaaa..

Natumaini ulimuacha asepe zake..
Mary anajua mwamba hayupo na mkewe, Mary anaonekana ni matured zaidi kuliko Prisca. Bado namuona Mary kama mwanamke anaestahili kua na mwenzi wa kujenga nae maisha kuliko kuzalishwa na mpita njia. Kitu wanacho fanana hi familia ya kina Mary ni hiki, "Wakipenda huaga wanapenda mazima, wanazama moja kwa moja" ukiwa na mke wa namna hi, ni kama upo paradise ya duniani but ukija mkosea mwanamke wa hivo, wanaumiaga sana. Niliwahi kua na kamchepuko ka hivo, kalinikubalia kunipa mtoto kabisa, baadae distance iltutenganisha na kamepata mtu though bado kananipigaga vizinga kwa mbaali na mimi sina hiyana, nakatumiaga tu
 
Back
Top Bottom