Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Hongera, nawanao bila shaka watafata mkondo
 

Ni WIVU tu
 
Hongera, nawanao bila shaka watafata mkondo
Amiin Baba yangu alikuwa Mcha Mungu si unajua wazee wa Kimanyema halafu Mama msomali tena yule mwenyewe Somaliland ilichangia sana kwenye malezi wakali na mimba Mungu anipe afya na umri hint yangu nimlee kwenye misingi mizuri itakayo msaidia kwenye maisha yake.
 
Kaka kwenye hii story kwa namna tulivyotoka nayo mbali tunaomba Iryn asije akafa , nibora ubadilishe hata kwakutudanganya ila asife 😁

Kila mtu atavuta mzee baba...
 
Mh! Huu msiba wa mwanamke uliyempenda alifariki kiukweli pamenipa mshtuko. Ila yote kwa yote njia za Mungu hazichunguziki
 
Hata wewe ukikutana na jamaa akakukuna vizuri huwezi kumuacha; wanawake tunawajua
Mary anajua mwamba hayupo na mkewe, Mary anaonekana ni matured zaidi kuliko Prisca. Bado namuona Mary kama mwanamke anaestahili kua na mwenzi wa kujenga nae maisha kuliko kuzalishwa na mpita njia. Kitu wanacho fanana hi familia ya kina Mary ni hiki, "Wakipenda huaga wanapenda mazima, wanazama moja kwa moja" ukiwa na mke wa namna hi, ni kama upo paradise ya duniani but ukija mkosea mwanamke wa hivo, wanaumiaga sana. Niliwahi kua na kamchepuko ka hivo, kalinikubalia kunipa mtoto kabisa, baadae distance iltutenganisha na kamepata mtu though bado kananipigaga vizinga kwa mbaali na mimi sina hiyana, nakatumiaga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…