Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


Mary amemtamani mwanaume wa mdogo wake.. Hilo hata useme nini na sifa zipi yeye ni tamaa tu za kufunzwa na Jane. Tabia mbaya na chafu sana, roho mbaya huyo ana wivu na mdogo wake. Hata kama yukoje ni bomu ndani ya familia yao.

Hakuna cha wife material mtu ukajivunia.. shemeji wa mwanaume wake atamlala tu.

Tabia bila kujiheshimu ni sifuri kwangu.

Wewe ni player kisa ukaenda kununua vitu vya ndani, nanyi wanaume wategemea wanawake muishi mna majambo ya ajabu kisa K tu.

Mwanaume nae tamaa tu hajiheshimu kwa hili.
 
Asante kabisa.
 
Niseme tu ukweli mimi huyu Iryn ningetupa ndani nae jumla. Maisha ni kile kitu kinakupa furaha.
 
Kawaida sana mama na sio siku hizi tu kuanzia enzi za mababu zetu. Mimi Babu yangu alimuoa mdogo wa mke wake. Tena mke wake ndie aliependekeza mumewe amuoe na mdogoake.

Kuna kipindi nilikuwa kwenye mahusiano na msichana mmoja kisu hatari. Kipindi anasoma kila anapoenda likizo ilikuwa lazima akae wiki 1, 2 gheto ndio aende home kwao. Siku moja akaja na mdogoake. Nae mdogoake alikuwa kisu balaa. Na mimi kipindi hicho nakaa gheto room moja. Usiku namkagua dadake kumbe na yeye anasikilizia yuko macho. Anatuangalia huku na yeye anajishiksshika ikulu yake. Dadaake hakuwa na tatizo. Sijui walipanga. Basi ikawa some three pale. Na haikuishia hapo. Ilikuwa akitangulia mdogo kurudi shule lazima apitie gheto,atakaa siku mbili ndio anarudi shule. Baada siku mbili Tatu anakuja dadaake. Siku zingine weekend wanakuja wote kushinda ghetto. Mpaka wanamaliza masomo ya secondary mwendo ulikuwa ni huo huo.

Na jua tu yanayoonekana kwa either kwa kuandikwa ya wazi kabisa kama alivyofanya INSIDER MAN ni inaweza kuwa 5% tu ya yale yaliyofanyika au yanayoendelea kufanyika bila kujulikana sehemu mbalimbali duniani. Kuna zaidi sana.

Ni nyie tu wanawake wa aina ya Beijing ndio mnajifanya mna misimamo isiyo tibu mioyo yenu. Mnabaki mna hasira hasira. Ksbb kile unachokitamani kinachoweza kukupa furaha hukitaki sbb ya jeuri zenu na misimamo ya Beijing. Mmechangia sana kuiharibu dunia nyie wa Beiging. Hata hawa kataa ndoa chanzo inasadikiwa ni wanawake waliolishwa uBeiging.
 
Wakati nakaribia kufunga ndoa. Trainer mmoja aliyekuja ofisi niliyokuwa alipopata habari hizo aliniuliza swali moja,

Trainer: "Huyo unayemuoa ana wadogo zake?

Mimi: ndio.

Trainer: mchumba wako ni wangapi kuzaliwa?

Mimi: Wa kwanza.

Trainer: Kuna yeyote kati ya wadogo zake ameolewa.

Mimi: Hapana.

Trainer: Kuwa makini kuna uwezekano mkubwa wa kupita nao wote kwa kuwa wanaingiwa na wivu au kujaribu kuona nini ambacho ndugu yao amekupendea. Baada ya observation wengine watanasa jumla na wengine kuedelea na maisha yao. Mimi hapa nilipo ninatembea na mama na mtoto. Binti alitambua mahusinao yangu na mama yake baadae akatengeneza mazingira ya kuniingiza mtegoni. Nilianzisha mahusiano ya siri na mtoto huku nikiendelea na mahusino na mama yake. Wote wako vizuri kifedha hawanitegemei kwa chochote zaidi ya wao kunifinance kwa kuwa wanafanya kazi wakiwa na vyeo kwenye NGO kubwa tofauti nchini.

Aliyosema alikuwa sahihi kabisa niliitwa bae and husband wa familia. Ilinihitaji kufunga zip kwelikweli kushinda vishawishi. Ugomvi wa ndugu kutokana na kuingiliana kwenye mahusiano ni balaa.

Mwanaume akipendwa sana na binti mzuri. Ndugu na marafiki wanajilengesha pia just to experience something special alichonacho huyo mwanaume.
 
Kaka kwenye hii story kwa namna tulivyotoka nayo mbali tunaomba Iryn asije akafa , nibora ubadilishe hata kwakutudanganya ila asife [emoji16]
Hapo, kuna mama yake mzazi, kuna Dada yake, kuna mama j, iryn sasa ni yupi kati ya hao, sijui ngoja tuone atakuwa ni nani, hapo, maana mpaka sasa mwanamke aliyefariki ni sanch lakini huyu alikuwa ni rafiki wa biashara tuu,
 
Bibie; hivi ukimsoma INSIDER MAN na uhusiano wake na Mary unaweza kudhani mwamba kamtaka Mary kwasababu ya vitu/pesa za Mary? Bado jamaa kampa Tsh 500k but kalala nae almost a week kitanda kimoja chenye ukubwa wa 4x6; hiki kitanda hata ufanyaje bado mtagusana tu, Mary ndio alilazimisha sana kuishi kwa mwamba; katika mazingira hayo dogo angefanyaje? Wanaume tunajuana. Again I can understand Mary, alishindwa ku control hali yake kwa Insider; mimi kama mwanaume bado namwona Insider anaweza sana ku control tamaa za mwili wake, karuka sana viunzi vya zinaa; tena wakati mwingine anafanya hivo while ana muda mrefu hajaiona K. Kumbuka walivo fahamiana na Prisca, mkewe alikua kwao, Prisca was so horny na mwili wake ulikua unatamanisha but dogo alishinda; uaminifu wake wa kumtunzia simu yake ndio uliongeza mapenzi kwa wale wadada kwake, kilicho Fata ni historia.
 
Daah umeandika kwa uchungu sana
 
Apumzike kwa amani Sanchi
Sidhani kama ni Sanchi; according to the story; Sanchi kafariki mwaka hu 2024 so leo haiwezi kua siku ya kumbukumbu ya Sanchi hadi mwakani; but again, Sanchi hakuwahi kua mpenzi wake; huyu jamaa kuna sehemu aligusia kwamba story hi itakwisha kwa matukio ya hadi June 2023 which is where we are now. We all wish, huyu hayati asiwe tu Iryn
 

Karudie kumsoma
 
Tena mke wake ndie aliependekeza mumewe amuoe na mlpdogoake.

Hilo siwezi sijaishi nikiliona hivyo, lina pita huko mbali nasi. Mtoto unavyomlea.....

Siku zingine weekend wanakuja wote kushinda ghetto. Mpaka wanamaliza masomo ya secondary mwendo ulikuwa ni huo huo.

๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ
Nimesikia kinyaa.. Uchafu tu huo
Wivu lazima upo.. Tabia mbaya sana.. Najua yanatendeka ila ndio akina wa naona sawa tu. Hivyo wao wao, Sisi wengine sisi. Ndio maana wanawake wengi siblings wa ndani ya familia zao wanachukiana hata kuuana kabisaaa. Wivu ni wivu tu., Nawe mwanaume labda player tu.. Labda kama umekua kwenu unaona ni maishani inakubalika.. Hapo kila mtu atajiju na yake.. Otherwise.. Hata usemeje.. ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ๐Ÿคฎ

Ni nyie tu wanawake wa aina ya Beijing ndio mnajifanya mna misimamo isiyo tibu mioyo yenu. Mnabaki mna hasira hasira. Ksbb kile unachokitamani kinachoweza kukupa furaha hukitaki sbb ya jeuri zenu na misimamo ya Beijing.
Aina ya Beijing ndio aina gani?

Aliyosema alikuwa sahihi kabisa niliitwa bae and husband wa familia. Ilinihitaji kufunga zip kwelikweli kushinda vishawishi. Ugomvi wa ndugu kutokana na kuingiliana kwenye mahusiano ni balaa.

Kama umefunga hadi leo na kulishinda pepo hilo, Hongera sana.

Nimekumbuka Mada za Mshana Jr juu ya mambo ya ngono ovyo ovyo.

Ila wengine malengo.. Watu hamjitambui.. Dunia ina mambo mengi na ya ajabu.. Nyota yako bado ipo salama na mengine kabisaaaa.. Hakuna tatizo?
y unaweza kudhani mwamba kamtaka Mary kwasababu ya vitu/pesa za Mary?

Ha ha haa
Tamaa, hasira za kuachwa na Iryn zilimtawala. Hakuwa anajielewa au naye ni kama wewe maana mmeenda sana hayo.

Sasa si analeta kuendeleza, subiri agandweeee na Mary kiwivu, mwanafunzi wa Jane mdangaji aliyebobea anamfunza.

mimi kama mwanaume bado namwona Insider anaweza sana ku control tamaa za mwili wake

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Kula sistaz ni u player tu.
Hakuna kujiheshimu.
Na yametoka familia inajiheshimu, why yeye.

Halafu akamuone Asmah nae ale tena, halafu nani tena!! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kila kona yumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ