Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu


Njoo PM mkuu.
 
Kwanza tumpongeze mwandishi
1. Kujitoa kwake kutupa burudan
2. Muda wake
3. Elimu maisha, yapo ya kujifunza.

Kuhusu kuwa chai au sio chai, sio ishu kubwa. La msingi n burudani. Hata chai si kila wakati inatumika kama kifungua kinywa.
Simulizi bila vionjo haina radha. Hata chai na sukari tupu hainogi.

Insider man lete uhondo kaka
 
We kima.
Sio wetu jf tuko real kwa taarifa yakp nina Acc 10 zote nazitumia nitakavyo na kila moja nimebeba uhusika wake .

Kama utaafuatilia hii unapoteza muda wako
 
Coco beach inajulikana international ipi na wewe ?

Utakuwa muha wewe sio bure.
 
Kuwa mstarabu ndg ficha upumbavu na ujinga wako, huenda ikawa wewe unatabia za kike hivyi uki hapa kutafuta wanaume, na kwa bahati mbaya sana kwako wanaume wote tulio humu tunampenda sana Mungu hatupo tayari kufanya huo ufedhuli wako, mjinga wewe?
Wewe kima tunapangiana maisha sio.

Dunia nimekuja kwa muda wangu acha niandike ninachojisikia
 
Mkuu uwe na nidhamu na Tandahimba tafadhali, hao ni watu wa Kigoma. Ahsante!
 

Ukipata pesa vitu vilivyo elezewa hapa ni kawaida kabisa wala sio chai
 
We kima.
Sio wetu jf tuko real kwa taarifa yakp nina Acc 10 zote nazitumia nitakavyo na kila moja nimebeba uhusika wake .

Kama utaafuatilia hii unapoteza muda wako
Inaonesha jinsi ulivyo boga kichwani sasa kuwa na Account 10 jf ni akili au matope? n unajisifia una account 10. Halali uendelee kulalamika maisha magumu kama akili zenyewe ndo hizi ulizonazo.

Kama tunatumia fake IDs na bado una account 10 bhasi nyie ndo Matapeli wa humu JF.

Mkuu unagundu kasafishe hio nyota asee, thread zako zote nimezisoma naona unalia maisha magumu, hasira zako unamalizia kwa Insider.
 
Oyaaaaa...mnazingua mnaleta mabishano yasiyo ya msingi mnachelewesha muendelezo wa stori,sasa ikiwa ni kweli au uongo bado story ina matokeo chanya kwa maana inakufungua ubongo kufikiri kwa namna ya kujenga,kujiongeza thamani n.k.

Kama mtu unejikatia tamaa kwenye maisha yako usisambaze sumu kwa watu wengine,pambana na hali yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…