INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
- Thread starter
-
- #1,521
It seems like you are well connected, naomba nisafirie nyota mkuu. Kama una network ya watu wanaohitaji a delivery guy then I'm the guy.
Me nimemaliza chuo November mwaka jana na degree ya management of social development. Ninaishi Kigamboni na meanwhile nafanya deals za hapa na pale (sourcing, procurement na delivery...yaani watu wananiagiza huku na kule kununua vitu na kuvifikisha kwao kisha wananipatia hela ya kula).
Nina uzoefu wa kuendesha gari kwa miaka 6 now though sina driving license. Nina umri wa miaka 24, na niko very presentable and reliable. Naongea lugha nne(Kiswahili, English, French na sign language) kwa ufasaha mkubwa kabisa.
Mimi niliacha kuisoma hiyo stori mwaka jana.Hii story isije ikawa kama ya jamaa mmoja anajiita bm X6 story ina miaka zaidi ya 2 kama isidingo
Muendelez saa ngapi bossy
mkuu naona NIGGAPAC kakupiga na kitu kizito...Unakaa tandale nn hadi unapewa hiyo hela
We kima.Mkuu kama huna hela ni wewe nimejaribu kuangalia na post zako inaonekana uko desperate sana na maisha. Tafuta hela ndugu hata post zako ninaonesha kama una chuki na jamaa.
Mtoa mada hawa watu wanaharibu thread yetu unaweza kuwatia Block, subirini uzi uishe ndo maswali yaanze hata mimi nina maswali mengi sana ya kuuliza.
Kwenye hii story kama hizi vitu ambavyo vinaongezewaga ni maneno ili kutia hamasa kwa msomaji ila matukio naamini ni ukweli 100%.
kama unafanya Uber hujakutana na hizi bhati bhasi unagundu na mikosi nenda kaombewe. Nina Uber nayemjua vzuri kabisa ana dem wa kizungu na ni mkali hatari, jamaa anasema alimpata kupitia Uber na ndo kazi yake mpaka sasa. Jamaa alisema huku anaingiza pesa kibao sana hata kuajiriwa hatamani kwa sasa.
Kuna watu wanabahati ya nyota by nature, kama wewe hupati hizi bhati bhasi riziki yako iko sehemu nyingine.
Coco beach inajulikana international ipi na wewe ?Mzee inaonekana wewe Bongo umekuja jana, Coco beach inajulikana International ni Beach moja maarufu sana na pia ipo kwenye moja ya vivutio vya beach za Tanzania. Cocobeach wanakwenda watu wa kila dizaini sio matajir wala Maskini, mzee unavitu vingi huvijui bado.
Watu kama hawa tia block kabisa anatuharibia sisi tunaofutilia,Huwezi kumblock mtu, acha aendelee kuuliza inaonekana bado hajui mambo mengi,
Insider wewe tupe muendelezo hayo malumbano yasikutoe kwenye lengo lako kakaNaona thread bado haijatulia watu wanabishana ngoja wamalize niwape mwendelezo, acha kwasasa niendelee kucheza na Junior
Wewe kima tunapangiana maisha sio.Kuwa mstarabu ndg ficha upumbavu na ujinga wako, huenda ikawa wewe unatabia za kike hivyi uki hapa kutafuta wanaume, na kwa bahati mbaya sana kwako wanaume wote tulio humu tunampenda sana Mungu hatupo tayari kufanya huo ufedhuli wako, mjinga wewe?
Akili fupi mawazo mafupi block ndo suluhishoWatu kama hawa tia block kabisa anatuharibia sisi tunaofutilia,
Popoma wewe, kwanza kubishana na mjinga kama wewe ni kujifanya kuwa mopuuzi kama weweWewe kima tunapangiana maisha sio.
Dunia nimekuja kwa muda wangu acha niandike ninachojisikia
Wewe ni fala Sana baada ya kuja na Argument za kueleweka unatengeneza mazingira ya kujifanya Una akili Akili ipi uliyonayo.Popoma wewe, kwanza kubishana na mjinga kama wewe ni kujifanya kuwa mopuuzi kama wewe
shushushu pepo tokaaaa!!!We kima.
Sio wetu jf tuko real kwa taarifa yakp nina Acc 10 zote nazitumia nitakavyo na kila moja nimebeba uhusika wake .
Kama utaafuatilia hii unapoteza muda wako
Mkuu uwe na nidhamu na Tandahimba tafadhali, hao ni watu wa Kigoma. Ahsante!Usiwe unajibu kila comment mkuu, wengi wa wanaojitia ujuaji NI wageni humu jf na wengi wao wanaishi huko Namtumbo na wengine ni walimu wa shule za Msingi huko Tandahimba
Mtu anayelipwa Mshahara Laki 3 si rahisi kuamin kuwa hapa Tanzania kuna binadam wanaolipwa zaidi ya Mil 50 Kwa mwezi.
INSIDER MAN mimi ninacho shangaa ni maisha yangu ya kimaskini sana naona mtu anatoa necklace na watch ya milioni 30 huku akitoa simu ya iphone 13 pro bila shida yoyote......basi wengine tunasindikiza tu maisha mkuu ila wewe ulikula vizuri sana hongera......ujue pia ulivokuwa pale kwa uncle uliteseka sana, vipi yule mke wa uncle anaendeleaje???...
View attachment 2702006Coco beach inajulikana international ipi na wewe ?
Utakuwa muha wewe sio bure.
[emoji28][emoji28][emoji28]Coco beach inajulikana international ipi na wewe ?
Utakuwa muha wewe sio bure.
Inaonesha jinsi ulivyo boga kichwani sasa kuwa na Account 10 jf ni akili au matope? n unajisifia una account 10. Halali uendelee kulalamika maisha magumu kama akili zenyewe ndo hizi ulizonazo.We kima.
Sio wetu jf tuko real kwa taarifa yakp nina Acc 10 zote nazitumia nitakavyo na kila moja nimebeba uhusika wake .
Kama utaafuatilia hii unapoteza muda wako