Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nimekuwa nikifuatilia story tokea episode one. Kuna kipindi na doubt kama ni fiction ila sasa INSIDER anakupa zile details za ndani mpaka unasema mtu hawezi kutunga. Kama hii episode ya mwisho alivyo describe the horizon, kuanzia games zilizokuwepo. Picha kwenye kile kidaraja na cost za kwenda kwenye island. Kwa ambao mmefika pale ni accurate kabisaa na ile cocktail yao ya nanasi. Yaani akiwa anaelezea outing zake the accuracy of the details za sehemu ni very impressive kusema jamaa ana tunga.

Shida yangu tu ndio Maana nasubiria conclusion ni huyu IRYN. From the story she seems as a well off woman. Ana hela sana and pia ana vyanzo vingi vya mapato kutoka kwa mama yake. Why afanye kazi ya massage? Bado it’s a job ambayo sio respectable kwa mtu mwenye hela vile asinge jihusisha nayo. She makes more from her mother’s business than hio kufuata watu massage. Pia hapo uliposema mtu analipa 1500$ for a massage bila happy ending kidogo kuna fikirisha. The value of amount mentioned ni very unrealistic. Tena for a British guy hapo kidogo umeongeza salt, nadhani huwajui waingereza wewe when it comes to spending. Pia ukaongezea swala la French account, yaani a UK resident awe na account ina a french bank na ikatokea tu as coincidence na Irene nayo anayo. Unajua procedure za kufungua akaunti nje ya nchi especially European countries, Iry sio resident wa France. Kama alisoma inakuwa ni temporary account and it expires the moment your student visa has exhausted.
 
Hila na mimi nimeshtuka! Hii story ni ya kutunga haina uhalisia wowote! Kwa watafutaji tunajua hela ni mgumu kuipata! Sasa huyu jamaa kwanza wateja wake ni 'ke' na wote wanahela na wanampenda! Dah! Na wanashobokea kigari aina ya ist eti kwasababu ni kisafi!! Mh? Utajiri wa iryn hauendani na maisha halisi yakupanga apartment za kushare wapangaji kibao! Angalia matanuzi sehemu za starehe! Bili ya watu wawili eti laki tano! 😄 🤣 😂 😆 n.k.
 
Kitendo cha iryn kutokuwa na gari na kupanga appartment za kushare wapangaji watatu nilianza kuwa na mashaka na stori.

Insider kiukweli ni dereva wa uber Ila nimekuja kugundua ni mpenzi wa bata.

Ndo maana imekuwa rahisi kutengeneza hii fiction.


Utajiri wa iryn hauendani na uhalisia wa maisha yake.

Yaani ninavyojua foreigners walivyokuwa wagumu kutoa Hela mtu from no where Anatoa hela anavyojisikia.
 
Akijibu hapa nitag.
 
Hapa umefanya vyema kumweleza Prisca ukweli wako, maana itakufanya kuwa huru!
 
Demu alitaka kubakwa kirahisi rahisi akaamua kumsamehe jamaa kwa kulipwa hela ambayo ni dollar 7500 sawa na million 18.

Mzee maisha hayako kirahisi kiivyo
 
Mkuu acha ushamba ficha ujinga huo,, Kuna apartments kibao masaki Huku nazifahamu kodi 1500-3000usd na Bdo mnaishi watu wengi na mnaonana vzuri tu
 
Mkuu acha ushamba ficha ujinga huo,, Kuna apartments kibao masaki Huku nazifahamu kodi 1500-3000usd na Bdo mnaishi watu wengi na mnaonana vzuri tu
Acha ujinga na wewe ndo waanze kusalmiana kama tandale
 
Si kweli yeye sio Yesu apendwe na kila mtu na mfululizo wa matukio yanavyoungana easily plus kila mtu kumuamini yamekosa uhalisia kwenye fiction yake
Bila shaka wewe sio mpenzi wa kusoma hadithi.
Hapo jamaa haandiki mambo yote yaliyomtokea, anaandika yale yanaoendana na story aliyoilenga tu.

Ni sawa na wewe uamue kuleta story kuhusu elimu yako, utagusia marq chache mambo ya famili coz story inahusu sana elimu.

Mpaka hapa jamaa kajitahidi, kama ni chai basi ina mpangilio mzuri.
 
Mbona alishaweka wazi anamteja ambaye ni me, anampelekaga kwa mchepuko na huyu mzee anampa san maisha mwana, pia ana mteja ambaye ni either waziri au mbunge mstaafu, pia kuna msomali, na wengine wengi, na kana umekuwa mfuatiliaji hapo mwanzo alitueleza sana kuhusu huyu mzee
Nashauri tusome story tuielewe kwanza ndiyo tutoe comments zetu,
Pia kuna mzungu yule alikuwa ni me, na hakuna mahali insider amesema kuwa wateja wake ni wa jinsia ya ke tuu, na pia hakuna mahali amesema anakutana na madem wakali tuu
 
Kwenye maisha kuna vipaumbele, ndg na siyo kila mtu kipaumbele chake ni gari, nahis Iryn hajataka kumiliki gari na pia anaipenda compNy ya insider maana anajua anapokiwa na insider anakuwa salama, hana hofu,
 
Ndio maana nasema kuna vingi vya kujifunza kwa watu smart kama wewe,hata kama una shaka,basi kwa point na maelezo mazuri kama haya.ngoja tusubiri ufafanuzi...

Katika maelezo yako kuna vitu vya msingi sana kuvijua.
 
Unaweza ukawa na billion na usiwe na Gari si.ndivyo
Alafu pia inatakiwa tujifunze kwa wenzetu waliofanikiwa na tusipende kuwa wakosoaji wa kila jambo kwa maana tuu maisha yetu ni duni au labda tumejaliwa kukutana na watu wanaomiliki kirikuu au boda au mtu ambaye anaingiza 200,000 kwa mwezi ukataka kumlinganisha na mtu anayeingiza 5,000,000 kwa mwezi, hapo lazima maisha na matumizi yatakuwa tifauti
 
Ndiyo kwani wapi imeanfikwa kuwa ukiwa na hela lazima umiliki gari au nyumba, hilo ni pendekezo la mtu binafsi na siyo lazima,
Bado ubongo wako.mzito.

Demu Ana appartmet ,saloon Kali,mirathi za maana,

Kutwa kuzunguka kwenye hoteli sijui kufanya massage.

Et analipwa dollar Elfu 10000.

Na hatoi uchi.

Anamlipainsider laki 3 kwa siku 3..

Hii story haina uhalisia hasa hapo kwa iryn sukari imekuwa nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…