Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Una hoja mkuu, mwandishi mwanzoni alideclare kuwa ni hadithi ya kweli ila ndani kuna matukio hayana uhalisia lazima watu washtuke na waseme ukweli. Upo njia sahihi mkuu mwambieni tu ukweli mwandishi ajirekebishe.
 
Sure mkuu
 
Mkuu inasikitisha ila ndio basi ushaamua ila nimejifunza kwa kiasi fulani kwa upande wangu.

Naomba nije dm
 
Dhahiri kabisa Mkuu, kuna watu unajiuliza ni mental health au kitu gani yaani anapata muda wa kusoma kila aya bado anakuwa mkosoaji wa maneno ya kashfa na accusation baada ya kuuliza vizuri kwa hoja. [emoji23]
Bongo hii watu wengi Wana tatizo la afya ya akili sio Bure ,coz it doesn't make sense mtu kasoma episodes are 18 na anakosoa in such a way kitu kisiendelee .
 
Pole dogo achana na watu ambao hako exposed na maisha na wanadhani Kwa kuwa wao hawana Hela basi ni watu wote Kuna watu hapa mjini hawajui shida weka mambo tuendelee kujifunza binafsi hii story imenifundisha mengi
'Kuna watu hapa mjini hawana shida' hilo hakuna asolijua ila uongo utabaki kuwa uongo tu
Na wenye exposure ndo wanajua chai ilipo, ila wa 'madongo kuinama' wanaona bonge la movie la kusisimua?
 
Sina maisha magumu dada, nilichonacho kinanifanya kuwalipa watu 30 mishahara na wanahudumia familia zaoView attachment 2703007
Mbona Kama inferiority mkuu. Ama jamaa akakusarisha mno. Mana wahenga walisema debe tupu------
Na pia wa English walidai the more the louder the less ,
Ila ungetulia nothing to prove to anyone life Ni lako na hapo unaonyesha ukomavu wa ku handle emotions ,Mana dunia ya sahivi Vita kubwa is about yourself or internal battle
 
***** walai
🥲🥲🥲
 
Mwanaume umeaandaa bandiko refu kwenye uzi alioutrendisha mwanaume mwenzako ni kama mwanamke flan hivi...

Mtu mwenyewe unajihisi unaongea fact kibao kumbe ni umekosa attention kwenye maisha yako ikabidi u set low standards uje kupata even some crumbs of attention humu kwenye fake id's

Sadly hata hiyo attention unayoipata unaipata negatively because for the hell of your life never got to be appreciated sincerely by someone in your pathetic life...

Umeandika complete garbage but the egoistic you didn't forget kuonyesha ushawahi fanya hayo mambo as if sisi audience give a fuvk about your currently pathetic life ambayo hadi wadada wa dubai walishindwa kukusave ukawa stable emotionally
 
Kumbe ya BM X6 uliisoma Mkuu! ebu zipe max ipi kali kati ya story hii na ya BM?

Then kwa hao warembo (Caryn & Iryn) yupi unadhani machacha zaidi na aliyekukosha?
Naomba link mkuu niende please
Hapa kuna watu washaharibu
 
Hata mie nimemjibu mbona Kama anayo inferiority complex,kula k Ni suala la kawaida kabisa. Ila Mara nimeajiri watu30,
Akitaka aonyeshe hata jina moja kwa passport yake,aje aonyeshe Ilo Ilo jina kwa id like mpiga kura ama driving license,na pia aje aonyeshe Ilo Ilo jina kwa bank statement ya Leo Leo kupitia kwa internet banking,pia aonyeshe umiliki wa business kwa nje huko kwa jina Ilo Ilo,mie nikikaa naye huyu atakimbia. Pia mtu mwenye kuridhika Hana haja ya kupambana kutaka kuonekana kuwa ameridhika ama ana maisha Yake. Pia sio wa kwanza kula k nyeupe,Kuna watu wamepiga nadhani karibia mataifa yote dunia nzima Ila wako kimya Mana sio sifa.

Pia aonyeshe na viza akiwa hizo nchi kwa jina lake,.


Ila sio kupiga picha ubao wa currency Trading airport anapost hapa ndio tuamini.


Mana yote uliyofanya naweza nikapakua picha zake alizoposti humu namie nikapost mahala Kama kujimwambafai kuwa Niko nje ya nchi.

Na sio kuwa nje ndio uko njema kiasi kwamba unawazidi watu maisha walioko hapa nyumbani.
Kuna watu wako vijijijini wanawazidi maisha walioko ulaya kipesa na kila kitu.

Sema Ni ule tu ulimbukeni wa kwenda nje at once na kimuhemuhe ama shobo,unapagawa kidizaini. Dubai nauli to and fro Ni ndogo nadhani.
Na hapo alifaki Malaya ambao sio asili ya kiarabu labda Asia ndio wako wnaauza k
 

Mimi Nazani uyu bwana mdogo Hassan kilo atakua ame left group haiwezekani mtoto wa kiume kuumia kuliwa akina iryn,Prisca et al.
 
Nimejisikia vibaya sana hii story kukatishwa kwa sababu ya ujuaji wa watu wachache.
Lakini mtoa mada kama utamua kutujali sisi tuliokuwa tunafuatilia na kujifunza naomba ufanye jambo moja kwa ajili yetu Andika stori yako mpaka iishe the upositi vipande vyo vilivyobakia kwa pamoja.
Hii itasaidia usivunjike moyo Lakini Utakuwa umetusaidia sana ambao tulikuwa tunaifuatilia stori yako na hatuna hatia.
Ukiangalia stori inafuatiwa na watu zaidi 355,000 kutuchinja Utakuwa hujatutendea haki.
Yote kwa yote uamuzi ni wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…