Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kilichofanya IRYN asitishe mkataba ni nini?

1. Wivu?
2. Masuala ya Usalama?
3. Sababu ya kutomshirikisha mambo yangu na kuwa msiri sana.?
4. Kumpa simu Mama J ambayo alinipa mimi kama zawadi ?
5. Sababu mimi ni Mme wa mtu ?
6. Alijua namuuza kwa Muajemi ?
7. Kuna mambo Mama J alimwambia?
8. Kumkodishia Uber wakati mimi ni Dereva wake.

Haya ni mawazo mbalimbali ya wafuatiliaji wa hii story, acha tuone ni nini kiliendelea maana mambo yalishapita tayari.
 
Kilichofanya IRYN asitishe mkataba ni nini?

1. Wivu?
2. Masuala ya Usalama?
3. Sababu ya kutomshirikisha mambo yangu na kuwa msiri sana.?
4. Kumpa simu Mama J ambayo alinipa mimi kama zawadi ?
5. Sababu mimi ni Mme wa mtu ?
6. Alijua namuuza kwa Muajemi ?
7. Kuna mambo Mama J alimwambia?

Haya ni mawazo mbalimbali ya wafuatiliaji wa hii story, acha tuone ni nini kiliendelea maana mambo yalishapita tayari.
Wazo langu halipo kumkodishia uber wkt wewe ni dereva wake kamind kwamba ujampa preority
 
Kama tulivyokuwa tunasubiri kuliwa kwa Edna na Roma kwenye story ya singanojr siku alivyoliwa ilikuwa sherehe[emoji3][emoji3]
Aliliwa kwa mbinde sana edna. kwa aibu akaliwa ofisini roma alinifurahisha siku hyo
 
  • Thanks
Reactions: ram
Kilichofanya IRYN asitishe mkataba ni nini?

1. Wivu?
2. Masuala ya Usalama?
3. Sababu ya kutomshirikisha mambo yangu na kuwa msiri sana.?
4. Kumpa simu Mama J ambayo alinipa mimi kama zawadi ?
5. Sababu mimi ni Mme wa mtu ?
6. Alijua namuuza kwa Muajemi ?
7. Kuna mambo Mama J alimwambia?
8. Kumkodishia Uber wakati mimi ni Dereva wake.

Haya ni mawazo mbalimbali ya wafuatiliaji wa hii story, acha tuone ni nini kiliendelea maana mambo yalishapita tayari.
Zote ni sababu [emoji23]
 
Kilichofanya IRYN asitishe mkataba ni nini?

1. Wivu?
2. Masuala ya Usalama?
3. Sababu ya kutomshirikisha mambo yangu na kuwa msiri sana.?
4. Kumpa simu Mama J ambayo alinipa mimi kama zawadi ?
5. Sababu mimi ni Mme wa mtu ?
6. Alijua namuuza kwa Muajemi ?
7. Kuna mambo Mama J alimwambia?
8. Kumkodishia Uber wakati mimi ni Dereva wake.

Haya ni mawazo mbalimbali ya wafuatiliaji wa hii story, acha tuone ni nini kiliendelea maana mambo yalishapita tayari.
Kuna mambo mama J alimwambia kumbuka iryn mama yake alikufa kutokana na presha sababu ya usiri wa babake so akaona akae pembeni kuokoa hii familia ukizingatia alimpenda sana junior so hakutaka insider man anogowe na ukaribu wake tena for de sake of his family.
 
Na tumeumbwa ivyo deliberately,ku escape nature you've to do extra work which it isn't affordable by many Living creature

Hatujaumbwa ivyo,ila kwakuwa adamu alimruhus nyoka kumdanganya basi nyoka alikaa ndani yake, ndo Yesu na yohana mbatizaji anakuja kuwaita uzao wa nyoka. Ni kwa sababu wengi wameruhusu nyoka akae ndani yake kwa kupenda amakutokupenda.
 
Ndugu zangu wana JF kwa heshima ya watu wote humu ndani naomba kuisotisha hii story iishie hapa sitoimaliza maana inaonekana ni chai. Na mimi siwezi kupoteza muda kuandika kitu ambacho watu wanasema ni uongo.

Nina mambo na majukumu mengi ya kufanya na hakuna anayenilipa kwenye hii story, napoteza muda wangu kuwapa watu story kilichonitokea na mpaka nikaamua kuandika lakini inaonekana ni 0,

Nafikiri kila mtu aendelee na mambo yake kwa stage iliyofikia kumaliza story itakua ngumu, nafikiri tuishie hapa. Kama mtu ameshasema story ni chai kuna haja gani ya kuendelea kuandika?.

Kwa wale tuliokuwa pamoja ahsanteni kwa muda tulionza pamoja ila mimi binafsi nimeshindwa kuendelea kuandika, maana watu wanakatisha sana tamaa.

Story haijaisha hapo niko na matukio ya March, lakini mtu kashaaanza kutukana, haters wamekua wengi, lakini hii ni JF kila mtu anahaki ya kuongea. Ustaarabu mngesubiri story iishe hapo ndo muanze kujudge, maana hivi vyote nilivyoandika na ushahidi navyo kwa picha, Contracts nilizoingia nawateja zangu zote ninazo mpaka Iryn.

Story haijaisha mtu watu wameanza kukosoa anyway ndo wabongo walivyo, sinaga muda na JF ila haya matukio yalinitokea ni kweli na nilikua ndo nimeanza kuingia kwenye kiini cha story na nilikua nimepanga kuandika Epsodes 30 tu.

Wabongo tunakosa kitu kinaitwa patient hapa ndo tunafeli sana, story haijaisha hata mjue lengo la kichwa cha story lakini watu wameanza kushout. Siwezi endelea kuandika kwa style hii inakatisha tamaa, ndomana story nyingi za JF zinaishia njiani.

Wale ambao tunawasiliana PM na tumebadlishana namba tutaendelea kuwasiliana tuko pamoja, ila niseme biashara ya Uber ilinipa mafanikio sana na mpaka sasa naendelea kunufaika.

ALL THE BEST
Poa poa INSIDER MAN endelea na mishemishe zako za maisha.....achana na wehu wa humu ndani
 
Kuna mzee mmoja aliwahi niambia, hata ukiwa unafanya kazi ya kuzoa taka, basi ifanye smartly and integritly, utakuwa wa kipekee na watakuita mchawi kwa wateja utakaopata.

Wewe jamaa umeifanya kazi yako kwa misingi hiyo.

Huwezi fanya kazi ya usafirishaji unakunywa mapombe hovyo hovyo muda wote, ukiongea unanuka pombe sigara, uko mchafumchafu, hujali muda, huna lugha nzuri, hujui kumsoma mteja, hujui kudhibiti hasira zako, kwenye gari unapiga makaswida au makwaya tu, uko na mteja unaongeaongea na simu, hauna focus na attention kwa mteja uliyenaye kwenye gari, unaangalia angalia wanawake hovyo, unakosoasoa maoni ya abiria wako, unatangaza njaa zako, unalialia na kulalamikia matatizo yako kwa wateja, huna ufahamu wa mambo kichwani, mteja anaanzisha kila mada uko mweupe, Unaongea habari za wateja wengine kwa mteja uliyenaye, unaongea bila brake, gari yako mbovu mbovu, wese vibaba, fine hulipi, trafic wanakusumbua, huwezi toboa biashara ya abiria.
LIT LIT
 
Back
Top Bottom