Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Iryn aliwe kwanini umemuacha na leo
Iryn aliwe....
Iryn aliwe kwanini asiliwe
Iryn aliwe....
Iryn aliwe kwanini asiliwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Ngoja arudi Tena insider tutaona Nini kiliendeleaIryn aliwe kwanini umemuacha na leo
Iryn aliwe....
Iryn aliwe kwanini asiliwe
Anaharibu sana ...[emoji16][emoji16]Ngoja arudi Tena insider tutaona Nini kiliendelea
Huwezi amin hichi kipande mafisi tumekielewa kinyama, ilibaki kudumbukiza mtwangio Kwa kinu alafu unasepa na 💯 dadekiNa muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.
Ndo ushasema mzee,badilika acha izo za kidadaKidogo na mm nisema waoooh! na ni mbaba kabisa, tupe tu bana hakuna namna sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuishi kama inside inahitaji mtu jinsi alivoumbwa na haya yake usoni , kiufupi ni kipaji ndio amejaaliwa ni wengi humu wanaume hatuwezi , kiufupi jamaa ni mtu wa kujichanganya ,kwa lugha lahisi ni mtu wa shobo sana ,kwa mfano mimi siwezi ingia jikoni nikaanza kupika hata kama awe mpenzi wg ,au kisa ni mteja wg nikaanza kukaanga mayai ni ngumu kabisa , yaani na ndevu zg kabisa nikaanza kujipikilisha , kwa hio shobo zinamsaidia jamaa , ni wengi humu hatuwezi
Tukijua hawasamehekiToka mwanzo Hadi ulipofikia nimeona Kuna kitu, Kua kuchepuka wakati mwingine hakuzuiliki kabisa kutokana na mazingira na uhalisia kama ilivyokua kwako
Lakini nawaza je wanawake nao wakikutana na mazingira kama haya wakaliwa, wanaweza kusameheka kweli?
Why?Tukijua hawasameheki
Naomba Kuona hizo ndevuyaani na ndevu zg kabisa nikaanza kujipikilisha
Iko hivyo ni inshu ya maumbile ikumbukwe nyinyi mnatokea kwenye mbavu zetu wanaume tuna historia toka enzi kumiliki zaidi ya mwanamke mmoja ila kw mwanamke kumiliki zaidi ya mwanaume mmoja haileti picha nzuri kw jamii pia hatuna historia kwenye vitabu vyetu vya diniWhy?
1.Irene atakuwa mfanyabiasharaNataka kuona watabiri hapa:
1. Unafikiri Iryn alikua anapiga mishe gani?
2. Vipi kuhusu Mama J atakuja kujua kazi yangu ya uber?
3. Nitakuja kumla Prisca??
Nilicho gundua huyu insider hii ni story ambayo bado inaendelea kwenye maisha yake halisi. Hivyo hadi apate Visa ndio anatuletea ndio maana katuambia atatuletea Visa wiki hadi wiki .....ila ni story moja tam sana
Mkuu nayo hiyo itakuwa sehemu ya story yetu pendwa?Biashara ya Uber pia imeniachia kumbukumbu mbaya sana ambayo sitokuja kuisahau kwenye Maisha yangu.
“MEMORIES NEVER DIE.”
Itapendeza mkuu tukifahamu upande huo piaBiashara ya Uber pia imeniachia kumbukumbu mbaya sana ambayo sitokuja kuisahau kwenye Maisha yangu.
“MEMORIES NEVER DIE.”
Binafsi nimetambua kuwa maggy na iryn umemega tayari. Unachofanya n kuzungusha story, kwani story imebebwa na iryanMambo mazuri hayataki haraka sikuzote [emoji23]