Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Na muda uleule nikamshika mikono yake miwili na nikapandisha mikono yangu kuzunguka kiuno chake na nikamvuta upande wangu kwa nguvu, kilikuwa kitendo cha ghafla sana. Nikampa ulimi wangu na yeye akanipa wake haraka bila kizuizi na tulichezeshana pale kwa sekunde kadhaa na palepale tulishtuka tukaacha ule mchezo.
Huwezi amin hichi kipande mafisi tumekielewa kinyama, ilibaki kudumbukiza mtwangio Kwa kinu alafu unasepa na 💯 dadeki
Mafisi oyeeere!!
 
Kuishi kama inside inahitaji mtu jinsi alivoumbwa na haya yake usoni , kiufupi ni kipaji ndio amejaaliwa ni wengi humu wanaume hatuwezi , kiufupi jamaa ni mtu wa kujichanganya ,kwa lugha lahisi ni mtu wa shobo sana ,kwa mfano mimi siwezi ingia jikoni nikaanza kupika hata kama awe mpenzi wg ,au kisa ni mteja wg nikaanza kukaanga mayai ni ngumu kabisa , yaani na ndevu zg kabisa nikaanza kujipikilisha , kwa hio shobo zinamsaidia jamaa , ni wengi humu hatuwezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Toka mwanzo Hadi ulipofikia nimeona Kuna kitu, Kua kuchepuka wakati mwingine hakuzuiliki kabisa kutokana na mazingira na uhalisia kama ilivyokua kwako

Lakini nawaza je wanawake nao wakikutana na mazingira kama haya wakaliwa, wanaweza kusameheka kweli?
Tukijua hawasameheki
 
Iko hivyo ni inshu ya maumbile ikumbukwe nyinyi mnatokea kwenye mbavu zetu wanaume tuna historia toka enzi kumiliki zaidi ya mwanamke mmoja ila kw mwanamke kumiliki zaidi ya mwanaume mmoja haileti picha nzuri kw jamii pia hatuna historia kwenye vitabu vyetu vya dini
 
Naona mzee hapo kwa Iryn umeingia kwenye ligi na Muajemi. Dadeq safi sana yeye ana mawe wewe silaha yako kubwa "kujali", ngoma inogile conflict of Interest.
 
Nataka kuona watabiri hapa:

1. Unafikiri Iryn alikua anapiga mishe gani?

2. Vipi kuhusu Mama J atakuja kujua kazi yangu ya uber?

3. Nitakuja kumla Prisca??
1.Irene atakuwa mfanyabiashara
2.Mama j atajua maana naamini utamwambia
3.Prisca hutomla japo ataonyesha ligi za kukupenda,kukupet n.k
 
Nilicho gundua huyu insider hii ni story ambayo bado inaendelea kwenye maisha yake halisi. Hivyo hadi apate Visa ndio anatuletea ndio maana katuambia atatuletea Visa wiki hadi wiki .....ila ni story moja tam sana

Ilishapita mkuu, kuandika story week to week ili nipate muda wa kutosha na majukumu mengi ya kufanya.
 
Back
Top Bottom