Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Tatizo majority humu ni washamba na hawajawa exposed na hivi vitu
Hata hizo sehemu ulizowatajia wengi hawazifahamu
Hawana connection na watu na hawajui jinsi ya kuzitengeneza hizo connection wamekalia kuponda wenzao humu badala ya kujifunza kutoka kwao...ndyo tabia za watanzania wivu badala ya kujifunza wanakalia wivu tu
haya maisha kuna watu wanaishi nusu pepo aseh,nilikuwa naendaga pale baobab masaki kunywa juice kila weknd

watoto wa asas walikuw wanakuja na gar pale wanachukua juic zao wakimaliza wanagawa misimbazi kwa wafanyakaz wa ule mgahawa ukiwaangalia watoto wenyew ni U17.

nikauliza nikaambiwa ni utaratibu wao kila wakija lazima watoe vibunda sas ww fikiria hao ni watoto,mtu anakaa apartment kwa mwez analipa milion 15 sas kutoa vilaki unafkr ni ajabu
 
haya maisha kuna watu wanaishi nusu pepo aseh,nilikuwa naendaga pale baobab masaki kunywa juice kila weknd

watoto wa asas walikuw wanakuja na gar pale wanachukua juic zao wakimaliza wanagawa misimbazi kwa wafanyakaz wa ule mgahawa ukiwaangalia watoto wenyew ni U17.

nikauliza nikaambiwa ni utaratibu wao kila wakija lazima watoe vibunda sas ww fikiria hao ni watoto,mtu anakaa apartment kwa mwez analipa milion 15 sas kutoa vilaki unafkr ni ajabu
Upo sahihi kabisa maisha hayafanani Kuna watu pesa kwao sio tatizoo
 
JF watu choka mbaya asilimia kubwa maisha magumu. Mwakajana kama sikosei nilishaleta post kwamba nilimtoa dem out Samaki samaki na alikuja na best zake wa2 na tulitumia bill ya 380k, nilishambuliwa kwa comments mpaka nikawatumia risiti hapo ndo wakakimbia na uzi.

Same here, watu hawana exposure hawajakutana na fursa wanaamini kila kitu chai. Ila jamaa angeleta story ya kuteseka na maisha usingekutana na hizi comment za chai.

This JF
Na wengi wanahisi maisha waliyonayo magumu ndo kila mtu anayo na kinachowapa hasira ni amount za pesa anazozitaja
 
JF watu choka mbaya asilimia kubwa maisha magumu. Mwakajana kama sikosei nilishaleta post kwamba nilimtoa dem out Samaki samaki na alikuja na best zake wa2 na tulitumia bill ya 380k, nilishambuliwa kwa comments mpaka nikawatumia risiti hapo ndo wakakimbia na uzi.

Same here, watu hawana exposure hawajakutana na fursa wanaamini kila kitu chai. Ila jamaa angeleta story ya kuteseka na maisha usingekutana na hizi comment za chai.

This JF
Hawapajui hata hapo samaki samaki kwamba local beer tu ni kwanzia 5000
Wamezoea beer za 1500 basi watakuja kumwaga mate humu 😆😆
 
Nakukatalia mkuu. Hiv umeshawahigi kusoma viatbu vya Dan brown. Ingekua ulaya wanazuia wangezuia vyake maana siwez kukuelezea jins alivyoichambua serekal ya marekan. Usituone kimya ukajua hatujui
Refer George Markov.
 
Hawapajui hata hapo samaki samaki kwamba local beer tu ni kwanzia 5000
Wamezoea beer za 1500 basi watakuja kumwaga mate humu [emoji38][emoji38]

Wengi wako mikoani huko ambako elfu 20 anapata bia zaidi ya 10 wakati Kwa Dar hiyo 20k ni nauli ya kwenda tu maeneo.

Nilikuwa nashuhudia Kidimbwi meza moja ilikuwa na watu kama 8 hivi, walikuwa wanajaza Mamoet, Ma hennessy wanachezea hela.

Niliwaza nikasema inabidi nitafute hela, kuna watu wanapesa asee.

Ukitembea huko Samaki samaki, Kidimbwi, Wavuvi, watu wanatumia Pesa asee ni hatari, afu kulikuwa na Maison Club kabla haijafungwa unakutana na Table mpaka ya 12.5M na zilikuwa zinajaa. Kwanza kuingia kwake lazima uregister online na kupata chair lazima uwe unatumia kuanzia 220k hawa ndo Maison.

Hata mimi hapa nikitaka kesho kutoka lazima niwe na 200k mfukoni hapa kidogo nakuwa na amani.
 
Wengi wako mikoani huko ambako elfu 20 anapata bia zaidi ya 10 wakati Kwa Dar hiyo 20k ni nauli ya kwenda tu maeneo.

Nilikuwa nashuhudia Kidimbwi meza moja ilikuwa na watu kama 8 hivi, walikuwa wanajaza Mamoet, Ma hennessy wanachezea hela.

Niliwaza nikasema inabidi nitafute hela, kuna watu wanapesa asee.

Ukitembea huko Samaki samaki, Kidimbwi, Wavuvi, watu wanatumia Pesa asee ni hatari, afu kulikuwa na Maison Club kabla haijafungwa unakutana na Table mpaka ya 12.5M na zilikuwa zinajaa. Kwanza kuingia kwake lazima uregister online na kupata chair lazima uwe unatumia kuanzia 220k hawa ndo Maison.

Hata mimi hapa nikitaka kesho kutoka lazima niwe na 200k mfukoni hapa kidogo nakuwa na amani.
Upo sahihi bado wale wa kwend kulewea level 8 au serena....kwanza magari yao tu full tank inaanzia 180k
Wakati huo ni mshahara wa mtu
Tutafute pesa jamani
 
Hawa ndo Maison table ya 12million, lakini kuna Maskini wenzangu humu ndani watakwambia CHAI, na Package yao ndo hii na wahuni walikuwa wanajaza table zote [emoji1544]


IMG_3156.jpg
 
Tunachobishana kwamba hii ni chai ni namna ya matukio yalivyokaa, huwez kukumbuka mwaka juzi siku na tarehe na siku nzima unaihafithia vzr! Hatulalamiki kwamba jamaa anatumia pesa! Wapo wanaotumia zaidi ya hizo kwenye starehe hatukatai! Lkn hii story ilivyotengenezwa na kuunganisha matukio ya kufikirika ndio inapelekea tuiite chai tena chai haswa!! Na tunachokereka muandishi analazimisha tuamini kwamba n TRUE STORY hapo ndio anaharibu hii ni FRICTION na anaogopa angesema ni yakufikirika asingepata wafuatiliaji

Umejuaje kwamba amekumbuka kila litu? Unaargue as if wewe una script ya matukio ya jamaa sasa unalinganisha na anachosimulia na unaona anaenda kinyume. Umejuaje kwamba matukio anayosimulia yapo exactly na yaliyotokea???
Kuhusu True Story au Fiction, wewe ambaye umegundua kuwa ni fiction kwa nini bado upo hapa?
 
Watu mnatumia hisia wakati uhalisia upo.
Story imewakolea mpaka mnashindwa kutumia bongo zenu.

Hivi hii dunia kuna mwenye akili timamu asiejua kua kuna watu wana pesa sana!??

Mwandishi mwenyewe ameshakiri kua story kuna mahali anatwist ili kulinda wahusika na yeye mwenyewe(yeye anasema anaandika kwa code). Kuna watu kawatafutia kazi humu na yeye anasema wa jinsi alivyoandika sio rahisi wao kuwajua wahusika maana kaandika mengi kwa code..

Hawezi akaandika ukweli 100%, content ni ya kweli ila conv, routes na baadhi ya matukio ni lazima ayatwist kidogo.

Sasa nyie mmekazana kuoneshana nani kawaona matajiri wengi, nani kasoma na matajiri (na mpaka sasa hamna tajiri aliejitokeza zaidi ya chawa tu).

Mtu anaposema chai ni maoni yake na sio ushamba, sijui hana hela, na humu anaejua ni chai au sio ni mwandishi pekee.
 
Tufanye Review kidogo tulikotoka na tunakokwenda,

1. Prisca nishampiga chini, vipi atakubali kirahisi?

2. Mpak sasa kibarua changu kipo matatani “Boss lady” kawaka sana.

3. Best yangu Sumaiya kaachishwa kazi, [emoji23][emoji23]

4. Mama J atajua sakata la mimba ya Prisca?

5. Lucy kaniingiza choo cha kike nimeishiwa kuchapwa kibao,[emoji28]

What to expect in the Next Epsode? [emoji2371]
Daaaaah, ni kama kile kibao nilipigwa mimi.

Mpaka sasa naona maluwe luwe tu sielewi kinachoendelea.

Ila mwamba sijui ulichomokaje hapo Kwa Iryn.

Ngoja tusubiri.

Ila kuwa na mahusiano na Prisca tokea mwanzo ulizingua Sana.
Usije kurudia tena kosa kama hilo.
 
Back
Top Bottom