the numb 1
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,562
- 2,902
haya maisha kuna watu wanaishi nusu pepo aseh,nilikuwa naendaga pale baobab masaki kunywa juice kila wekndTatizo majority humu ni washamba na hawajawa exposed na hivi vitu
Hata hizo sehemu ulizowatajia wengi hawazifahamu
Hawana connection na watu na hawajui jinsi ya kuzitengeneza hizo connection wamekalia kuponda wenzao humu badala ya kujifunza kutoka kwao...ndyo tabia za watanzania wivu badala ya kujifunza wanakalia wivu tu
watoto wa asas walikuw wanakuja na gar pale wanachukua juic zao wakimaliza wanagawa misimbazi kwa wafanyakaz wa ule mgahawa ukiwaangalia watoto wenyew ni U17.
nikauliza nikaambiwa ni utaratibu wao kila wakija lazima watoe vibunda sas ww fikiria hao ni watoto,mtu anakaa apartment kwa mwez analipa milion 15 sas kutoa vilaki unafkr ni ajabu