Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Nikweli mkuu,naimani hii simulizi ya huyu jamaa imefanya tugande hapa lln kumbe kuna simulizii zingine au majukwaa mengine
Attention ina utamu wake acha ndugu yetu ajipakulie minyama. Kila akiscroll anakuta notifications kama buku, burudani kabisa.
 
Umepoa Uzi kwa wiki hii..

Kaboa kurudi kwa Asmah or so 🤮

Yaani hakupendi hajitambui huyu mleta mada.. nimerudi Leo naona bado.. haya malizia jinsi usivyo na heshima kwa wanawake wewe.. wanawake wote Duniani unakula hao hao bila kukuheshimu Bosi wako..

Uchafu mtupu.. hujiamini haujitambui kwenye mapenzi.. 😅😅😅 nicheke tu..

Malizia ukasome.. kila la kheri na masomo yako
 
Umepoa Uzi kwa wiki hii..

Kaboa kurudi kwa Asmah or so 🤮

Yaani hakupendi hajitambui huyu mleta mada.. nimerudi Leo naona bado.. haya malizia jinsi usivyo na heshima kwa wanawake wewe.. wanawake wote Duniani unakula hao hao bila kukuheshimu Bosi wako..

Uchafu mtupu.. hujiamini haujitambui kwenye mapenzi.. 😅😅😅 nicheke tu..

Malizia ukasome.. kila la kheri na masomo yako
Makasiriko ya nini tena😃
Hii ilikuwa based on true story huwezi jua kama ni kwel au la vyote vinavyozungumzwa
Mwandishi sometimes anaandika kutokana na hadhira yake inataka kusikia nini mara zote
 
Makasiriko ya nini tena😃
Hii ilikuwa based on true story huwezi jua kama ni kwel au la vyote vinavyozungumzwa
Mwandishi sometimes anaandika kutokana na hadhira yake inataka kusikia nini mara zote

Na mie no msomaji.. lolote naweza sema... Ameboa... Nawe huoni aibu kuandika uliyoandika ..
Nicheke Tu 😅😅😅
 
Back
Top Bottom