Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Kwa wenye uelewa mzuri na hii story iryn ndo alofariki
Nasubiri zawadi yangu atakapoleta huu mkasa

@insiderman
Inawezekana ikawa Iryn kweli but ingawq Iryn inaonekana alizaa na alizalia SA; kule mwanzoni mwa season 2, INSIDER MAN aligusia kuhusu kuingia labor ili kutazama jinsi mwanamke anavyo jifungua but also aligusia kuhusu madaktari wanavyo zichezea K wakati wanazalisha. Ngoja tuendelee kusoma uzi
 
Beautiful without brain 😁maisha yangu sizalishwi bila ndoa toka usichana nakwepa na sio ndoa ili mradi ndoa yaani nikuone unafaa kuwa baba na mume hauna mambo mengi,mume wa kwanza tuliowana tukajaaliwa watoto wa 2 tukaachana alipo anza mambo ya wanawake nikasepa mume wa 2 alificha makucha kukaa nae ndani alinionesha mapicha picha nikasema sizai ng'ooo 2013 tukaachana nikasema sasa natuliza komwe langu mpaka 2021 nikaolewa na mume wa sasa tuna watoto wa 2 Alihamdulillah hapa naona kifo tena ndo kitatutenganisha mume wangu katulia hana mambo mengi kazini home baba bora na mume bora kwangu may be umri wake unachangia kashamaliza ujana.nae kuniowa kasota sanaa miaka 10 anaimba aniowe hapo nachuja nani awe mume wangu mpaka kifo 😁nilikuwa pisi kali sasa mshangazi.
Waume wa3 na na watoto wa baba tofauti , kiufupi we ni malaya tu
 
Waume wa3 na na watoto wa baba tofauti , kiufupi we ni malaya tu
Jiheshimu bro kuwa nyuma ya keyboard haikupi uhalali wa kukashfu mtu niliolewa ndoa halal nikazaa two handsome baby boy mume aka Anza uhuni wanawake baada ya kupata pesa ulitaka nikae kwenye ndoa mpaka niletewe ukimwi???

Nikaolewa ndoa ya 2 Kuna tabia hakuzionesha awali akazionesha kwenye ndoa nikute picha za uchi za wanawake meseji akawa halali ndani nikaamua sizai nikasepa ulitaka nikae niletewe Ukimwi nikaondoka 2013 nikaamua kitulia mpaka 2021 nikaolewa na mume wangu wa sasa Alihamdulillah hatimae nimepata mume bora hana mambo mengi alishamaliza ujana wake alitaka mtu wa kutulia nae wajenge familia kadhalika upande wangu kwahio umalaya wangu kuolewa?! Kwahio niolewe halafu nisizae eti umalaya??
 
Jiheshimu bro kuwa nyuma ya keyboard haikupi uhalali wa kukashfu mtu niliolewa ndoa halal nikazaa two handsome baby boy mume aka Anza uhuni wanawake baada ya kupata pesa ulitaka nikae kwenye ndoa mpaka niletewe ukimwi???

Nikaolewa ndoa ya 2 Kuna tabia hakuzionesha awali akazionesha kwenye ndoa nikute picha za uchi za wanawake meseji akawa halali ndani nikaamua sizai nikasepa ulitaka nikae niletewe Ukimwi nikaondoka 2013 nikaamua kitulia mpaka 2021 nikaolewa na mume wangu wa sasa Alihamdulillah hatimae nimepata mume bora hana mambo mengi alishamaliza ujana wake alitaka mtu wa kutulia nae wajenge familia kadhalika upande wangu kwahio umalaya wangu kuolewa?! Kwahio niolewe halafu nisizae eti umalaya??
Mpuuze huyo kijana bado mvulana hajajua mambo ya ndoa, aingie aanze kufanya umalaya aone kama mke atasalia kama sio kuomba talaka
 
L
Hilo siwezi sijaishi nikiliona hivyo, lina pita huko mbali nasi. Mtoto unavyomlea.....



🤮🤮🤮
Nimesikia kinyaa.. Uchafu tu huo
Wivu lazima upo.. Tabia mbaya sana.. Najua yanatendeka ila ndio akina wa naona sawa tu. Hivyo wao wao, Sisi wengine sisi. Ndio maana wanawake wengi siblings wa ndani ya familia zao wanachukiana hata kuuana kabisaaa. Wivu ni wivu tu., Nawe mwanaume labda player tu.. Labda kama umekua kwenu unaona ni maishani inakubalika.. Hapo kila mtu atajiju na yake.. Otherwise.. Hata usemeje.. 🤮🤮🤮


Aina ya Beijing ndio aina gani?



Kama umefunga hadi leo na kulishinda pepo hilo, Hongera sana.

Nimekumbuka Mada za Mshana Jr juu ya mambo ya ngono ovyo ovyo.

Ila wengine malengo.. Watu hamjitambui.. Dunia ina mambo mengi na ya ajabu.. Nyota yako bado ipo salama na mengine kabisaaaa.. Hakuna tatizo?


Ha ha haa
Tamaa, hasira za kuachwa na Iryn zilimtawala. Hakuwa anajielewa au naye ni kama wewe maana mmeenda sana hayo.

Sasa si analeta kuendeleza, subiri agandweeee na Mary kiwivu, mwanafunzi wa Jane mdangaji aliyebobea anamfunza.



😂😂😂
Kula sistaz ni u player tu.
Hakuna kujiheshimu.
Na yametoka familia inajiheshimu, why yeye.

Halafu akamuone Asmah nae ale tena, halafu nani tena!! 😂😂😂

Kila kona yumo.
Liwa ww bas mana inakuuma sana
 
Wakati nakaribia kufunga ndoa. Trainer mmoja aliyekuja ofisi niliyokuwa alipopata habari hizo aliniuliza swali moja,

Trainer: "Huyo unayemuoa ana wadogo zake?

Mimi: ndio.

Trainer: mchumba wako ni wangapi kuzaliwa?

Mimi: Wa kwanza.

Trainer: Kuna yeyote kati ya wadogo zake ameolewa.

Mimi: Hapana.

Trainer: Kuwa makini kuna uwezekano mkubwa wa kupita nao wote kwa kuwa wanaingiwa na wivu au kujaribu kuona nini ambacho ndugu yao amekupendea. Baada ya observation wengine watanasa jumla na wengine kuedelea na maisha yao. Mimi hapa nilipo ninatembea na mama na mtoto. Binti alitambua mahusinao yangu na mama yake baadae akatengeneza mazingira ya kuniingiza mtegoni. Nilianzisha mahusiano ya siri na mtoto huku nikiendelea na mahusino na mama yake. Wote wako vizuri kifedha hawanitegemei kwa chochote zaidi ya wao kunifinance kwa kuwa wanafanya kazi wakiwa na vyeo kwenye NGO kubwa tofauti nchini.

Aliyosema alikuwa sahihi kabisa niliitwa bae and husband wa familia. Ilinihitaji kufunga zip kwelikweli kushinda vishawishi. Ugomvi wa ndugu kutokana na kuingiliana kwenye mahusiano ni balaa.

Mwanaume akipendwa sana na binti mzuri. Ndugu na marafiki wanajilengesha pia just to experience something special alichonacho huyo mwanaume.
Dah jamani
 
Inawezekana ikawa Iryn kweli but ingawq Iryn inaonekana alizaa na alizalia SA; kule mwanzoni mwa season 2, INSIDER MAN aligusia kuhusu kuingia labor ili kutazama jinsi mwanamke anavyo jifungua but also aligusia kuhusu madaktari wanavyo zichezea K wakati wanazalisha. Ngoja tuendelee kusoma uzi
Mama ARIANA ndo iryn mwenyewe, SANCHI ndo marehemu.
 
Back
Top Bottom