Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

Bro soma Biblia vizuri....., nitajie sehemu gani kwenye Biblia iliona ndoa imefungwa kanisani! Taja mstari walau mmoja tu. Tofautisha maandiko na mafundisho ya DINI, ulicho kisema hapa ni mafunzo ya kidini na sio Mungu
Watu wanachanganya mambo sana. Pindi ya kutoa mahali zinapokutana familia za pande mbili kiumeni na kikeni ndoa hufungwa rasmi siku hiyo kwa kuwa wakati huu kijana na binti huthibitisha mbele ya wazazi wao, ndugu na majirani kuwa wamekubaliana kuwa mke na mume. Na mbele za Mungu hilo linakubalika. Taratibu zinazobaki ni za Jamhuri na dini.
 
View attachment 3133279na huyu ndo Binti wetu wa kihabesh iryn🌚...prove me wrong mkuu insider
Hapana iryn ni huyu
20241024_230917.jpg
 
Bro INSIDER MAN ,hii ni my first time nareact all the way since mwanzo wa Uzi huu Jf...Niko impressed na vile umeshare nasi ,for real nimejifunza mambo mengi kutoka kwa hii narrative Tena nikiwa in my early 20s... natamani tuzungumze ikiwa utaridhia...
My mail; kyambskelvin@gmail.com
 
Back
Top Bottom