FrEeMaN G
Member
- Sep 20, 2023
- 30
- 56
Story ndefu katka harakat za hapa na paleUmewatoa wapi Mzee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Story ndefu katka harakat za hapa na paleUmewatoa wapi Mzee?
Teh mkuu hujui kulinganisha kwa maelezo ya insider iryn hafanani hata robo na huyoNdo huyo huyo au hapendezei😂
Perhaps my instincts aren't rytTeh mkuu hujui kulinganisha kwa maelezo ya insider iryn hafanani hata robo na huyo
Mkuu Rayns kuna shido kwani?😂Mkuu, daah 🙌
Vizuri sana kama hujambo rafikiSijambo rafiki, uko poa? Sijakuona muda wapi ulipotelea?
Euphra bhana😂Iryn huyu huyu anayesifiwa humu?
Watu wanachanganya mambo sana. Pindi ya kutoa mahali zinapokutana familia za pande mbili kiumeni na kikeni ndoa hufungwa rasmi siku hiyo kwa kuwa wakati huu kijana na binti huthibitisha mbele ya wazazi wao, ndugu na majirani kuwa wamekubaliana kuwa mke na mume. Na mbele za Mungu hilo linakubalika. Taratibu zinazobaki ni za Jamhuri na dini.Bro soma Biblia vizuri....., nitajie sehemu gani kwenye Biblia iliona ndoa imefungwa kanisani! Taja mstari walau mmoja tu. Tofautisha maandiko na mafundisho ya DINI, ulicho kisema hapa ni mafunzo ya kidini na sio Mungu
Hapana iryn ni huyuView attachment 3133279na huyu ndo Binti wetu wa kihabesh iryn🌚...prove me wrong mkuu insider
Umeitoa wapi hii mkuu? hata mimi naamini niyeye huyuHapana iryn ni huyuView attachment 3135143
At least uyuHapana iryn ni huyuView attachment 3135143
Iryne hawezi kuwa ndezi kama huyu! Mwanamke mwenye akili kama iryne ukimwona sura inajionyesha! Huyu wako kiazi!View attachment 3133279na huyu ndo Binti wetu wa kihabesh iryn🌚...prove me wrong mkuu insider
Kama huyu ndio insider basi hao waliopanga foleni watakuwa na matatizo aisee....View attachment 3133278kaka mkubwa insider man kama ajakosea baada ya juhudi nyingi kulutafta
Chini ya kapeti.. nishafanya mitaa sana mitaa hiyo ya masaki.Umeitoa wapi hii mkuu? hata mimi naamini niyeye huyu
Kuweka mawasiliano hapa ni kama kusema liwalo na liwe kuna matapeli mjini kaa chonjoKaka nipo dodoma Nina uhitaj gar la kufanyia tax mtandao msaada wenu wakuu number yangu ni 0673086900