Kwangu hutalia nakuahidi nathamini hisia za mwanamke sana wewe mwenyewe lazima utanipa maua yangu.Nisije kulia zaidi ya mwanzo[emoji3]
Naomba namba yako pmNisije kulia zaidi ya mwanzo[emoji3]
Hizi ni saundi za wazi wazi kabisa😀😀Kwangu hutalia nakuahidi nathamini hisia za mwanamke sana wewe mwenyewe lazima utanipa maua yangu.
Fanya utaratibu tuonane nikupige paipu za kutosha 72 hrs bed & breakfast, nakuhakikishia hutomkumbuka tena huyo kima aliekutia mawazoNifanye nini wakuu?😪😪
Mmh hapana ahsante nimeshamsahau tayari 🚶♀️Fanya utaratibu tuonane nikupige paipu za kutosha 72 hrs bed & breakfast, nakuhakikishia hutomkumbuka tena huyo kima aliekutia mawazo
Ni kweli but nashukuru now simkumbuki tenaKama ulimpenda sana hata uki move on kuna siku lazima umkumbuke tu
Inaweza kuwa kweli japo kwa wadada pia wanaweza kufuatwa na watu zaidi ya huyo ila tu kinachoumiza ni zile memories and good moments you had togetherKwa wanawake huwa inawauma zaidi sababu Hana uwezo wa kumpata kama huyo aliyekuwa nae au kumzidi , hasa kama mwanaume ana muonekano mzur alaf anajiweza , mana wewe inategemea ufatwe sasa wa kukufata kama yeye siyo rahsi kuwapata , akikuacha utalia na kusaga meno , Kwa wanaume ni rahsi kupata best replacement , cha msingi uwe unajiweza kiuchumi
Ukweli mchungu but that's how it's inabidi uupokee km ulivyo sometimes Maisha yanatoa payback ambazo hukuzitarajia Ila inakupasa uzipokee tuBro hata kama hatufahamiani in reality lakini siyo busara kumtukana mtu hivi. Have some class.
Hakuna kuficha kitu hapo mambo ni kunyoosha kama rula.Hizi ni saundi za wazi wazi kabisa[emoji3][emoji3]
Chuma kwenye avatar sio chuma halisi usipagawe usije akatoka ndukiMtu anaachaje hiki chuma asee!
Ni kweli am not chuma, why binadamu awe chuma?Chuma kwenye avatar sio chuma halisi usipagawe usije akatoka nduki
Hahahahaha (in Jokers voice) wewe ushapigwa chini jiongeze usijipe maumivu mara 2 hata uki ignore meseji receivedNi kweli am not chuma, why binadamu awe chuma?
You are now in the ignored list, trash 🚮🚮
Si busara kutukana mtu namna hiiHahahahaha (in Jokers voice) wewe ushapigwa chini jiongeze usijipe maumivu mara 2 hata uki ignore meseji received
Madam hilo si tusi show me nilipotukana ni wapi au Kiswahili kigumu?Si busara kutukana mtu namna hii
Hahahahaha (in Jokers voice) wewe ushapigwa chini jiongeze usijipe maumivu mara 2 hata uki ignore meseji received
Hahahahaha who told you? Wewe nawe ungana nae mkagongwe mje kujiliza Jf, nimekupa ulichokifuata ukini-quote ukatema pumba nakumwagia mashudu let's goStress na njaa ni janga kwa vijana wengi jobless tz kwa sasa.