Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
introvert anajuaje kucheza sasa 😂😂😂Naomba kuuliza ivi ma introvert wenzangu mnajua kucheza yaan kudance kwenye party stlye kama vile kwaioto shakushaku au yeyoye ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
introvert anajuaje kucheza sasa 😂😂😂Naomba kuuliza ivi ma introvert wenzangu mnajua kucheza yaan kudance kwenye party stlye kama vile kwaioto shakushaku au yeyoye ile
Kwenye sherehe huwa sinyanyuki kwenda kucheza kama wengine.Nikinyanyuka ni ule mziki kwenda kutoa zawadi au pongeze kwa wahusika na naenda nikitembea sichezi kama wengine,kujiachia kama wengine siwezi.Sasa kwenye harusi yangu sijui nitafanyaje,nikiwazaga hili nakosa majibuVip kwenye sherehe kama graduation yako ya shule ivi ulifanyaje vp haujawah kutana na tukio lolote lililokutaka ucheze je ulifanyaje
Kabisa huyo ni Mimi sipendi ligi/vita.ukinikosea uniombe msamaha au usiniombe ukiniongelesha nitaongea tena kwa tabasamu,lakini moyoni mwangu sitakaa nikuamini wala sitakuchukia.naweza nikawa na huzuni sana moyoni ukaniongelesha nikakujibu kwa tabasamu at the same time machozi yakawa yananitoka halafu siwezi kusema kwa nini Niko hivyo basi naishia tu kusema Niko sawa!!!!Spirit of humbleness inasaidia maisha yanaenda, introvert wengi huwa sio watu wa kupenda ligi/vita
Mimi huwa naweza kucheza tu kimoyomoyo practically mmh!Naomba kuuliza ivi ma introvert wenzangu mnajua kucheza yaan kudance kwenye party stlye kama vile kwaioto shakushaku au yeyoye ile
Jamani jamani kwa jinsi nilivyo watu huwa hawaamini kama ni Mimi au laah!!!! Napenda kucheza na ninajua,na huwa nacheza mpaka majogoo,muda ule DJ anazima muziki!!Naomba kuuliza ivi ma introvert wenzangu mnajua kucheza yaan kudance kwenye party stlye kama vile kwaioto shakushaku au yeyoye ile
Daaah kama mimi yan najitahidigi sana kukweka kucheza kwenye masherehe lakin nikiwaza swala la harusi naishiwa nguvu kabisaa stlye nayojua kucheza mimi ni kupiga makofi tuuKwenye sherehe huwa sinyanyuki kwenda kucheza kama wengine.Nikinyanyuka ni ule mziki kwenda kutoa zawadi au pongeze kwa wahusika na naenda nikitembea sichezi kama wengine,kujiachia kama wengine siwezi.Sasa kwenye harusi yangu sijui nitafanyaje,nikiwazaga hili nakosa majibu
Vp mkuu kwenye harusi yako utacheza vipiHua nakunja mkono naweka kifuani kama ni sherehe hafu nakua natabasmu hapo ndio nashangilia kama wengine
Mm mwenyew kabla ya huu uzi nilijua niko peke angu ila nw nmepata matuin sanaNashukuru Mungu sijavipata,pia nashukuru kwa huu Uzi umenifanya nijitambue kwamba ndivyo nilivyo na siwezi kibadilika
😂😂😂😂😂😂duuh kweli kaziHua nakunja mkono naweka kifuani kama ni sherehe hafu nakua natabasmu hapo ndio nashangilia kama wengine
Hahah! Me kuna dada mmoja tulikua tumepanga nyumba moja aliniuliza kwann napenda kukaa ndan kama utumbo hakujua kama na enjoy kukaa peke anguYaani mimi mtu ambaye hajanizoea akipata nafasi ya kuwa karibu nami anaweza akahisi nina tatizo kubwa sana nalitafakari, kumbe mwenzie wala naenjoy zangu kufikiria tu
Tupo wengi mkuu mm hata kwenye sherehe zenyewe sipendag kwendaDaaah kama mimi yan najitahidigi sana kukweka kucheza kwenye masherehe lakin nikiwaza swala la harusi naishiwa nguvu kabisaa stlye nayojua kucheza mimi ni kupiga makofi tuu
Hii hali inan kata sana yan niko too selective kwanzia mahusiano na mpaka washikaji yan nna circle ndogo sana ya watuNadhani introvert wote huwaga na mawazo kama yako
flirtin around😂What happened on me too??😆
Daah! Mzee hii hali sema ndo hivyo hatuwezi kujibadilishaDaah nimeona Kama unaniongelea Mimi, nakuaga na Huruma Sana hasa mtu akilia shda Kama naweza kumsaidia, namsaidia.. napia naogopa kuwaambia watu ukweli.. coz I hate hurting them..[emoji2960]
Harusi yako utafanyaje sasaTupo wengi mkuu mm hata kwenye sherehe zenyewe sipendag kwenda
Ntakua napiga makofi tu mzee na kurusha rusha miguu kimtindoHarusi yako utafanyaje sasa
Yaani acha tu,mtu asiyekuelewa anaweza kuhisi pengine hujafurahia mtu kuoa au kuolewa, kumbe wala moyoni mwako shwari kabisaHua nakunja mkono naweka kifuani kama ni sherehe hafu nakua natabasmu hapo ndio nashangilia kama wengine
Acha tu mkuu shamrashara huwa zinanivuruga kichwa,basi na ule mziki mkubwa unaopigwa naona shida tu,nikitoka hapo huwa nahitaji kuwa peke yangu kwa muda fulani kurudisha nguvu otherwise nakuwa sipo normalHarusi yako utafanyaje sasa
Sure sijapata jibu itakuwaje mpaka Sasa,nikifikiria eti kule kucheza kwa madaha au blues mbele za watu naona mtihani tuHarusi yako utafanyaje sasa
Hahah! Me kuna dada mmoja tulikua tumepanga nyumba moja aliniuliza kwann napenda kukaa ndan kama utumbo hakujua kama na enjoy kukaa peke angu eti ama utumbo
eti kama utumbo😄.Mimi nina uwezo wa kukaa ndani hata mwezi mzima peke yangu na huwa siboreki kabisa,cha msingi niwe na mahitaji yote muhimu ndani.Wakati mwingine kama sina ratiba ya kutoka hata mlango wa kwanza ili nitoke nje huwa sifungui mpaka kesho yake.Nikiwa likizo huwa naenjoy Sana.Hahah! Me kuna dada mmoja tulikua tumepanga nyumba moja aliniuliza kwann napenda kukaa ndan kama utumbo hakujua kama na enjoy kukaa peke angu