Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

Kabisa huyo ni Mimi sipendi ligi/vita.ukinikosea uniombe msamaha au usiniombe ukiniongelesha nitaongea tena kwa tabasamu,lakini moyoni mwangu sitakaa nikuamini wala sitakuchukia.naweza nikawa na huzuni sana moyoni ukaniongelesha nikakujibu kwa tabasamu at the same time machozi yakawa yananitoka halafu siwezi kusema kwa nini Niko hivyo basi naishia tu kusema Niko sawa!!!!
Unyenyekevu pia calm mind ya introvert ni ya kuzaliwa sio kuigiza
 
Hii hali inan kata sana yan niko too selective kwanzia mahusiano na mpaka washikaji yan nna circle ndogo sana ya watu
Ndivyo tulivyo we are too selective hata kwa habari ya kuchagua mwenza wa maisha.Huwa nawaza huenda kundi la introvert ndio linaloongoza kuchelewa kuyaingia maisha ya ndoa kwa sababu ya kutafakari sana kabla ya kufanya maamuzi.Najisikia amani nikiwa na circle ndogo ya watu
 
eti kama utumbo😄.Mimi nina uwezo wa kukaa ndani hata mwezi mzima peke yangu na huwa siboreki kabisa,cha msingi niwe na mahitaji yote muhimu ndani.Wakati mwingine kama sina ratiba ya kutoka hata mlango wa kwanza ili nitoke nje huwa sifungui mpaka kesho yake.Nikiwa likizo huwa naenjoy Sana.
Nikiwa na kitabu changu pembeni,bundle kwa simu,basi nipo zangu ndani natafakari weeeeeh naenjoy sana.
Pia sipendi kelele kabisa,yaani mtu akitaka kuniweza mimi wala asiniendee kwa mganga kuniroga aniletee kelele tu atakuwa amenimaliza.
Hahah! Mm kazi zenyewe nafanyia kwenye pc home mwanzo mwisho ndani nikichoka nacheza game mwenyewe au move mda wa kutoka ni kwenda kula dakika kadhaa nmerud 😁😁
 
Ndivyo tulivyo we are too selective hata kwa habari ya kuchagua mwenza wa maisha.Huwa nawaza huenda kundi la introvert ndio linaloongoza kuchelewa kuyaingia maisha ya ndoa kwa sababu ya kutafakari sana kabla ya kufanya maamuzi.Najisikia amani nikiwa na circle ndogo ya watu
Acha tu yani circle yenyewe ya watu ndogo tutawapata wap,,mm mpaka nione ana interest na mm na amekidh vigezo vyangu lasivyo mda wa kum chatisha mtu sina
 
Ila jifunze kuepuka tu stress maana ni ngumu introvert kukosa stress maana wanatumia muda mwingi kuwaza
Kwenye stress nafikiri tatizo litakuja na mtu atakua anawaza vitu gani zaid ingawa stress haziepukiki
 
Mazingira nilikua napenda kwenda kuangalia mpira,michezo kama draft na marafiki nilio kua nao.. sema asili ni asili tu.. kwani sasa hivi naweza nikawa muongeaji kama siku hata mbili but week inayo kuja ntajifungia ndani na marafiki ntaanza kuwakwepa.
Hahhah! Nilitaka nishangae mkuu mimi nimejitahidi nimeshindwa kuchomoka
 
Mates;

Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina kikwazo chochote ambacho kinaweza kuwafanya wasisonge mbele au kupata yale wanayoyahitaji.

Upande wa Introverts mambo ni tofauti sana sana, wao dunia si mahali salama kwa muono wao na inakua ni ngumu sana kwao kupata yale wanayoyahitaji humu duniani. Introverts wanaamini au wanaiona dunia ist the bed of roses na unaweza kuishi na ku-Earn yale unayoyata bila kutumia nguvu kubwa sana ya mwili ila ya akili.

Bahati mbaya dunia haipo hivyo, dunia imejaa michongoma hii inawafanya introverts kuona hawafit kuishi duniani hapa ila ndio wapo sasa inabidi wakubaliane na matokeo.

Kama tunavyoelewa kua Extroverts ni watu Fulani ambao ni waongeaji wazuri na hawana aibu hata kidogo wakitaka kitu watakueleza mojakwamoja ila Introvert ni watu wasio na uwezo wa kujieleza vizuri na wana aibu sana, mara nyingi hutuia muda mwingi katika kufikiri na kutafakari vitu vipya!

Aliyeumba hizi aina kinzani za watu hakua mjinga, alikua na maana kubwa sana kuwaweka pamoja hapa duniani, katika hizi pande mbili kinzani zimeunganishwa na kitu kimoja ambacho ni Kutegemeana katika mazingira. Pande zote mbili zinategemeana mno kwa kiasi kikubwa kwakua introvert wanatumia muda mwingi kufikiria na kutafakari vitu basi hawa walijaliwa Creative and Genius mind!

Ukiangalia maandeleo katika Nyanja ya dunia hii yameletwa na watu ambao ni Introverts. Lakini Introvert person akiungana na extrovert person basi hua wanatengeneza the best duo, Introvert hua anamtumia huyo extrovert kama mdumo wake au nguvu yake huku yeye akitumia akili yake zaidi katika mambo japo maranyingi sana hua extroverts wanawatapeli introverts baada ya muda.

NB, sio kwamba extrovert hua hawana uwezo wa akili no, ila siku zote mtu anayeanza kutafakari maneno wakati wewe uko unaongea muheshimu sana, lakini pia usichanganye introvert na kibuli.

Wapo watu wengi walikua ni introvert wakaungana na extrovert wakatenda mambo makubwa hapa duniani Nitatoa baadhi ya mifano

Mussa
Huyu jamaa alikua nae ni introvert, hana uwezo mzuri sana wa kujieleza ndio maana alipoitwa na Mungu alimuuliza atawezaje kuzungumza nao wakati hawezi kuongea vizuri? Mungu akampatia msaidizi wake amabae ni Aaron, walitengeneza moja ya kolabo bomba hapa duniani nadhani mambo waliyofanya tunayajua na yataendelea kuwepo daima

Tesla
Tesla alikua ni introvert aliyepitiliza, alijua duniani kila mtu ni mwema kama yeye. Alikutana na bwana Thomas Eddison wakafanya kazi pamoja mpaka leo umoja wao ndio unatufanya tunaweza kuchati hapa, bahati mbaya Thomas alimdhurumu tesla ila hakujali kufa maskini alishukuru tu kua akaili yake imeweza kuleta maendeleo duniani.

Mark Zuckenburg
Binafsi hua nikiamuangalia tu mark namuonea huruma tu kwa munekano wake, ni moja kati ya watu amabao wana Innocent face, ukimuangalia tu unamuhurumia. Ni watu wachache sana wenye hiyo haiba yay a kuonekana wanatia huruma. Mark ni introvert maisha yake chuoni alikua sio muongeaji hata ukimuudhi vipi hua anabaki kimya.

Kuna kipindi kama miaka 2 imepita ilitokea mgogoro kwamba mark kaiga ile technology ya kuangalia game in vitual reality. Ikatakiwa alipe pesa, ilimuuma mno ila hakuongea alibaki nalo rohoni. Rafiki yake mkubwa amabae amemsaidia sana kufanikisha facebook kufika hapa ilipo ni Eduardo Sevarin. Eddu alikua muongeaji tu na mtafuta masoko na investors mpaka leo umoja wao huo ndio umeawafikisha hapa mark ni billionea.

David Benioff
Huyu jamaa ni moja kati ya watengenezaji wa tamthiria ya game of thrones, nayeye sio muongeaji kama walivyo introverts wote pia ana aibu mno. Anar rafiki yake waliyekutana nae chuoni anaitwa Daniel Brett Weiss (D.B.Weiss) naye huyu ni moja ya watengenezaji wa tamthiria hii. Ila huyu DB Weiss hana aibu hata kidogo na nimuongeaji sana.

Hata wakiwa kwenye interview maswali yanayomuhu David benioff hua anayjibu yeye the funny thing ni kwamba walipokua wanafanya casting ya actors labda kama kuna actor Fulani ambaye the next season alitakiwa afe David Benioff alikua hawezi kuwaambia eti anaogopa! So aliyekua anafanya kazi hiyo alikua ni DB Weiss tena kwake ilikua rahisi mno.

View attachment 1526082

Issack Newton
Kama kawaida ya introverts wote basi Newton pia hakua na marafiki kabisa alipenda kujifungia ndani ya maabara yake kufanyia tafiti fikra zake na kujipa nafasi ya kufikiri zaidi. Alikua anamsemo wake anasema kwamba “ Plato is my friend, Aristotle is my friend, but my best friend is truth” Lakini naye alikua na rafiki yake ambae alikua ni muongeaji mzuri/Extrovert aliitwa John Locke. Huyu ndio alikua rafiki pekee wa Newton na yeye ndio aliweza kumuelezea vizuri tabia zake za upweke japo baadae walishindwana urafiki wao. Maana Muda mwingi Newton alikua bize.

Albert Eintein
Albert alipohamia Switzerland akaanza kufanya kazi kwenye ofisi za Patent right (haki miliki) ndipo alipoanza kufanyia kazi Hobby yake pendwa ya Kufikiria. Ofisini kwake kulimwezesha kufikiria maana hakua na kazi ngumu, kupitia dirisha lililokua ofisini mwake aliweza kuformulate theory of relativy maana alikua anautafakari mwanga uliokua unaingia ofisini mwake kupitia dirishani….Japo alikua ni mtu mmoja mkimya sana na alikua anaongea kila baaada ya kutafakari sana anachotaka kuongea pia alikua na rafiki yake wa karibu toka zamani ambae wamesaidiana mengi si mwingine ni Michelle Besso. Beso ndio alikua rafiki yake mkubwa na kumuwezesha Albert kufanya mengi makubwa.

Mifano ni mingi sana ya urafiki wa introverts na extrovert, watu maarufu ambao ni Introverts..na wametenda mengi makubwa duniani mfano:

Albert Einstein,Rosa Parks,Bill Gates,Steven Spielberg,Sir Isaac Newton,Eleanor Roosevelt, Mark Zuckerberg,Larry Page,Al Gore,Marissa Mayer, Abraham Lincoln,
JK Rowling,Warren Buffett, Mahatma Gandhi,Hillary Clinton, Michael Jordan,Meryl Streep,Elon Musk,Dr. Seuss,Frederic Chopin

Introverts kwakua wao hawawezi kuingiliana vizuri na jamii waliyomo hivyo basi muda wao mwingi hua wanautumia kwenye mitandao ya kijamii. Huku kwenye jamii hawana attention kwa watu so wanachofanya ni kutafuta attention mitandaoni at any cost. Introvertism,Geniusity,Lonelness na Ugonjwa wa akili ni vitu vinavyoenda sambamba. Ukikuta mtu anaandika mapost marefu,anatukana au kuudhi watu mitandaoni usimchukie.

Muhurumie sana maana anakua muhanga wa matatizo niliyoyaainisha hapo juu. Wanafanya kuudhi watu ili nao waonekane kama wanaweza kufanya kitu, wanajitahid kufit in ila bahati mbaya wanatumia approach mbaya ya kuudhi watu.. Introverts ni watu poa sana, wana mioyo mizuri sana na wana akili zenye uwezo mkubwa.

-Vinci
Duuh introvert by virtue of appearance and everything
 
Hahhah! Nilitaka nishangae mkuu mm nmejitaid nmeshindwa kuchomoka
Mbaya zaidi wale niliokuwa napiga nao story nachukia hata kukutana nao yaani nahisi kama wanafki fulani hivi... napenda kukaa gheto au kwenda sehemu ya peke yangu tu.
 
Mates;

Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina kikwazo chochote ambacho kinaweza kuwafanya wasisonge mbele au kupata yale wanayoyahitaji.

Upande wa Introverts mambo ni tofauti sana sana, wao dunia si mahali salama kwa muono wao na inakua ni ngumu sana kwao kupata yale wanayoyahitaji humu duniani. Introverts wanaamini au wanaiona dunia ist the bed of roses na unaweza kuishi na ku-Earn yale unayoyata bila kutumia nguvu kubwa sana ya mwili ila ya akili.

Bahati mbaya dunia haipo hivyo, dunia imejaa michongoma hii inawafanya introverts kuona hawafit kuishi duniani hapa ila ndio wapo sasa inabidi wakubaliane na matokeo.

Kama tunavyoelewa kua Extroverts ni watu Fulani ambao ni waongeaji wazuri na hawana aibu hata kidogo wakitaka kitu watakueleza mojakwamoja ila Introvert ni watu wasio na uwezo wa kujieleza vizuri na wana aibu sana, mara nyingi hutuia muda mwingi katika kufikiri na kutafakari vitu vipya!

Aliyeumba hizi aina kinzani za watu hakua mjinga, alikua na maana kubwa sana kuwaweka pamoja hapa duniani, katika hizi pande mbili kinzani zimeunganishwa na kitu kimoja ambacho ni Kutegemeana katika mazingira. Pande zote mbili zinategemeana mno kwa kiasi kikubwa kwakua introvert wanatumia muda mwingi kufikiria na kutafakari vitu basi hawa walijaliwa Creative and Genius mind!

Ukiangalia maandeleo katika Nyanja ya dunia hii yameletwa na watu ambao ni Introverts. Lakini Introvert person akiungana na extrovert person basi hua wanatengeneza the best duo, Introvert hua anamtumia huyo extrovert kama mdumo wake au nguvu yake huku yeye akitumia akili yake zaidi katika mambo japo maranyingi sana hua extroverts wanawatapeli introverts baada ya muda.

NB, sio kwamba extrovert hua hawana uwezo wa akili no, ila siku zote mtu anayeanza kutafakari maneno wakati wewe uko unaongea muheshimu sana, lakini pia usichanganye introvert na kibuli.

Wapo watu wengi walikua ni introvert wakaungana na extrovert wakatenda mambo makubwa hapa duniani Nitatoa baadhi ya mifano

Mussa
Huyu jamaa alikua nae ni introvert, hana uwezo mzuri sana wa kujieleza ndio maana alipoitwa na Mungu alimuuliza atawezaje kuzungumza nao wakati hawezi kuongea vizuri? Mungu akampatia msaidizi wake amabae ni Aaron, walitengeneza moja ya kolabo bomba hapa duniani nadhani mambo waliyofanya tunayajua na yataendelea kuwepo daima

Tesla
Tesla alikua ni introvert aliyepitiliza, alijua duniani kila mtu ni mwema kama yeye. Alikutana na bwana Thomas Eddison wakafanya kazi pamoja mpaka leo umoja wao ndio unatufanya tunaweza kuchati hapa, bahati mbaya Thomas alimdhurumu tesla ila hakujali kufa maskini alishukuru tu kua akaili yake imeweza kuleta maendeleo duniani.

Mark Zuckenburg
Binafsi hua nikiamuangalia tu mark namuonea huruma tu kwa munekano wake, ni moja kati ya watu amabao wana Innocent face, ukimuangalia tu unamuhurumia. Ni watu wachache sana wenye hiyo haiba yay a kuonekana wanatia huruma. Mark ni introvert maisha yake chuoni alikua sio muongeaji hata ukimuudhi vipi hua anabaki kimya.

Kuna kipindi kama miaka 2 imepita ilitokea mgogoro kwamba mark kaiga ile technology ya kuangalia game in vitual reality. Ikatakiwa alipe pesa, ilimuuma mno ila hakuongea alibaki nalo rohoni. Rafiki yake mkubwa amabae amemsaidia sana kufanikisha facebook kufika hapa ilipo ni Eduardo Sevarin. Eddu alikua muongeaji tu na mtafuta masoko na investors mpaka leo umoja wao huo ndio umeawafikisha hapa mark ni billionea.

David Benioff
Huyu jamaa ni moja kati ya watengenezaji wa tamthiria ya game of thrones, nayeye sio muongeaji kama walivyo introverts wote pia ana aibu mno. Anar rafiki yake waliyekutana nae chuoni anaitwa Daniel Brett Weiss (D.B.Weiss) naye huyu ni moja ya watengenezaji wa tamthiria hii. Ila huyu DB Weiss hana aibu hata kidogo na nimuongeaji sana.

Hata wakiwa kwenye interview maswali yanayomuhu David benioff hua anayjibu yeye the funny thing ni kwamba walipokua wanafanya casting ya actors labda kama kuna actor Fulani ambaye the next season alitakiwa afe David Benioff alikua hawezi kuwaambia eti anaogopa! So aliyekua anafanya kazi hiyo alikua ni DB Weiss tena kwake ilikua rahisi mno.

View attachment 1526082

Issack Newton
Kama kawaida ya introverts wote basi Newton pia hakua na marafiki kabisa alipenda kujifungia ndani ya maabara yake kufanyia tafiti fikra zake na kujipa nafasi ya kufikiri zaidi. Alikua anamsemo wake anasema kwamba “ Plato is my friend, Aristotle is my friend, but my best friend is truth” Lakini naye alikua na rafiki yake ambae alikua ni muongeaji mzuri/Extrovert aliitwa John Locke. Huyu ndio alikua rafiki pekee wa Newton na yeye ndio aliweza kumuelezea vizuri tabia zake za upweke japo baadae walishindwana urafiki wao. Maana Muda mwingi Newton alikua bize.

Albert Eintein
Albert alipohamia Switzerland akaanza kufanya kazi kwenye ofisi za Patent right (haki miliki) ndipo alipoanza kufanyia kazi Hobby yake pendwa ya Kufikiria. Ofisini kwake kulimwezesha kufikiria maana hakua na kazi ngumu, kupitia dirisha lililokua ofisini mwake aliweza kuformulate theory of relativy maana alikua anautafakari mwanga uliokua unaingia ofisini mwake kupitia dirishani….Japo alikua ni mtu mmoja mkimya sana na alikua anaongea kila baaada ya kutafakari sana anachotaka kuongea pia alikua na rafiki yake wa karibu toka zamani ambae wamesaidiana mengi si mwingine ni Michelle Besso. Beso ndio alikua rafiki yake mkubwa na kumuwezesha Albert kufanya mengi makubwa.

Mifano ni mingi sana ya urafiki wa introverts na extrovert, watu maarufu ambao ni Introverts..na wametenda mengi makubwa duniani mfano:

Albert Einstein,Rosa Parks,Bill Gates,Steven Spielberg,Sir Isaac Newton,Eleanor Roosevelt, Mark Zuckerberg,Larry Page,Al Gore,Marissa Mayer, Abraham Lincoln,
JK Rowling,Warren Buffett, Mahatma Gandhi,Hillary Clinton, Michael Jordan,Meryl Streep,Elon Musk,Dr. Seuss,Frederic Chopin

Introverts kwakua wao hawawezi kuingiliana vizuri na jamii waliyomo hivyo basi muda wao mwingi hua wanautumia kwenye mitandao ya kijamii. Huku kwenye jamii hawana attention kwa watu so wanachofanya ni kutafuta attention mitandaoni at any cost. Introvertism,Geniusity,Lonelness na Ugonjwa wa akili ni vitu vinavyoenda sambamba. Ukikuta mtu anaandika mapost marefu,anatukana au kuudhi watu mitandaoni usimchukie.

Muhurumie sana maana anakua muhanga wa matatizo niliyoyaainisha hapo juu. Wanafanya kuudhi watu ili nao waonekane kama wanaweza kufanya kitu, wanajitahid kufit in ila bahati mbaya wanatumia approach mbaya ya kuudhi watu.. Introverts ni watu poa sana, wana mioyo mizuri sana na wana akili zenye uwezo mkubwa.

-Vinci
Nahisi mimi ni Introvert maana napataga shida sana kutongoza wanawake ila cha kushangaza wananitongoza wao wenyewe (wanawake), je hawa wanawake wanaweza kuwa extroverts maana pia wako too loud tunapokuwa faragha au na marafiki, yaani hawana aibu?
 
Dah aisee.

Mawazo, kuwaza Sana hii Hali inaniumiza sana. Nina marafiki wachache na sio mwepesi kushare kila kitu kwa watu.

Sio mwepesi kumzoea mtu, mara nyingi niko kimya, huwezi kunikuta vijieweni mara nyingi.

Kazini dereva wangu ni muongeaji Sana lakini kuna musa naona ananiboa Mana nakua kimya nikitafakari mambo mengi kichwani.

I hate this situation yani,I'm not happy wakati sitakiwi kuwa hivi.

Kipindi flani niko chuo nilienda hospital moja,daktari alivyoniona akaniita akaniuliza unawaza nini?akanipa ushauri na kunisihi nipunguze mawazo,haya maisha yapo tu.its almost 5 years lkn bado nakumbuka ushauri wake.


Sometimes nachukia kuwa introvert Mana nahisi najiua kimya kimya.
 
Hivi kushindwa kusamehe ni tabia ya introvert pia au ni litabia langu tu libaya?. Binafsi huwa sio mtu wa kukasirika kirahisi, mtu anaweza kunifanyia kitu kibaya sana na nikawa namchekea tu. Ila ikitokea siku nikakasirika, hiyo ndo nitolee....hata atembee kwa magoti kutoka kwake hadi nilipo siwezi hata kifikiri kumsamehe.


Huu ni mwezi sasa tangu rafiki yangu wa karibu sana (jinsia ke) anitamkie kauli ambayo sikuipenda (si kauli mbaya sana kiasi hicho na nadhani alisema katika hali ya kunitania), kuanzia siku hiyo nilamfungia vioo. Ametuma meseji kibao akiniomba lakini sijajibu hata meseji moja na sina mpango wa kujibu, amepiga simu sana lakini sipokei na sina mpango wa kupokea. Mpango nilionao ni kumwondoa mbali kabisa na maisha yangu.


Yeye ndiye alikuwa alikuwa rafiki yangu wa pekee wa kike. Tumepitia nyakati nzuri sana na yeye tukiwa kama marafiki wa karibu.


Sasa hivi nimebaki mwenyewe tena, nikiwa alone ni mwendo wa kubadili vifaa tu. Mara nishike simu, mara nishike peni na daftari, mara nitupe peni nichukue penseli, mara nishike pc, mara nishike kitabu.


Ila napenda jinsi nilivyo.
 
Back
Top Bottom