Munuo
Member
- Jul 30, 2019
- 98
- 128
Kivip mkuu wewe unakunywa pombe vp
ukishakunywa unawwza kucheza kwenye party au clubYes tukilewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukishakunywa unawwza kucheza kwenye party au clubYes tukilewa
Hiyo hali ya kuulizwa 'mbona unaonekana una mawazo sana!?' ishanitokea mara nyingi sana; kwenye daladala, darasani, nk.Dah aisee.
Mawazo,kuwaza Sana hii Hali inaniumiza sana.nina marafiki wachache na sio mwepesi kushare kila kitu kwa watu.
Sio mwepesi kumzoea mtu,mara nyingi niko kimya,huwezi kunikuta vijieweni mara nyingi.
Kazini dereva wangu ni muongeaji Sana lkn kuna musa naona ananiboa Mana nakua kimya nikitafakari mambo mengi kichwani.
I hate this situation yani,I'm not happy wakati sitakiwi kuwa hivi.
Kipindi flani niko chuo nilienda hospital moja,daktari alivyoniona akaniita akaniuliza unawaza nini?akanipa ushauri na kunisihi nipunguze mawazo,haya maisha yapo tu.its almost 5 years lkn bado nakumbuka ushauri wake.
Sometimes nachukia kuwa introvert Mana nahisi najiua kimya kimya.
Yeah!Kivip mkuu wewe unakunywa pombe vp
ukishakunywa unawwza kucheza kwenye party au club
HahahahahHua nakunja mkono naweka kifuani kama ni sherehe hafu nakua natabasmu hapo ndio nashangilia kama wengine
Dooh kukaa pekee yako ili kurudisha nguvu, by the way nguvu zipi hizo? Na zinaishaje? Kwamba ili zirudi unalazimika kukaa peke yako, kwa nini?Acha tu mkuu shamrashara huwa zinanivuruga kichwa,basi na ule mziki mkubwa unaopigwa naona shida tu,nikitoka hapo huwa nahitaji kuwa peke yangu kwa muda fulani kurudisha nguvu otherwise nakuwa sipo normal
Hivi tarehe na mwezi wa kuzaliwa unaendana na kuzaliwa ukiwa either introvert au extrovert?Ndivyo tulivyo we are too selective hata kwa habari ya kuchagua mwenza wa maisha.Huwa nawaza huenda kundi la introvert ndio linaloongoza kuchelewa kuyaingia maisha ya ndoa kwa sababu ya kutafakari sana kabla ya kufanya maamuzi.Najisikia amani nikiwa na circle ndogo ya watu
Hahahaha very trueMazingira nilikua napenda kwenda kuangalia mpira,michezo kama draft na marafiki nilio kua nao.. sema asili ni asili tu.. kwani sasa hivi naweza nikawa muongeaji kama siku hata mbili but week inayo kuja ntajifungia ndani na marafiki ntaanza kuwakwepa.
Naomba kuuliza ivi ma introvert wenzangu mnajua kucheza yaan kudance kwenye party stlye kama vile kwaioto shakushaku au yeyoye ile
Noma sana, huwa najitahidi kubadilika lakini najikuta nashindwa kabisa. Halafu asilimia kubwa huwa ni kwa upande wa jinsia ke.Hiyo sio intrverts trait ni behavioral model yako.
Binafsi hata nikuchukie vipi nikitabasamu au ukiniomba msamaha nasamehe kila kitu. Sipendi kuombws msamaha maana neno nisamehe hua laniuma sana
Umezaliwa kati ya mwezi tarehe 20 mwezi wa 6 hadi 19 mwezi wa saba???? Yaani lazima utakua unacheza hapoYes offcourse hata mimi ndio nilivyo.
Kwa mfano mtu akiniletea dharau huwa narekodi halafu namvizia baada ya muda mrefu sana wakati kashasahau namfanyia kitu ambacho kitamtesa miaka yote.
Yaani niko very strategic nikimuwekea mtu mtego anakuja kunasa mzima mzima lazima kamasi zimtoke.
Umezaliwa kati ya mwezi tarehe 20 mwezi w 6 hadi 19 mwezi wa saba???? Yaani lazima utakua unacheza hapo
Kula tunda ww😂😂😂Kuna nyumba nimehamia kuna wadada wanajitahidi sana kunizoea lakini inashidikana. Ni hivi majuzi mmoja wao akavizia narudi kutoka kazini ikabidi aniulize jina maana anadai huwa wananitambua kama "yule mkaka wa chumba cha kwanza".
Najitahidi sana niwazoee lakini kuna nguvu inanirudisha nyuma najikuta sina cha kuongea nao, sina mada ya kuchangia. Kutoka nje sana sana ni hadi nikiwa nafua, muda uliobakia naumalizia ndani kwangu hadi muda wa kulala ukifika.
Vipi imeshawahi tokea tukio ambalo lilikutaka ucheze ulifanyajeDah,napenda sana music lakini kucheza hizo styles nimeshindwa kabisa,ila kusikiliza na kuangalia,naweza kukesha
Sina hakikaHivi tarehe na mwezi wa kuzqliwa unaendana na kuzaliwa ukiwa either introvert au extrovert?
Nguvu niliyozungumzia ni ile hali ya kuhisi akili na mwili wako uko active yaani haujashoshwa.Hata wewe ukijichunguza vizuri utagundua kuna vitu ukifanya akili au mwili wako inachoka au inapata nguvu.Sasa kiasili kuna mambo yanachosha ubongo wa introvert kwa wepesi,ubongo wa introvert unapenda utulivu.Dooh kukaa pekee yako ili kurudisha nguvu, by the way nguvu zipi hizo? Na zinaishaje? Kwamba ili zirudi unalazimika kukaa peke yako, kwa nini?
Umemaliza kila Kitu, kama hizo ndio tabia za ma Introvert huyo ni mimi kabisa na mbaya zaidi nazikuta hizo tabia mpaka katika nyota yangu, Scorpio 10, Nov.Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...
1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.
2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..
3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,
4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.
5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.
6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...
7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Nilikua kiranja kuna dogo kavusha msosi alie bwenini, kumzuia akadai anafuata blueband kwakua nilikua nayo nikamuwekea ili asiende bwenini, bwana weeeh siakajifanya mbishi... sintosahau maishani kilichotokea, na sikufukuzwa kwa vile dogo alikua anajulikana kiburi but mpaka leo natamani nikutane nae nimuombe msamaha japo sijui kama anakumbuka au la maana ni miaka 15 hivi imepita.But tuna ile halii watu wasipokua waelewa mfano labda umewapa amri fulani hivi waifuate,then wakapuuza huwa tunakuja na maamuzi magumu yasio na huruma ndani yake japo mwishon huwa tunajutia tulichokifanya!!