Naongezea sifa zengne tulizo nazo ma introvert...
1-: hatujui kuchagua vitu hasa rangi au umbo....yaani unaweza ukatoka nyumban kwenda dukan kununua labda nguo aina flan rangi flani ile nguo ukaikosa apo Sasa muuzaji anaweza akakuuzia rangi yyte ata usiopenda na ukashindwa ata kukataa...unalipa unasepa uku ukijifariji.
2-:wapekuzi sana wa mambo yaani Kama unamauhusiano na bint utampekua bila yeye kujua adi mambo yasiopekurika mwsho wa sku huwa tunabaki na siri moyoni wala hatuwaambii wale tulio wapekua..
3-: hatupendi kutishwaa....mfano kutishwa utoe kitu fulani ili upate kitu fulani,
4-:hatuwezi kusimulia vtu kwa mdomo...tunaweza tukasoma vtu tukavielewa Ila Kwenye kuvipresent tukashindwa.
5:- huwa tunatamani tuwe tofauti na tulivyo Ila tunajikuta tupo hvyohvyo,usipojijua utabaki unaishi maisha ya kuiga tu.
6-:tunapenda Sana kufanya mapenzi Ila hatupendi tuonekane katk hali hyo...
7-: wapenzi wetu Mara nyingi ni wale marafiki zetu wa karbu sana...tulio wazoea ndo hao hao tunawatongoza.
Umemaliza kila Kitu, kama hizo ndio tabia za ma Introvert huyo ni mimi kabisa na mbaya zaidi nazikuta hizo tabia mpaka katika nyota yangu, Scorpio 10, Nov.
Kikubwa uzi huu umenisaidia kubishana na hali hii kwa kiasi fulani... coz kuna mambo mengi niliyoanza kuyafanya ila kuyamalizia ndio mtiti ulipo kwakua naona kama finishing haitakua kama ile niionayo fikrani so now nimeamua kuyamalizia hivyo hivyo na mrejesho niupatao ni tofauti na nilivyokuwa nadhani mwanzoni. Kumbe nilikua sahihi tuu.
Kero kubwa niipatayo ni watu wangu wakaribu ndugu na marafiki kudhani nipo katika mateso ya maisha yangu. ilhali mimi kama mimi naenjoy tuu. Nilijua nimeamua tuu kupenda kuwa peke yangu kumbe sivyo... but faida za upweke zimenifanya niwe mult talented kwakyweza kufanya vitu vingi vyakisanaa kuanzia kuchora, kuimba, kuigiza, kutengeneza uchongaji, ushonaji na hakuna kitu nimejifunza nikafeli.
Na kitu kingine ni watu kudhani mimi siwezi kukosa deal lakufanya kiasi hata deal zikija wanadhani nitazikataa kutokana na u personal wangu katika kuishi. So nakosa michongo mingi sana mpak nikiwa natangaza ukitokea ila bado naonekana kam natania.
Maapenzini ndio umeua kabisa, katika puyanga zangu mpaka sasa sijawahi kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye sikufahamiana nae b4 mahusiano.. hata nijue yeye ndio ananipenda mpaka hajiwezi lazima nimfanye rafiki kwanza nikimuelewa tunalisongesha..
Sasa kama kun jamii hii yetu, je Jamii kwa ujumla ina elimu ya tabia hizi? Jibu hakuna, kwa maana hiyo kuna watu wengi channel zao zimekuwa chenga kutokana na kulazimishwa aishi katika maisha yasiokuwa yake..
Kila niliposoma, hadi kuzoeana na maclassment ilikua inanichukua mwaka mzima, na nikishazoeana nao, mimi ndio nakua kiongozi wa watu wenye mishemishe na kufikia kuweza kuwa kiongozi wao.
Ninachokiona sasa, hata mahusiano ya watu wa jamii hii wengi huwa wametendwa kuliko kuwatenda wenzi wao. Na kibaya zaidi Introvert akisema hataki kutoka moyoni, bora uachane nae labda iko siku atakukumbuka, Hatulagi matapishi kabisa.
Swali langu ni hili... Je kwa baadhi ya tabia za Introvert haziwezi kuwekwa katika kundi la magonjwa ya akili?
Mfano kujiona na kuamini yeye ni mtu muhimu na mwenye heshma zake katika jamii na sometimes hana vhochote akifanyacho.