Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Inaendelea,

Sasa bhana pale chuoni kulikuwa na warembo balaa ila kwa sababu sina mkwanja nilikuwa napita pembeni japo nilikula wawili waliojileta wenyewe. Hawakuwa pisi kali wala nini, ni wale wanaoweza kulika tu. Pisi kali nilikuwa nazipita kama sizioni maana niliona nitajiongezea stress tu. Stress za Khumbu zilikuwa zinanitosha kabisa hadi nilikuwa nahitaji kuzigawa maana zilikuwa kama zimamwagikia hahahahah! Ila kuna pisi kali moja matata ilikuwa pisi ya mshikaji nasoma nae ilinipenda yenyewe ilitaka kuingia kwenye 18 zangu nikaikosa kosa. Mtanikumbusha niwape ID yake inayotumia facebook muiview. Iko njema hatari.

Khumbu aliendelea kunibania sana. Alikuwa anakuja mara moja sana. Na akija atalala siku moja kesho anasepa.
Kuna siku alikuja, hiyo siku ilikuwa kipindi cha mitihani. Kama nilivyowaambia kipindi cha mitihani watu kibao walikuwa wanataka kujisomea na mimi. Mpaka kuna msemo walikuwa wanauongea "If you can't beat Konda msafi, join him". Siku hiyo Khumbu alinipigia simu akaniambia leo atakuja kulala. Sasa ikawa mtihani maana tulikuwa tunajisomea hadi saa 6 za usiku. Dah ikabidi niwape excuse hao watu wanaotaka kujisomea na mimi. Nikawaambia leo ni emergency siwesi kukaa mpaka usiku. Nitasepa ikifika saa 11 jioni ili nikamsubirie Khumbu. Watu wakanielewa ila kuna mshikaji wangu mmoja anaitwa Sandile na demu mmoja anaitwa Pontsho wakasema Konda msafi tutaenda wote kwako kujisomea, dah nikaona hii sasa shughuli. Nikafikiria, nikaona watu wawili hakuna shida, twendeni tukajisomee home kwangu.

Itaendelea..
 
Uzamwamwa huo tangulini dumu akamuita dume mwenzake kipenzi naona mmemsahau makonda nyie

Basi nilipoangalia dp yako ikanipelekea kusema hayo plus na mundende ninaopiga hapa ndiyo kabisa, nisamehe mzee baba hapo vp? [emoji481][emoji481][emoji481][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji482][emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
 
Tangu mwanzo nilishaanza kuhisi Khumbu atakua tu ni Mama wa mtoto au watoto,kusema la ukweli wanawake waliozaaa hawa tunaowaita single mothers au vyovyote vile huwa 90% ni visu tena viwembe kweli kweli.

Khumbu deserves kuwa mzuri, sema siku hizi nikiona tu toto lina figure ya kueleweka huwa najiongeza maana najua panga pangua hakosi mtoto.

Japo si wote wenye figure wana watoto ila wengi wao ni hivyo
 
Sasa hapo kwenye hilo neno kula kimasihara mods wangetuekea linki ya ule uzi wetu pendwa kama refference
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…