Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

yani watu tunalala tunamuota Khumbu mpaka tumeamka nae nq sasa tupo nae kazini..btw niko na vjana apa wanapiga Mock form 6 naona wanasinzia tu Natamani niwasomee hii story wachangamke

Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine niko kwenye kikao na mm ndo katibu lakini nimezama kwenye story ya Khumbu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo busy mkuu. Ila natupia jicho humu mara moja moja. Ila muda wa kuandika stori ndio sina.
Fanya kazi mkuu, watu wenyewe wanaleta uzushi, kwanza watoe picha ya Sindile, jioni ndio leta story
 
Ikifkaga hapa ndo suala la masela nakataaga kabisa, mkishazoeana dharau huwa zinaanza kudadek,
 
Watu wwngine humu wanaboaaa kinyamaa yani hii story katika JF ndo nimeifatilia hatua kwa hatu na story ya mwamba mmoja yule wa his father is his hero. Yani story ya khumbu inanipa mzuka hatarii. Sasa wengine mnagoogle mpk wahusika jamani. Mnapenda sana kuharibu centre of concentration za watu.
 
Ujinga wako ni ile ku-admit kuwa ndo yeye, bila hivyo nani angethibitisha.... picha za wangapi humu zinatumwa bila maelezo na hatujali!
Nafikiri bado hujanielewa. Swala sio ku-admit, point ni mimi kuvumilia kuona picha ya jamaa yangu imeanikwa hapa. Sijui kama unanielewa. Of course naelewa kama nisingeadmit hakuna mtu ambaye ange-pay attention. Ila dhamira yangu isingekubaliana kuona picha ya mtu ninayemfahamu akiwa hapa. Umeshafikiria huenda hata Sandile mwenyewe akaiona hii picha hapa JF?
 
Duuh kumbu kanisababisha hadi saiv sijala tangu asubuhi nafatilia wala sitak mtu aniongeleshe kabisa [emoji1787][emoji1787], hii story inafanya mtu unakua horny sana kwa haka kaubaridi unaweza kujichukulia sheria mkononi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu umezama gugo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji38][emoji28][emoji1787]asee hii kali ..kwa hiyo kule ukiwa na kiherehere cha kupenda unaweza kujiua
 
Wapi imeandikwa ni lazma kufanya ngono ni lazma mzae? Unayajua malengo yao? Unajua alichokua anatumia Khumbu? Mkuu huko ni kuingilia maisha ya mtu na uhuru wake

Usiwe siriazi sana, kwani unateseka?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji112][emoji112]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…