Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Kama umeamu kukatisha stori sawa maana ni yako.Hapana mkuu, hakuna hata mtu anayenichambua kaka. Kuwa na amani kabisa ndugu yangu. Hata kama wataamua kunichambua na kupata identity yangu hamna watakachopata maana naishi maisha clean kabisa. Naendesha maisha yangu kwa kipato halali kabisa. Sema tokea nimeanza kuandika hii stori imenichukulia muda wangu mwingi sana. Mwanzoni nilidhani ningeimaliza siku moja tu ndani ya masaa machache ila kadri nilivyozidi kuandika nikajikuta natamani kuiielezea vizuri tukio kwa tukio ili kumfanya anayeifuatilia aweze kupata picha nzuri ya tukio. Niliona nikiielezea kwa juu juu itabore na insingefikia lengo langu la kuishare hapa JF. Kawaida nikiamua kufanya kitu nina tabia ya kukifanya kwa ufanisi. Hata nilipokuwa shule nikiwa najibu swali huwa nalijibu kwa kuhakikisha point zote ninazozijua naziandika, sina tabia ya kuandika au kufanya jambo kwa kulipua. Kulingana na nilivyo nimeona hii stori itaendelea kunichukulia muda wangu maana sitataka niiandike kwa kuikimbiza au kurukaruka.
Naamini mleta stori anastahili adhabu kali tena haijalishi stori ameamua alete mwenyewe bila kushaishiwa na mtu yoyote au lah
Natoa tamko nampa saa 12 kama hatamalizia stori kulingana na matakwa ya wasomaji kitakachomkuta nisije nikalaumiwa .ikiwa huruma yangu itanipendeza zaidi nitaimalizia stori mwenyewe na kutupia picha za khumbu
Utamu wote huwezi ukageuka chungu ghafla bila maelezo ya kueleweka. eti kisa stori ni ndefu mara ohhh imechukua miaka sita haiwezekani kuilezea kwa siku chache ...nakataa hilo sio la kweli unajua stori ya roma ilichukua zaidi ya miaka 890 lakini ilichukua wiki na siku chache kuiandika
Mkuu #kondamsafi SIO KESI FANYA HIVII SISI TUTAKUWA NA PUMZIKO LA MUDA UANDAE EPISODE KAMA 20 BILA KUTUPIA KWA MUDA WAKO THEN ZIKIKAMILIKA KWA SIKU UNATUPIA HATA 3 TUNAZISOMA KESHO TENA 3 HIVYO HIVYO NAAMINI UKIFANYA HIVYO HAUTAKUWA NA PRESHA YAKUANDIKA KILA WAKATI MAANA ZIKIFIKA 20 HUJAZIWEKA NDIO UKAANZA KUTUPIA ITAKUPA MUDA MZURI HATA KWA SIKU UKAWA UNAANDIKA MOJA KUJAZIA HIZO 20 NA MUDA UKAWA NAO WAKUTOSHA KULIKO KUSUBIRIA HIYO HIYO MOJA WATU WAISOME PRESH PRESHA ZA WATU ZITAPUNGUA.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......! Nimecheka hatari. Mtakuja kuvunja viuno,pigaga tu hiyo hiyo kifo cha mende. Style ya kung'uta siafu, waachie khumbuTangu juzi najifunza style ya kukunguta ..kiuno hoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni khumbu aitwe khumbu
Kati ya hizo situmii hata mojawapolite??or lager
Mimi basi najali nani anasema nini we mzeeWakisema, we angalia kama kweli unacho.. Kama huna usisumbuke banaa.
Wewe jamaa umenichekesha sana. Kumbe hata hii miradi inayoanzishwa na serikali huwa haiishi kwa sababu ya nature yetu wabongo? Hahahahaha! Duh! Hata hii miradi ya awamu ya tano ya jiwe nayo haitaisha sio?Hii ishu imenikumbusha idawa alileta story 2015 ilibaki Kama sehemu mbili tuu akapotea jumla Kila wadau wakimkumbushia Sababu kibao mpaka leo. Huu Ni ukatili. Au ndo nature yetu Watz kuwa hakunaga Jambo tunaanzisha likaisha salama?? Maana hata miradi mingi ya nchi inaishiaga njiani
ππππππ Embuuuu...style moja inaboa bwana..Mimi mwenyewe nataka nipigwe miti kwa style mpya uwiiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]......! Nimecheka hatari. Mtakuja kuvunja viuno,pigaga tu hiyo hiyo kifo cha mende. Style ya kung'uta siafu, waachie khumbu