mtume wawatu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 1,053
- 1,199
Nikuombe sasa utupe masimulizi hayo andika tu kipande kwa kipande maisha ambayo yana zaidi ya siku moja au miaka zaidi ya minne huwezi simulia kwa siku moja. Unajua mkuu tanzania tuna uhaba wa masimulizi halisi ya maisha. Zile zama za kuwasikiliza wazee wetu hazipo. Tunapopata masimulizi kama haya tuunayachukulia kwa uzito mno. Hapa sisi ambao hatujafika nchi za watu pia tunajifunZa pia tamaduni zao. Nakuomba ulichukulie suala hili kwa uzito sana. Tunaheshimu mchango wako na tunakuheshimu pia.Kweli kabisa sikuongelea kwa kina pale Khumbu alipokuja na gari, pia mengi yalitokea kutokea siku hiyo mpaka kufikia tukio la kukutana na polisi.
Huyo hesabu900 achana nae tupe mambo Bro.Kuna watu wanasema hii stori ni chai kwa kutokuamini kwamba Mayor hawezi kumdate Khumbu. Jamani kwanza Mayor ni diwani tu (local concilor) kama alivyokuwa Baba Levo wa Wasafi. Baba levo alikuwa diwani wa Kigoma hivyo baraza la madiwani lingeweza kumchagua kuwa mayor. Kwa hiyo mayor ni mtu mdogo tu. Pili wanasiasa wa nchi za wenzetu hawana makuu kama wa kwetu huku. Huyo mayor, binafsi namfahamu. Alikuwa ananyoa kwenye saluni ya mshikaji wetu mburundi. Kinyozi wake ndio alikuwa pia kinyozi wangu. Kwenye hiyo saluni tulikuwa tunanyoa bure tu. Mnamkumbuka yule mburundi tuliyekuwa tunaishi naye kule Rossburg pamoja na baba Isa? Huyo mburundi alikuwa ni mmojawapo wa vinyozi wa hiyo saluni.
Man nimeandika ninavyojisikia juu ya uzi huu.nipo hapahapa namsubiri huyu konda msafi kampokea getini Khumbu yupo na gari yake, afunguliwe, akabanduliwe, na bado hatujajua km yule bibie wa mlevi alibumbulua uuzaji wa unga humo ndani
wala issue ya POLISI na jamaa kurudi Bongo wakati Khumbu akifariki
tuwe wapole huenda jamaa akashusha moyo akatuwekea muendelezo
JF hamna kwingine story zote mbofumbofu
Hata stiglas itatuacha njiani.Jamaa una Hekima na Busara Sana unafaa kuwa Kiongozi ndiyo maana nikasema kwenda kwako nchi mbalimbali kumesaidia Sana kukuondolea utando kichwani.. Kwa ninavyowajua WaTz wangekuwa wamesusa na kuanza kurudisha matusi. Ila Siyo kwako. Unajibu kwa utulivu pia Ni msikivu Sana. Asante kwa kuona uhitaji wetu na kuamua kuendelea. Kweli kuandika kwenye simu ni kazi Sana Wewe jitahidi kuweka kwenye com hata Kama Ni Mara moja kwa wiki Lakini usituache njiani Kama Mradi wa umeme wa Gesi au bomba la Mafuta. Utufikishe KILELENI Kweli Kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Big up Mkuu
Tuko pamoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tangu juzi najifunza style ya kukunguta ..kiuno hoi[emoji23][emoji23][emoji23]
Acheni khumbu aitwe khumbu
samahani sana mkuu, pamoja sana. nimekuchanganya PawMimi si Moderator Mkuu.ππΎ
Kwa mfumo wa Serikali za kiafrika Mayor MTU wa kawaida tu, mbona hata hapa Tz wabunge wanagegeda Bar Maids, Machangudoa sasa jamaa anashangaa hajui nguvu ya mwanake hahahaa!Kuna salon moja pale workshop ilikuwa inamilikiwa na mburundi rafiki wa jamaa yetu don mkubwa, huyo mayor unayemuona mtu mzito alikuwa anakuja kunyoa pale.
Ndugu yangu Philipo D. Ruzige nipo hapa mkuukonda msafi usitudanyie ivo aisee
Hizi nondo tulia we uziandike hata mwiki nzima alafu unakuja shusha tu hata weekend
samahani sana mkuu, pamoja sana
π€£π€£π€£π€£π€£ Tuvinjikege viuno...hatujali Wala niniTuko pamoja[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazee wa kukung'uta sisimizi [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Tuvinjikege viuno...hatujali Wala nini
Juzi kati alirudi akauliza tuendelee tulipoishiaHivi aliishia wapi huyo jamaa[emoji23][emoji23][emoji23]alipata hela kweli??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Embuuuu...style moja inaboa bwana..Mimi mwenyewe nataka nipigwe miti kwa style mpya uwiiii
Mshamba tuu huyoKwa mfumo wa Serikali za kiafrika Mayor MTU wa kawaida tu, mbona hata hapa Tz wabunge wanagegeda Bar Maids, Machangudoa sasa jamaa anashangaa hajui nguvu ya mwanake hahahaa!
Kwanini mnanyoa bureKuna watu wanasema hii stori ni chai kwa kutokuamini kwamba Mayor hawezi kumdate Khumbu. Jamani kwanza Mayor ni diwani tu (local concilor) kama alivyokuwa Baba Levo wa Wasafi. Baba levo alikuwa diwani wa Kigoma hivyo baraza la madiwani lingeweza kumchagua kuwa mayor. Kwa hiyo mayor ni mtu mdogo tu. Pili wanasiasa wa nchi za wenzetu hawana makuu kama wa kwetu huku. Huyo mayor, binafsi namfahamu. Alikuwa ananyoa kwenye saluni ya mshikaji wetu mburundi. Kinyozi wake ndio alikuwa pia kinyozi wangu. Kwenye hiyo saluni tulikuwa tunanyoa bure tu. Mnamkumbuka yule mburundi tuliyekuwa tunaishi naye kule Rossburg pamoja na baba Isa? Huyo mburundi alikuwa ni mmojawapo wa vinyozi wa hiyo saluni.