Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Kifo cha khumbu alichanganya mabwana zaid ya wawili na wote wakawa wanamgharimikia siku akawagonganisha wakachomana visu uko durban sasa washkaji wa uyo jamaa alieuwawa wakaamua wamtaitishe khumbu wakamfanyia umafia.
Mh...yawezekana mm nilikuwa nahisi ha CHAI ya moto maana dada wa watu alikuwa pesa mbele
 
Mkuu wewe hutakiwi kujibu hao pimbi
Shusha hiyo hiyo wanayosema chai sisi tumeipenda .

Tuachie sisi hao ngedere tuwamanue
 
Nilizipata bwana af ndo nikakutana na habari za uzi kukatishwa mara unakula sana muda wa mleta uzi....basi ilimrad kunivuruga tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nitag hizo link
 
Reactions: qim
Angalia usisahau kunyonyesha....🤣🤣🤣🤣
Uzi umeibua Id ambazo sijawahi ziona na sijakutana nazo. Safi tunaendelea vzr wakuu tutakua pamoja hata mwezi mzima mpk tujue mwisho wa Sista duu Khumbu na Bro Konda
 
Khaaakhaaa! mpaka leo dunia nzima mwanamke wa kwanza mwenye TAKO linalowapita wote ni msauz Africa.Fanya uende ukajionee nehema za Mungu!
[emoji15][emoji15]Unasema kweli!! Wachaga hawaingiii ndani
 
Mkuu tatizo la Watanzania wengi exposure ni zero,jamaa amesikia mayor akahisi president! Huku sisi Serikalini mtua akikwambia ni Diwani au Mbunge unachukulia simple vibaya mno Mara mia akuambie ni Mkurugenzi flani ndipo heshima itakuwepo.
Tatizo lenu mnadhani wanasiasa wa nchi za watu wana majivuno kama wanasiasa wenu uchwara wa huku. Mayor ni diwani tu by the way.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…