AnnaEmma
Member
- Nov 12, 2019
- 77
- 188
uzi wa tunda unachanja mbuga tu 😂 😂 😂 😂Sasa hapo kwenye hilo neno kula kimasihara mods wangetuekea linki ya ule uzi wetu pendwa kama refference
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzi wa tunda unachanja mbuga tu 😂 😂 😂 😂Sasa hapo kwenye hilo neno kula kimasihara mods wangetuekea linki ya ule uzi wetu pendwa kama refference
Kuna katoto kasouth nakakubali hako.kadem ka dj maphorisa hatareee...kazuri kenyewe nahisi katakuwa na mfanano wa kumbu..
Moja Kati ya vitoto maarufu huko mjini south.Mtoto mbichi kabisa huyo
Dah! Hii ndio shepu ya Khumbu. Watag wote wanaotaka kumjua Khumbu anafananaje.View attachment 1699932
konda msafi khumbu wako si Kama huyo ..19yrs old
Mkaruka na wengine tusindikize Uzi na mfanano wa khumbu
South tamthlia nyingi mnoo, kuna za SABC, DSTV kwahiyo vijana wengi wanadaka umaarufu kwa njia hiyo.Moja Kati ya vitoto maarufu huko mjini south.
Nilivyokuwa nawaambia matako ya Khumbu ni kama yananing'ia kwa chini ni kama huyu yanavyoning'inia. Huyu akivua ndio utaona jinsi yanavyoning'inia kwa chini.View attachment 1699932
konda msafi khumbu wako si Kama huyo ..19yrs old
Mkaruka na wengine tusindikize Uzi na mfanano wa khumbu
Haka hakapo kwenye tamthilia yoyote..chombo ya maphorisa hiyo..na kamekua maarufu sababu ya mapho na kana endorsement kibao..katoto kadogo kanakula memaSouth tamthlia nyingi mnoo, kuna za SABC, DSTV kwahiyo vijana wengi wanadaka umaarufu kwa njia hiyo.
Lakini bwana konda hicho chumba si ulikihama ukapata nyumba nyingine baada ya kwenda shule?Baada ya hapo mapenzi yaliendelea. Khumbu alionyesha kunijali. Kama nilivyosema nimedate na wasouth wengine tofauti na Khumbu ila treatment aliyokuwa ananipa huyu mwanamke ni tofauti sana. Kuna siku nikiwa bado nipo Rossburg, maana baada ya kuanza chuo nilihama huko. Nilimuomba aje mjengoni maana tulikuwa hatujaonana karibia wiki hivi. Nilikuwa nimemmiss kinyama. Akasema atakuja lakini hakutokea. Usiku wake nikawa nampigia hapokei, baadae nilipozidi kupiga simu akazima.
Basi nikajua tu hapa yupo na msela mwingine. Ukimpenda mtu wivu hauwezi kukosekana, so nikawa namtumia msg ili akiwasha simu azikute. Simu haikupatikana mpaka kesho asubuhi. Mawazo yalikuwa mengi sana, ile kufikiria tu demu alikuwa analiwa ilikuwa inaniumiza sana. Siku hiyo sikuweza hata kufanya kazi, nilienda kufungua goli lakini baadae nikarudi mjengoni kupumzika. Kule mjengoni alikuwepo demu wa baba Isa, alikuwepo kama wiki hivi. Huyo demu alikuja na sijui baba ake.
So, nilivyofika nikamkuta demu wa baba Isa yupo sebleni anaangalia tv. Kumbuka apartment ilikuwa ya vyumba vitatu. Sebule, jiko na bafu la kushare. Nilipomkuta demu wa baba Isa nikawa nimemjoin hapo sebuleni. Tukawa tupiga story mbili za hapa na pale. Baadae mie nikaamua kuingia chumbani kupambana na stress zangu, hivyo nikamuacha demu wa baba Isa akiendelea kuangalia TV. Nilipoingia chumbani sikuufunga mlango wangu.
Nikiwa nimejilaza nikaanza kusikia makelele hapo sebleni, nikakurupuka kuelekea sebleni kujua nini kinaendelea. Ile kutoka nikakuta yule demu wa baba Isa hayupo ila kuna demu mwingine wa baba Isa yupo jikoni anatukana kwa kizulu huku anatembea tembea, na kugonga mlango wa baba Isa. Harakaharaka nikajua hapa kuna fumanizi. Mademu wote wa baba Isa nilikuwa nawafahamu maana walikuwa wanakuja kila mmoja kwa wakati wake.
Nadhani kuna mmbea aliamua kuchoma utambi siku hiyo. Basi yule demu aliyekuwa anaangalia tv alikuwa kajifungia ndani, halafu mle ndani kulikuwa na baba ake pia, we acha tu. Sasa picha linakuaje hapa. Yule demu mwingine ndio anagonga mlango kwa nguvu akimtaka mwenzie afungue wapambane. Hapo mie nimeduwaa tu sijui hata cha kufanya.
Huyu anayegonga mlango sijui alifikiria nini, mara nashangaa kaingia jikoni sijui kabeba jiwe, sijui alibeba kitu gani mara vuuu kaingia chumbani kwangu na kukipasua kile kidirisha nilichokuwa nawaambia hapo awali. Basi vipande vya glass vikawa nimetawanyika kila sehemu mle chumbani kwangu. Kile kidirisha ndio kikawa kimebomolewa.
Sasa hapa nikawa namuwazia Khumbu, sijui akija atakubali kulala kwenye hiki chumba kisichokuwa na dirisha, maskini mimi Khumbu akigoma kulala humu nitampeleka wapi? Gharama za kulala guest kwa South Africa nitaziweza kweli?
Itupie tu mkuu hawa moderator nawafahamu vizuri.Waulizeni mods kama inaruhusiwa kutupia picha ya mtu hapa. Kuna moja nataka niitupie yupo na bikini tu. Tulikuwa kwenye swimming pool. Wale masela niliokuwa naishi nao waliingia kwenye business ya sembe hivyo hela ikawa sio shida tena tukahamia kwenye nyumba bab kubwaa yenye swimming pool na kila kila kitu ndani, maeneo ya watu wanene.