EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Mleta mada ulikuwa teja wa khumbu
Mleta mada khumbu aliutwaa ubongo wako akakuwekea ukawa unaitumia kufikiri ikiwa kama ndio ubongo wako.
Hapa nimefungasha mizigo yangu naelekea kwa madiba, baada ya kusoma uzi wako nimeazimia nihamishie Makazi yangu huko. Pengine na mimi siku moja nitaleta visa nitakavyokutana navyo huko
Mleta mada khumbu aliutwaa ubongo wako akakuwekea ukawa unaitumia kufikiri ikiwa kama ndio ubongo wako.
Hapa nimefungasha mizigo yangu naelekea kwa madiba, baada ya kusoma uzi wako nimeazimia nihamishie Makazi yangu huko. Pengine na mimi siku moja nitaleta visa nitakavyokutana navyo huko