Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

Uzi umeshaingiliwa na wachawi....kibaya zaidi wameshamroga mleta story na Mambo yao ya michango....Kama vipi nendeni telegram huko ..
 
Exposure ya watu wengine iangalie tu uwaache na hajui kama south hawashoboki na hizo V8 angezungumzia rover au BMW au VW hapo sawa na wengi ukiona anaandika hivo hata Durban yenyewe haijui, wako mawaziri wanakula malaya wanaojiuza na hakuna cha ajabu hapo afu mayor ni mtu wa kawaida kwa nchi kama south
yaani km ulikuwepo vile wale malaya bana ni usiseme tuu yaani ni km wana kismati flani hivi au niseme kizizi vile!!!

vile yaani ukipiga mmoja tu.pesa ma vyeo mimali. hayooooo! Ukionja mara moja huachiii km mimi muongo jaribu tu uone hata kwa mkopo hela utazopata utarudi mwenyewe halafu hawana tabu kukopesha ili mradi uwe mkweli.
Unadhani kwa nini wapo Duniani kote tangu zama za Yesu?

Hata km serikali izuie vepe mfano
Na mwanafunzi wake yesu mpendwa sana na wa pekee aliye muona tit for tat wakt wa kufufuka kwake? Alikuwa na historia hii! Sasa jiulize..

Wale wasiOkuwa malaya wasafi machoni pa watu hawakumuona? Walisikia tu kuwa kafufuka!!!!! Why? Ajabu wengine km peter hawakumuamini ki viile?
Angalia historia yake wamemuandika kiiidooogo sana. Hata shuhuda zake hazipo ila vatican utazikuta kibao.

Halfu km walikuwa hawampendi pendi hivi! Lkn Yesu mwana wa Mungu baba alim mind sana tena sana.jrbu kupitapita huko ulete ushuhuda hapa.

Hakika kumbu alikuwa na kitu cha maana bin kismart huyu dogo mleta mada hakujua tu. Si unaona alipata shule fresh! Akapendwa na watu wenye nazo kiubwete hawakumtilia shaka!!! akaishi mjengo wa maana akala vyao akashikwa na polisi na kidhiti juu lkn hola! Wakamuona msafi tu!!! Hii yote malaya kumbu kismatiiiiii!!!
 
Ifike mahali Moderator s mtuwekee option ya kufuta,kublock baadhi ya watu wasione nyuzi zetu tena,kufuta comments zao kwenye nyuzi zetu,na msichague wa kuwapiga barn... kuna comments nmesoma hapo juu mpaka nimejisikia hasiria na sijaambiwa mimi, tuwe na stara jamani,tena watoto wa kiume ndo wamekua ma wack vibaya mno
Kama mtu unahisi unaganganywa, au unatapeliwa kuna ulazima wa wewe kutoa maneno machafu? kwa nini usiwaache walikubali Kutapeliwa na kudanganywa waendelee??
 
Siulisema story imeishia pale, sasa utakuja malizia nini tena chief, hizo ni pigo za kiwaki mtoto wa kiume unataka ubembelezwe na ulijileta na story yako mwenyewe huku haukuombwa, kausha tu...usimalizie jamaa,..haituletei pesa wala comfort yoyote, au acha wakushike videvu vidada vya jf usikie raha.
Nasisitiza tutafute hela, ukiwa na hela huwez kulia lia hivi..
 
NAONA MODERATORS WAANGILIE KATI SASA
PALE MTU ANAPOLETA UZI YEYE MWENYEWE
ALAFU ANAANZA PIGO ZA KUCHANGISHANA SIJUI HELA YA BANDO...
JF SIO SEHEMU YA KUENDESHA MICHANGO...
KESHO NA KESHO ATAKUJA MWINGINE HIO NDO ITAKUA NDO DESTURI HATA KWA STORY ZA UONGO NA KWELI
@jf moderator
Mpoje nyie watu hamna mtu aliyeshikwa fimbo humu achange kilazima
 
Habari wakuu? Hii stori nitaimalizia japo kuna baadhi ya watu ustaarabu kwao ni zero. Kuandika stori ndefu kama hii natumia muda wakuu. Kama nilivyosema tokea awali sikutegemee kama ningetumia muda mrefu kuimaliza, nadhani nilikuwa nimei-underestmate. Anyway mniwie radhi, nitaimalizia. Nina majukumu pia jamani. Ila wabongo mbona mnakuwa hivi? Kuna watu nimesoma comments zao kama una roho nyepesi unaachana na stori yenyewe.
Hawa watu usiwajibu kabisa tuachie sisi unachotakiwa wewe ukiingia ni kutupia story
 
Ifike mahali Moderator s mtuwekee option ya kufuta,kublock baadhi ya watu wasione nyuzi zetu tena,kufuta comments zao kwenye nyuzi zetu,na msichague wa kuwapiga barn... kuna comments nmesoma hapo juu mpaka nimejisikia hasiria na sijaambiwa mimi, tuwe na stara jamani,tena watoto wa kiume ndo wamekua ma wack vibaya mno
Kama mtu unahisi unaganganywa, au unatapeliwa kuna ulazima wa wewe kutoa maneno machafu? kwa nini usiwaache walikubali Kutapeliwa na kudanganywa waendelee??
Yani wanawake sijui mnawazaga nini, ndio maana ninyi ndio mnaongozwa kutapeliwa kila kona kwa ajili ya kufikiria kwa kupitia makalio, wanaosema ukweli ni wanaume na wanatumia akili kufikiria sio ninyi mnasema mkitapeliwa poa, daaah siku ingne tumia akili bhana wanawake hata kipisi cha kanga mmeshaonga kura, huko makanisani ndio mtatajirisha watu...lala kidg
 
Nasisitiza tutafute hela, ukiwa na hela huwez kulia lia hivi..
Sema nikulipie uendelee kuwa zezeta wa vistory uchwara, yani jinsia ya kike ndio maana hamuishi kutapeliwa na kuibiwa mali zenu kizembe, mnatumiaga makalio kufikiria...jitahdini muanze tumia akili
 
Ifike mahali Moderator s mtuwekee option ya kufuta,kublock baadhi ya watu wasione nyuzi zetu tena,kufuta comments zao kwenye nyuzi zetu,na msichague wa kuwapiga barn... kuna comments nmesoma hapo juu mpaka nimejisikia hasiria na sijaambiwa mimi, tuwe na stara jamani,tena watoto wa kiume ndo wamekua ma wack vibaya mno
Kama mtu unahisi unaganganywa, au unatapeliwa kuna ulazima wa wewe kutoa maneno machafu? kwa nini usiwaache walikubali Kutapeliwa na kudanganywa waendelee??
Africa roho mbaya ya kwa nini! na uchoyo, havitaisha.

Walio weka mitandao Yaani wazungu wanampenda kila mtu na kila kitu! Na daima dumu watakuwa juu tu!

Ndo maana jiwe lina wanyorosha munyoroke na mtanyoroka kweli.

Wenye roho nzuri km Waridi la kondeni tupo wachache mno Africa mnaweza kutuhesabu mfano ni mimi na... Hebu jitajeni basi jamani khaa!...
 
daaaam! nimerud kusoma upya....sisi wenye tukuyu kiss inabd tujifunze french aisee....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]part ingine alivyoenda gheto kwa msela akakuta wameharibu dirisha jamaaa alikua anahofu khumbu atamaind ila kinyume na matarajio khumbu wala haku worry
...
that was real love


em kumbuka ingine shunie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wenye tukuyu kiss
Subiri mpaka nikumbuke
 
Habari wakuu? Hii stori nitaimalizia japo kuna baadhi ya watu ustaarabu kwao ni zero. Kuandika stori ndefu kama hii natumia muda wakuu. Kama nilivyosema tokea awali sikutegemee kama ningetumia muda mrefu kuimaliza, nadhani nilikuwa nimei-underestmate. Anyway mniwie radhi, nitaimalizia. Nina majukumu pia jamani. Ila wabongo mbona mnakuwa hivi? Kuna watu nimesoma comments zao kama una roho nyepesi unaachana na stori yenyewe.
Mkuu mbona wakati unaanza ulikua unatupia mchana asubuhi jioni?
Hebu weka mambo acha kulia lia mzee. Kama unaamua kuweka weka kama umesusa susa. Ila sio kutuletea miyayusho kibao.
 
Back
Top Bottom