witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Ili?njoo Pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili?njoo Pm
nahisi umeshajuaIli?
Jicho la tatu?
Msitutenge na sisi ni hivyo hivyo kama ninyi [emoji28] tunakuwa na nguvu balaa. [emoji40][emoji40]Nyie ke hapa hamna effect maana nyie mnapoteza tiyari daily kwenye period [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].
Ila sisi me ina msaada sana
Itakuwa imerudi kama zamaniMie nina miaka nane umri wa mwanangu sijaguswa...Tyson kitu gani[emoji51] akwendreee
NB:sijui naongelea miaka nane ipi[emoji15]
Endelea ku dislike tu naona uko kazini! Nikikutana na ww uso kwa uso ukanihamasisha huu upuuzi unakula za uso! Yaani nikae kuanzia Leo tarehe 11 may 2023 Hadi tarehe 10 may 2028 bila kufanya mapenzi Kuna kuzaliana kweli hapo? Hata tembo tu hawakai hivyo! Wewe komaa na kazi inayokulipa ila usikutane na mmUsifikiri negative mkuuu kila kitu duuh
🤔🤔🤔🤔 Acha nikae kimya tu hii id hainiruhusu niwe mkorofiEndelea ku dislike tu naona uko kazini! Nikikutana na ww uso kwa uso ukanihamasisha huu upuuzi unakula za uso! Yaani nikae kuanzia Leo tarehe 11 may 2023 Hadi tarehe 10 may 2028 bila kufanya mapenzi Kuna kuzaliana kweli hapo? Hata tembo tu hawakai hivyo! Wewe komaa na kazi inayokulipa ila usikutane na mm
Na ww pita kushoto huko🤔🤔🤔🤔 Acha nikae kimya tu hii id hainiruhusu niwe mkorofi
Ngoja nikuongeze kwenye ignore list RIP to you kwaheri ukae huko kwenye gereza tulivu 🤖🤖🤖🤖
😂😂😂😂😂mkorofi wewe....em ngoja hii morning glory tumalizie na mende siye😜Itakuwa imerudi kama zamani
Dah [emoji39] mende ndio style ya kitakatifu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkorofi wewe....em ngoja hii morning glory tumalizie na mende siye[emoji12]
Yeah,bila shaka ndiyo iliyobarikiwa na BwanaDah [emoji39] mende ndio style ya kitakatifu [emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28]Itakuwa imerudi kama zamani
Unabisha au sio[emoji28]Wapi ww acha uongo wako hapa [emoji28][emoji28][emoji51][emoji51][emoji51]
Raha ya mwanaume mshaambiwa Ni wakati anamwaga haijalishi kamuiingilia NaniZa sahizi wakuu,
Leo, hebu tuongee juu ya safari isiyo ya kawaida ya shujaa wa ndondi Mike Tyson na uamuzi wake wa kukaa bila kujihusisha kimapenzi kwa miaka tano ya kushangaza. 🥊
-Mike Tyson, anayejulikana kwa ngumi zake zenye nguvu na mtindo wa kupigana kwa ukali, alikabili changamoto nyingi katika kazi yake. Mojawapo ya maamuzi yasiyotarajiwa kabisa aliyoyafanya ilikuwa kuanza kipindi cha kujiepusha na uhusiano wa kimapenzi.
-Mwaka 2009, Tyson alitangaza hadharani uamuzi wake wa kujizuia na kujiepusha na ngono kwa kipindi cha miaka mitano. Alifanya uchaguzi huo kama sehemu ya kujitolea kwake kwa kazi yake ya ndondi na ukuaji wake binafsi, akilenga kuweka nguvu yake kabisa katika mazoezi na kujiboresha.
-Uamuzi wa kujiepusha na ngono kwa kipindi kirefu kama hicho unaweza kuonekana usio wa kawaida, lakini unasisitiza nidhamu na azimio kuu aliokuwa nao Tyson. Alitambua kwamba uhusiano na mahusiano ya kimapenzi yanawezaleta kero na aliamua kuyatenga kabisa katika maisha yake.
-Kujiepusha kwa Tyson hakukuwa tu kuhusu kuepuka kujamiana kimwili pia kulihusisha kutafuta amani ya ndani na ya akili. Kwa kuondoa hamu za kimapenzi na mahusiano katika maisha yake, alilenga kufikia kiwango cha juu cha umakini katika ndondi.
- Kwa miaka hiyo mitano, Tyson alijitolea kikamilifu kwa utaratibu wake wa mazoezi, akiiweka mwili na akili yake kwenye mipaka mipya. Alifuata maisha ya nidhamu, akizingatia lishe yenye afya, mazoezi makali, na kutenga masaa mengi kwa mazoezi ya ndondi.
-Kwa kutumia nishati yake ya kimapenzi katika mazoezi yake, Tyson alipata lengo jipya na hamasa. Alifanikiwa kuchochea motisha ya kipekee, akijisukuma kuwa bondia bora na kuboresha ustawi wake kwa ujumla.
- Uamuzi wa Tyson pia uliathiri sana hali yake ya kiakili na kihisia kwa kumfanya awe very aggressive kwenye ndondi 😊😃😃View attachment 2615771
JE WEWE NDUGU YANGU UNGEWEZA
MIMI BINAFSI HAIWEZI PITA MIEZI 5 😃😁😁😁😁😁😁
Ulikuwa nae?Nyeto ni ngono ndio famba ww 😅😅
Yeye alikuwa hamwagi kabisa manii mkuu
Yaani full abstinence ukipiga nyeto si unamwaga manii hivyo inapoteza uhalisia hapo
Mhm ebu wacheni ujinga wenu hapa. Ukitomber ndio unakuwa na nguvu maana kwanza stress huna.Hii ni kweli kabisa mi niliwahi fikisha mwaka 1 nilkuwa na nguvu hatari asee nalala hata masaa 2 kwa siku na bado energy imo ndani aseee noma kweli
Safari hii acha niianze upya nimekuwa mzinzi sana hivi majuzi 😏