dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
noma sana mzeesio kukojoa tu hadi ubongo unatoka To yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
noma sana mzeesio kukojoa tu hadi ubongo unatoka To yeye
huku JF ulishakula wangapi kwa hisia....noma sana mzee
Kwenye biashara gani?Tyson akili kubwa sana ni mtu ambaye alikuwa bilionea kwenye ngumi kisha akafilisika na baadae kuwa bilionea mara mbili ya mwanzo kwenye biashara
mmoja, ToYeye, alimpa erotic chat Analyse, mie nikai screenshot chap,huku JF ulishakula wangapi kwa hisia....
Hao ni wanawake kweni? We ndugu vipiAlbert Einstein alikuwa na iq ndogo sio [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Fidel castro je [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hoja yako ni ya uongo mwingi sana
Sio kwamba saivi una ugonjwa wa kusahausahaummoja, ToYeye, alimpa erotic chat Analyse, mie nikai screenshot chap,
nikawa naitumia
kwanini mkuu ?Sio kwamba saivi una ugonjwa wa kusahausahau
Mkuu kweli hii???Lengo kuu ni Kutunza Stamina babu.
Mwanaume akipiga mazoezi sana na hafanyi ngono ukipigana nae wewe ambae kila siku unalalia vifua vya wanawake 80% umepigwa tayari
Utachezea punch nzito hadi sio poa
Asee ni kweli msemayo?Hii ni kweli kabisa mi niliwahi fikisha mwaka 1 nilkuwa na nguvu hatari asee nalala hata masaa 2 kwa siku na bado energy imo ndani aseee noma kweli
Safari hii acha niianze upya nimekuwa mzinzi sana hivi majuzi [emoji57]
Ni kweli, unapo amua kutofanya unaupunguzia mwili Majukumu naMkuu kweli hii???
Inawezekanaje hii mbona mimi nakuwa kama lijinga najiisi mzito kupindukia nisipo fanya muda mrefu ata kichwa kinakuwa kizitoMimi nimemzidi Mike Tyson nimeweza kukaa kwa muda wa miaka 10 pasipo na kufanya mapenzi na mwanamke.
Ni kweli, mimi niliwahi kukaa miaka mitatu ila wakati huo nilikuwa nafanya sana mazoezi ya karate. Kipindi chote sikufikiria kabisa ngono na wala sikuwahi hata kupata ndoto za aina hiyo...Asee ni kweli msemayo?
Vip kuhusu zile ndoto nyevuNyeto ni ngono ndio famba ww [emoji28][emoji28]
Yeye alikuwa hamwagi kabisa manii mkuu
Yaani full abstinence ukipiga nyeto si unamwaga manii hivyo inapoteza uhalisia hapo