Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Wanaokataaa ndo wachawi wakubwa hao
 
Subhanaa lllahhh
 
Haya mambo kama hayajakukuta unaweza hisi kama ni Riwaya.

Pole sana Mkuu.
 
😂😂😂💔
 
2020
Mkoa wa ruvuma
Wiliya ya Nyasa
Kijiji Cha ng'ombo
Ukoo x
Mama mmoja aliokotwa kilindini kwenye ziwa Nyasa,alikua anaelea juu ya gogo inasemekana halikuwa gogo bali ni mamba,na yeye alichukuliwa usiku amelala,asubuhi wanagongewa mlango kuwa ndugu yenu tumemuokoa majini,haya mambo ya kulazwa nje na wachawi yapo sana tena sana.
 
Huko Nyasa ndo balaa
 
Uchawi upo Kila sehemu ila Kuna kuzudiana,kule hata radi unatumiwa mwezi hata wa 8 ,na mpo kundi LA watu ila ikakupiga wewe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…