Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Juice ya unga wa mkaa ukinywa usaidia kufyonza sumu je KWA sumu ya nyoka inaweza fyonza pia? Wakati ukijiandaa kwenda kituo cha afya
Juice ya mkaa ni kwa ajili ya sumu iliyoingia orally au tumeseme mdomoni. Kwa nyoka haisaidia maana inaingia mwilini mwako kwa IV yaani Intravenous au tuseme moja kwa moja kwenye mishipa ya damu
First aid kubwa ya kwanza ni kufunga kamba sehemu ya juu damu isiende kwenye moyo.Halafu kwa haraka sana ni kuchanja sehemu ya jeraha kwa chale bila kuwa mwoga na kutoa kama kuna meno yamebakia hii inatka roho ngumu maana ni maumivu makali.Kisha kama huna jiwe la nyoka unachukua mkaa huo unaubandika juu ya jereha kisha unakwenda hospitali.Angalizo chonde chonde ukisema utembee na hospital ni mbali damu itakuwa imefika mbali kama kuna usafiri wa haraka sana wa gari upelekwe hospitali.Ila pia inategemea na aina ya nyoka aliyekuuma kama ni black mamba RIP inakuwa karibu sana maana unakuwana dakika tu za kuishi
 
Criston Cole ahsante sana umenifungua ubongo wangu kisayansi.Mimi nimesoma biology kama wewe ila kwenye endocrinology sio mjuzi sana

Sasa nimepata picha kuwa ni kwanini ukikutana na simba uso kwa uso ukamuangalia sana wala hutetereki anaona aibu kukudhuru hata anaweza kukutisha lakini ukiwa attentive unamuangalia tu na usimpe kisogo unarudi kinyume nyume nayeye machale yanamcheza anajua hapa maji marefu hakufanyi kitu na anaweza kutimka zake.

Pia nimepata picha ni kwanini nyoka haumi mtoto mdogo.Watu wanapelekea kukimbilia ni malaika kumbe ndani yake ni sayansi tupu hapo.Mfano mwingine kwenye ajali mtoto mdogo anaweza pona watu wote wakafa watu wanasema ni malaika kumbe hawajui uzito wa mtoto ulivyo mdogo ukizidisha na mwendo wa gari momentum yake inakuwa ni ndogo hivyo impact inakuwa ndogo kwake wengine mnakufa afterall watu wenye mauzito makubwa ndio wa kwanza kutangulia mbele ya haki kwenye ajali hapa nimeenda pembeni kidogo ya mada yako lakini najaribu kuelezea sayansi inavyoelezea wakati kwenye dini ni shortcut tu malaika

Pia nimepata picha ni kwanini ukienda nyumba ya mtu kama kuna mbwa akibweka wewe huna habari anaweza akakuacha lakini ukimpa kisogo tu anajua umeogopa anakukimbiza kumbe anakuwa amenusa ile hormone anajua huyu ni kibaka tu

Umeandika sana kujaribu kuunganisha dini na sayansi lakini nimeshagundua hilo la kusema nitaweka uadui kati yenu kumbe liko kisayansi kuliko tunavyofikiria sisi

Umenipanua akili mno hata hivyo natafuta namna naku inbox tuzidi kuwasiliana
Usikate tamaa humu wako watao kukejeli ulicho andika ila tuliosoma sayansi tumekupata
 
Huyu

Huyu wa mchongo😁
Mkuu sio wa mchongo hata kidogo, kuna nyoka aliuawa wiki 2 zilizopita dodoma nikishuhudia kwa macho yangu nami ilibidi nishirikiane kumuua alikua ni mrefu kama futi 5.6 hala mnene kama mkono wangu alikua Cobra. Aisee alivyokua akipanua shingo na kurusha mate utadhani kabisa wale wa kwenye tv. Ila aliuawa.
pote mjini vijiji ndio usiseme wanazidi hadi ya watu na baiskeli ukiwachanganya, tabora ni kwaida kuamka asubuhi ukakutana na nyoka mlangoni anakusabahi 😁😁😁
Maneo ya kanda ya kati hasa Tabora na singida kuna nyoka wengi sana sana. Singida wamejaa Cobra watupu kama wale wa kihindi na Tabora ni Koboko tu. Nyoka wa tabora wanakula hadi vitumbua, wanakula tui la nazi, wanakula ubwabwa nk nk😅
 
Hapa ndipo huwa siwaelewi freemasons, sometime huwa nafikiria hata ustaarabu si hulka ya mwanadamu aliyekamilika huenda ni namna tu freemasons wanataka wawe na namna ya kututhibiti kupitia ustaarabu tuliopandikizwa kama namna sahihi ya kutreat mambo
Kwa mujibu wa kitabu cha Enoch karibia kila kitu duniani kimeanzishwa na Viumbe walioasi Mungu. Yaani pesa,madini,uongozi,uganga,elimu nk sasa hua najiuliza kwani Mpango wa Mungu alitaka tuishi kama wanyama au ni gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…