Jinsi nilivyotamani kumuua jirani yangu aliyenipora sehemu ya kiwanja changu

Jinsi nilivyotamani kumuua jirani yangu aliyenipora sehemu ya kiwanja changu

Habari wadau..!
Dunia imejaa dhuruma na chuki sana kama haujawai kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.

Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.

Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakutwa eneo langu nusu limejengwa ,nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.

Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu nilikuwa na tafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauli nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu ss hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa.

Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamama ndio nafsi yangu itaburudika ?
Una matatizo makubwa yanayokujia.
Kile unachowatumia wenzio, kikishamaliza kazi huko kilikotumwa kitarudia na kukukula live!
 
Habari wadau..!
Dunia imejaa dhuruma na chuki sana kama haujawai kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.

Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.

Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakutwa eneo langu nusu limejengwa ,nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.

Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu nilikuwa na tafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauli nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu ss hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa.

Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamama ndio nafsi yangu itaburudika ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].daah ,pole mkuu kwa kuzulumiwa haki yako
 
Waganga wako walimuonea huruma wakakushauri usimuue.... Leo unaomba kuelekezwa kwa mganga mzuri ummalize.

Sasa kwanini usirudi kwa hao waganga ukiwa na msimamo wa kuua? Nijuavyo mimi mganga wa kweli husikiliza shida ya mteja... Hawanaga mbili!

Unachokitaka ndicho anachokifanya
lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauli nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu ss hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa
 
M
Tabu ya nini kujipa dhambi mara mbili mbili,we nenda home kwake na dumu la petroli tia kiberiti maliza kazi,jisalimishe polisi waambie wasipate tabu ya uchunguzi wakufunge moja kwa moja tena chagua gereza la mng'aro nitakuunganisha na bwana jela akukabidhi kwa mnyapara mmoja mkarimu sana,atakupa chochote unachopenda yani utaishi jela kama uko home vile.
rufiji uko sio poa aseee
 
Haki huwa inauma sana, ila adhabu uliyompa ni bora ungumuua kbs maana sasa hv ukimuona roho haiumi mkuu.
 
Back
Top Bottom