Jinsi nilivyotamani kumuua jirani yangu aliyenipora sehemu ya kiwanja changu

Jinsi nilivyotamani kumuua jirani yangu aliyenipora sehemu ya kiwanja changu

Usipommaliza atakuja kukumaliza wewe akiinukia,,

Dawa ya mtu akikudhulumu ni kifo tu
lazima nimalize kabisa nina mpango wa kumtumia ballistic missile moja kali sana,yaani anatumiwa radi mchana wa jua kalii hato amini macho yake.

Usiombe utumiwe radi bro,ukipona una Mungu ila utakuwa unakunywa maji lita 200 kwa siku😂😂😂
 
Habari wadau..!

Dunia imejaa dhulma na chuki sana kama haujawahi kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.

Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.

Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakuta eneo langu nusu limejengwa, nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.

Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu, nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi. Nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu hajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani, kidogo sasa moyo wangu una amani lakini bado natamani nimmalize kabisa.

Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamaa ndio nafsi yangu itaburudika?
Pole mm niliporwa na ndugu na kuambulia matusi
 
Mmalize tu mm nachukia watu wadhulumati sana
Habari wadau..!

Dunia imejaa dhulma na chuki sana kama haujawahi kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.

Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.

Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakuta eneo langu nusu limejengwa, nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.

Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu, nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi. Nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu hajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani, kidogo sasa moyo wangu una amani lakini bado natamani nimmalize kabisa.

Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamaa ndio nafsi yangu itaburudika?
 
Mkuu mm kuna jirani yangu kanizulumu laki tisa na nusu, nipe utaratibu na mimi nimkomoshe.
Samehe saba mara sabini pesa hutafutwa.

Maisha ni tofauti sana kabla na baada ya kuua mtu.
 
Habari wadau..!

Dunia imejaa dhulma na chuki sana kama haujawahi kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.

Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.

Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakuta eneo langu nusu limejengwa, nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.

Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu, nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi. Nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu hajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani, kidogo sasa moyo wangu una amani lakini bado natamani nimmalize kabisa.

Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamaa ndio nafsi yangu itaburudika?
Mtu aliyeua mtu huwa anatembea na hiyo alama maisha yake yote uko tayari kutembea na hiyo alama?

Utakuwa tayari kuivumilia dhamiri yako kila siku ikikukumbusha kuwa ulikosea kumuua yule mtu ?
 
Tabu ya nini kujipa dhambi mara mbili mbili, we nenda home kwake na dumu la petroli tia kiberiti maliza kazi, jisalimishe polisi waambie wasipate tabu ya uchunguzi wakufunge moja kwa moja tena chagua gereza la mng'aro nitakuunganisha na bwana jela akukabidhi kwa mnyapara mmoja mkarimu sana, atakupa chochote unachopenda yani utaishi jela kama uko home vile.
[emoji3][emoji3][emoji3] nyapara anapata kigoli bikra
 
Mkuu huyo ni wa kumpiga shoka la kichwa tuu..usiangaike na waganga.ma,kma km hao wako wengi sana.
 
Make sure una muua usimuonee huruma.
Malipo hapahapa duniani, tena urudi uwaambie unataka kiwanja chako. Wakigoma ua hadi mke na watoto maana ni wanufaika wa hilo eneo.... Mbwai mbwai tu
 
Make sure una muua usimuonee huruma.
Malipo hapahapa duniani, tena urudi uwaambie unataka kiwanja chako. Wakigoma ua hadi mke na watoto maana ni wanufaika wa hilo eneo.... Mbwai mbwai tu
Yupo kwenye wheel chair sasa hivi ,anapumulia mipira kama yupo ICU kila siku anajiarishia tu.
 
Aisee,una moyo sana.Kiukweli mi siwezagi kulipiza kisasi kabisa.
 
Mazee mimi Niko kwenye mateso makubwa mmno Nimesali nimechoka kwa miaka.. Baba kauliwa Malizi zimeshikiliwa na hati imebadilishwa, Kaka mkubwa wa kwanza kauliwa alivyo anza kufuatilia haki za wadogo wake, Kaka wengine watatu wamefanywa vichaa . na mama anatupiwa maradhi ya ajabu kupona mpka tu mkimbize kwenye maombi ila mahosipital haponi. Mm mdogo wa mwisho ndio napambambana na maombi ila Ajira nimefungiwa nina miaka 7 sina ajira nimeapply mpaka nazeeka wengu wote tulio maliza washa jenga washa oa wana magari na kazi na bishara mm nateseka hata mia2 kuishika ni shida..

Kuna mwana mke wa Baba ndio anatufanyia hivi maana baba alimuoa kimada flan akaachana na mama yangu leo kimada ndio anatutesa ili tusi ulizie haki wala tusipate kazi eti anahisi tukiwa na nguvu kiuchumi tuta msumbua kisheria.. JAMAN OMBENI MATESO MENGINE ILA SIYO HIZI FEDHEA NINAZO PITIA..

NAOMBENI NUMBER ZA HUYO MTU NIKAMALIZE HUYU MTU ILI NIWATAFUTIE TIBA NDUGU MAANA NIKISEMA NIHANGAIKE KWA SASA HUYU MWANAMKE ANA JUA NA KWENDA KUONGEZA MADAWA..

NILISHA ENDA KWA WATUMISHI WAKUBWA KIROHO WAKA NIPA PICHA YOTE YA YANAYO ENDELEA KWENYE FAMILIA..


NIMESALI SANA ILA BADO NATESWA NA NDUGU WANA ANAGAMIZWA NA KITESWA SANA.
Du
 
Mazee mimi Niko kwenye mateso makubwa mmno Nimesali nimechoka kwa miaka.. Baba kauliwa Malizi zimeshikiliwa na hati imebadilishwa, Kaka mkubwa wa kwanza kauliwa alivyo anza kufuatilia haki za wadogo wake, Kaka wengine watatu wamefanywa vichaa . na mama anatupiwa maradhi ya ajabu kupona mpka tu mkimbize kwenye maombi ila mahosipital haponi. Mm mdogo wa mwisho ndio napambambana na maombi ila Ajira nimefungiwa nina miaka 7 sina ajira nimeapply mpaka nazeeka wengu wote tulio maliza washa jenga washa oa wana magari na kazi na bishara mm nateseka hata mia2 kuishika ni shida..

Kuna mwana mke wa Baba ndio anatufanyia hivi maana baba alimuoa kimada flan akaachana na mama yangu leo kimada ndio anatutesa ili tusi ulizie haki wala tusipate kazi eti anahisi tukiwa na nguvu kiuchumi tuta msumbua kisheria.. JAMAN OMBENI MATESO MENGINE ILA SIYO HIZI FEDHEA NINAZO PITIA..

NAOMBENI NUMBER ZA HUYO MTU NIKAMALIZE HUYU MTU ILI NIWATAFUTIE TIBA NDUGU MAANA NIKISEMA NIHANGAIKE KWA SASA HUYU MWANAMKE ANA JUA NA KWENDA KUONGEZA MADAWA..

NILISHA ENDA KWA WATUMISHI WAKUBWA KIROHO WAKA NIPA PICHA YOTE YA YANAYO ENDELEA KWENYE FAMILIA..


NIMESALI SANA ILA BADO NATESWA NA NDUGU WANA ANAGAMIZWA NA KITESWA SANA.
Leta mrejesho mkuu
 
Back
Top Bottom