Jinsi nilivyotamani kumuua jirani yangu aliyenipora sehemu ya kiwanja changu

Una matatizo makubwa yanayokujia.
Kile unachowatumia wenzio, kikishamaliza kazi huko kilikotumwa kitarudia na kukukula live!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].daah ,pole mkuu kwa kuzulumiwa haki yako
 
Waganga wako walimuonea huruma wakakushauri usimuue.... Leo unaomba kuelekezwa kwa mganga mzuri ummalize.

Sasa kwanini usirudi kwa hao waganga ukiwa na msimamo wa kuua? Nijuavyo mimi mganga wa kweli husikiliza shida ya mteja... Hawanaga mbili!

Unachokitaka ndicho anachokifanya
 
M rufiji uko sio poa aseee
 
Haki huwa inauma sana, ila adhabu uliyompa ni bora ungumuua kbs maana sasa hv ukimuona roho haiumi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…