Jinsi nilivyotamani kumuua jirani yangu aliyenipora sehemu ya kiwanja changu

Kummaliza kwa tunguli sio uanaume, mmalize kikomando kipensi.. Nenda kavurumushe m'bomu wa samaki pale kwenye mjengo wake.. Hakikisha umevaa usongo, na umejipaka masizi kama anodi shozniga katika anodi ya jeni..

[emoji23][emoji1787]
 
Uyo mzee yupo huku
 
Sasa hiyo ardhi alikurudishia?
 
Kama ni hivyo basi chote alichofanya ni ubatili
Ninaishi na vijana 5, kati yao watatu ni wanga. Wenyewe wamediriki kusema hivyo. Na hunipa story za jinsi wanavyopaa na kufanya usiku. WAo waliniambia kwa kauli zao kuwa hawatakiwi kufanya chochote cha maendeleo, zaidi ya kuwachezea watu na kuwarudisha nyuma.

Nyuma ya pazia wachawi ni matajiri, ila pesa zo ni kwa ajili ya kukuza uchawi wao na kutoa rushwa iwapo watanasa. Waanjuana, na wanaushirikiano wa ajabu.
 
Safi sana hiyo.
Yani mimi kwa vile sina pesa ya kuwalipa waganga lakini ningekua nishammaliza yule LECTURER.
 
Mimi nilitaka kumtia discipline mkuu wangu wa idara nikavionea huruma vitoto vyake vinavyosoma English medium!!! Yan alikua aingie chini ya tandam apasukie kwenye front excel!!! Na boxer yake !! Yan babu alishaseti mitambo!!!
 
Duh. Naona watu wanaogopa. Kuchangia..

Nilikwenda kwa mganga nimpate mpenz waaapi..lakini mambo tunayofanyiana sehem za Kazi watu ni wa hovyo sana
MTU akiingia kwenye 18 zangu simuachi aisee kuna watu wakuda sana aisee
 
Kwann ufungwe !?? Dawa ni kumtengenezea mzinga
 
Mh! KWANN usingemuachia Mungu tu?! [emoji144]So sad
 
Kummaliza kwa tunguli sio uanaume, mmalize kikomando kipensi.. Nenda kavurumushe m'bomu wa samaki pale kwenye mjengo wake.. Hakikisha umevaa usongo, na umejipaka masizi kama anodi shozniga katika anodi ya jeni..

[emoji23][emoji1787]
I'm back๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ