makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Uyo mzee yupo hukuHabari wadau..!
Dunia imejaa dhuruma na chuki sana kama haujawai kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.
Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.
Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakutwa eneo langu nusu limejengwa ,nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.
Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu nilikuwa na tafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauli nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu ss hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa.
Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamama ndio nafsi yangu itaburudika ?
Wau je kama alimegea majirani wanaomzunguka?Say wawili ?[emoji3]Kigogo wa TRA anaeumwa na kukatwa miguu, aliyejenga Kibaha mnaweza kuunganisha dots.
Sasa hiyo ardhi alikurudishia?Habari wadau..!
Dunia imejaa dhuruma na chuki sana kama haujawai kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.
Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.
Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakutwa eneo langu nusu limejengwa ,nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.
Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu nilikuwa na tafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauli nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu ss hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa.
Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamama ndio nafsi yangu itaburudika ?
Siku hizi naona hawataki kumuachia Mungu, maana watu wamekua kibri sababu ya Uzima.Kwani ule utaratibu wa kumuachia Mungu ishu kama hizi siku izi umeishia wapi..?
Sasa kwa nini unahangaika kwa waganga wakati ilibidi apate ujumbe kuwa kinachomtesa sasa ni kuvamia eneo la mtu?Kilimegwa hajajukua chote !
Wanga hawanaga hiyo gut.Sasa kwa nini unahangaika kwa waganga wakati ilibidi apate ujumbe kuwa kinachomtesa sasa ni kuvamia eneo la mtu?
Kama ni hivyo basi chote alichofanya ni ubatiliWanga hawanaga hiyo gut.
Ninaishi na vijana 5, kati yao watatu ni wanga. Wenyewe wamediriki kusema hivyo. Na hunipa story za jinsi wanavyopaa na kufanya usiku. WAo waliniambia kwa kauli zao kuwa hawatakiwi kufanya chochote cha maendeleo, zaidi ya kuwachezea watu na kuwarudisha nyuma.Kama ni hivyo basi chote alichofanya ni ubatili
Mimi nilitaka kumtia discipline mkuu wangu wa idara nikavionea huruma vitoto vyake vinavyosoma English medium!!! Yan alikua aingie chini ya tandam apasukie kwenye front excel!!! Na boxer yake !! Yan babu alishaseti mitambo!!!Habari wadau..!
Dunia imejaa dhuruma na chuki sana kama haujawai kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.
Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.
Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakutwa eneo langu nusu limejengwa ,nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.
Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa.
Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamama ndio nafsi yangu itaburudika ?
MTU akiingia kwenye 18 zangu simuachi aisee kuna watu wakuda sana aiseeDuh. Naona watu wanaogopa. Kuchangia..
Nilikwenda kwa mganga nimpate mpenz waaapi..lakini mambo tunayofanyiana sehem za Kazi watu ni wa hovyo sana
Kwann ufungwe !?? Dawa ni kumtengenezea mzingaTabu ya nini kujipa dhambi mara mbili mbili,we nenda home kwake na dumu la petroli tia kiberiti maliza kazi,jisalimishe polisi waambie wasipate tabu ya uchunguzi wakufunge moja kwa moja tena chagua gereza la mng'aro nitakuunganisha na bwana jela akukabidhi kwa mnyapara mmoja mkarimu sana,atakupa chochote unachopenda yani utaishi jela kama uko home vile.
Mungu anatabia ya kucheleweshaKwani ule utaratibu wa kumuachia Mungu ishu kama hizi siku izi umeishia wapi..?
Mh! KWANN usingemuachia Mungu tu?! [emoji144]So sadHabari wadau..!
Dunia imejaa dhuruma na chuki sana kama haujawai kuua ipo siku utatamani kuua kama vile ngamia ayatamanivyo maji jangwani.
Kuna kipindi nilinunua kiwanja changu kule Kibaha kwa hela za kuunga unga ila karibu yangu alikuwapo kigogo mmoja wa TRA ambaye jirani yangu.
Hauwezi amini nilikaa miaka miwili bila kutembelea siku nilipofika site nikakutwa eneo langu nusu limejengwa ,nikaenda kushitaki sheria ikapindishwa ikala kwangu.
Hapo nikaanza sasa kuutamani uchawi na ubaya wake ikabidi niingie chimbo kuwasaka wazee wa tunguli nilikuwa ma hasira asikwambie mtu nilikuwa natafuta mganga wa kunisaidia kumuua kabisa huyu jamaa lakini kwa kila mganga niliyeenda alikuwa na huruma walinishauri nimpe mateso tu mpaka aombe radhi nilimpiga kombola moja tu sasa hivi yupo ndani tu ajulikani anaumwa nini kapoteza miguu yote miwili na anachoumwa hakijulikani ,kidogo sasa moyo wangu una amani,lakini bado natamani nimmalize kabisa.
Naombeni ushauri wadau nipate mganga mzuri nimmalize kabisa huyu jamama ndio nafsi yangu itaburudika ?
I'm back๐๐๐๐Kummaliza kwa tunguli sio uanaume, mmalize kikomando kipensi.. Nenda kavurumushe m'bomu wa samaki pale kwenye mjengo wake.. Hakikisha umevaa usongo, na umejipaka masizi kama anodi shozniga katika anodi ya jeni..
[emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani umenifanya nicheke kwa sauti pekeyangu haa haa haaaMpe kadi ya CCM
Usipommaliza atakuja kukumaliza wewe akiinukia,,Ndio maana nataka namalize mchezo kabisa