Jinsi Putin alivyoibadilisha Urusi kuwa na nguvu ya kibabe ulimwenguni

Najua tafauti baina ya USSR na Russia lakini usijidanganye kwamba Russia imepungua nguvu zake.

Bado anao mkono wa chuma kwa yale mataifa yote yaliyokuwa chini ya himaya ya USSR na hawafurukuti kwa lo lote lile.
Mkuu Russia ilianguka baada ya kuvunjika kwa USSR ......but kuingia kwa Vladimir Putin......miaka ya 90 kumeirejesha Russia....kwenye nguvu zake dunian
 
Mkuu....labda Kama haujaelewa..chanzo cha huu mgogoro......... Russia haitaki influence ya Ukraine kiuchumi .....but ni interest za kiusalama ...kutokana na baadhi ya mikataba waliyoweka ...kumaliza Vita barid
 
NATO ni mjumuiko wa mataifa zaidi ya matano yaliyo jiunga ili kumkabili urusi... sasa huu wa nato ndio uoga sasa...
Kabisa mkuu.......Sasa..mfano ...Russia atengeneza allience yake ...+ China. + Irani. + North korea....vip mizan itakaaje
 
Unajua yule Mzee wa Ak 47 Mikhail Kalashnikov ameishi maisha ya kimaskin sana japokua silaha aliyoivumbua ni maarufu

mwaka 2012 alikua analalamika silaha aliyoitengeneza yeye hafaidiki nayo hata cent moja ana wish angekua western world
Daaah ...Basi walimfanyia ukatili
 
Upo deep mkuu
 
Kuna mbibi fulani wa Ukraine alihojiwa na BBC wakati wanapewa silaha akasema yeye anachukua silaha ila haamini kama kuna mtu anaweza vamia ndugu zake [emoji13][emoji13]
[emoji23][emoji23][emoji23]kwamba Bibi ni pro Russian
 
nyie nchini mwenu ambapo sio wajamaa mupo busy na nn?
 
wala uchumi sio kil kitu kwenye kuifanya nchi ama taifa fulani liwe upande fulani kama unavyodai mbona CUB VENEZEVUELA wapo karibu na US ila wapo upande wa RUSSIA?
mmemezeshwa prooaganda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Putin awekeze kuinua wananchi wake kiuchumi aachane na mambo ya Kununua silaha za kivita, huwezi amini Canada yenye watu million 30+ imewapita Russia kwa GDP yenye watu million 130+
Kuna watu wanaona miaka 100 ijayo Putin anaona miaka 200 ijayo ya taifa lake..MSM haziwezi eleza ukweli huo.
 
wala uchumi sio kil kitu kwenye kuifanya nchi ama taifa fulani liwe upande fulani kama unavyodai mbona CUB VENEZEVUELA wapo karibu na US ila wapo upande wa RUSSIA?
mmemezeshwa prooaganda[emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa Venezuela si sawa na somalia Hana faida yeyote yaan sio potential
 
sasa mkuu,kati ya nchi ulizotaja ukilinganisha na russia nani anaheshimika na kuogopwa zaidi,mipaka yako ni muhimu sana..
 
Angekuwa amejenga taifa lenye nguvu angekuwa haogopi Ukraine kujiunga na EU na NATO. Halafu maisha ya watu ni ya hali ya chini sana; kuna matajiri wachache tu. Alipopota mafuta na gesi, pesa yote akapeleka kwenye jeshi. Nchi haina barabara za maana za kuunganisha miji. Ni sehemu chache tu zilizoko Magharibi maneo ya Moscow na St Petersbug ndiko kuna maisha; ukishafika Ufa kutokea Mosco unakutana na barabara za hovyo sana kuliko hata za Burundi. Kwa mfano angalia hizi Highway za kutoka Ufa kwenda sehemu nyingine ispokuwa kwenda Moscow.



 
Mkuu Russia ilianguka baada ya kuvunjika kwa USSR ......but kuingia kwa Vladimir Putin......miaka ya 90 kumeirejesha Russia....kwenye nguvu zake dunian
Ndiyo utasema iliyumba kipindi cha Boris Yeltsin kwa vile yule hakuwa na muelekeo wo wote na kuna wakati fulani Georgia ilikuwa na nguvu sana lakini sasa kimya.
 
Yaani hao warusi ni watu bure kabisa yaani barabara zao hamna tofauti na za kwetu na ndio wanang'ang'ania eti kupambana na nchi za magharibi, hawa jamaa wana akili kweli..!!

Hawa watu kumbe tatizo lao ni sawa na sisi, kukosa uongozi. Nchi kubwa yenye watu wenye akili na rasilimali lukuki kama Russia ndio inakuwa na barabara feki hivyo eti ndio Highway....!!

Kwa hali hii hawa jamaa wana safari ndefu sana kuja kufikia hatua ya maendeleo iliyokwisha fikiwa na nchi za magharibi labda wana karne mbili mbele au wapate viongozi wenye maono tofauti na walionao sasa kwani watawala walionao sasa hawana tofauti na akina Kim Jong Un.
 
Hii barabara ni kama Arusha-Moshi, hamna tofauti. Eti hii ndio Highway na hawa ndio wanawakomalia nchi za magharibi.

Hii ndio shida ya nchi zinazotawaliwa kidikteta na ndio kielelezo tosha cha kutuonyesha kwamba maendeleo hayawezi kuletwa kwa ubabe kwa sababu hii ndio nchi inayoongoza duniani kwa kuwa na rasilimali nyingi za asili lakini hii ndio taswira yake kamili..😛😛😛
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…