Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

Movie ni gharama, ila wabongo tukiongeza ubunifu kidogo tunaweza kufanya kitu angalau.
Ubunifu bila gharama za kupendezesha ubunigu wako si kitu
hizo camera wabongo hatuwezi mudu labda serikali iingilie kati

 
Bongo bado wanaangaika sana na position za kushuti muvi wakati wenzetu wanatumia virtual reality
 
Huyu jamaa nilimkubali alipodandia ndege mara 8 nzima ili tu movie iwe realistic

Au alivyoendesha F18 kwenye Top Gun Maverick
Kuna pale anakimbia kwenye jengo la Burj khalifa kwenye Ghost protocol hamna blue screen ni live.
Halafu mambo anayofanya na umri wake wa 59yr haviendani jamaa hazeeki sijui yupoje.

Huyu na Jack Chan waliumbwa na Guts za aina yao and they don't fear anything
 
Bongo bado wanaangaika sana na position za kushuti muvi wakati wenzetu wanatumia virtual reality
Bongo bahati mbaya wstu tuna vipaji ila hatuna pa kuvionyeshea. Na hakuna faida kifedha
 
Jamaa ni hatari hawa
 
maajabu Zaid ni kuwa hio movie ya wonderwoman gal Gadot alikuwa na ujauzito wa miezi 5 ila waliweka alama tumboni ili wakati wa kufanya VFX nao uzibwe usionekane. Ingekuwa bongo sasa hapo wangesubiri had ajifungue au watafte mtu mwingine
Stunt double na VFX ilitumika hapo ni kama jinsi walivyofuta ndevu za Henry Cavil Kwenye muvi ya Justice League
 
Uko deep sana mkuu
 
Kama ni hivyo basi kwanini Screenwriter asiwe director yeye mwenyewe yaani kipengele cha Director wakiondoe. Maana Muvi hua ni wazo la Screenwriter
Umewaza nachowaza siku zote

Mwandishi ndio ana picha nzima kuliko director
 
Hapa UNADANGANYA UMMA. TENA UONGO WA KITOTO. HUYO MPINGA KRISTO WALISHAMUONA WAPI? HATA YESU HAMNA PICHA YAKE. PLEASE USIPITILIZE KIASI HIKI. yaani kuna kipindi unachukulia kama wote ni vilaza humu 🤣. We unaifahamu sura ya mpinga kristo, mpinga kristo ni mfumo. Siyo mtu mmoja ataamka na kuanza kumpinga Kristo. Hao wa hivyo mbona wengi tu. We jamaa ulitafsiri uzi vizuri ila ukaanza kuharibu hapa kuchukulia kuwa upo na watoto wa darasa la 4 F pale kijiweni kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…