Jinsi TFF ilivyoamua kumuonea hadharani Feitoto na kuwatumikia Yanga Ni dhahiri zile ni hisia za bahasha kwenye ligi yetu

Jinsi TFF ilivyoamua kumuonea hadharani Feitoto na kuwatumikia Yanga Ni dhahiri zile ni hisia za bahasha kwenye ligi yetu

Ndugu mwandishi tulia kwanza! Hivi nanni anaweza kukubali kuweka kipengere cha kuvunja mkataba bila sababu? Mbona mnafanya mambo kihisia nani hiyo?

Hakuna mkataba wa mchezaji yeyote Dunian ambao unakosa kipengere cha kiterminate mkataba kwa kila upande, ila lazima kuwe na sababu zitazopelekea kuvunjwa kwa mkataba uo! Msije mkadhan hiko kipengere kitatumika eti kwasababu kuna ofa nzuri umepata basi uamke ukavunje mkataba, usije ukadhan hicho kipengere kiko uchi namna hiyo!

Onyango kipindi Mgunda hajaingia Simba alikuwa anakosa namba, unakumbuka iliibuka tetesi hapa kutaka kuondoka? Unajua angeondokaje? Basi nakuambia moja ya kipengere hichohicho ndicho akitaka kukitumia kwasababu alikuwa hapangwi, ila Onyango alikaa na waajiri wake wakayamaliza ila sio utoto kama wa Feisal kuwa umelala umeamka asubh bas unaenda kuterminate mkataba! Hakuna uo mwanya aisee.

Mwisho Feisal ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba sio kwa mujibu wa hisia, Feisal atulize kitako atafute wanajua sheria aachane na washauri wabovu kama nyinyi mtampotosha na atapotea.
Sio kila kitu ni cha kukaa na mwajir, mnapenda sana reference ya onyangoy,, ngja aende CAS atakapo waumbua yanga na TFf yenu..suala hili limetatuliwa kisasa tu, huku sheria zikiwekwa pembeni.. kwanini hadi Leo hakuna ufafanuz wa kisheria... Mpira ni biashara huwez kulazimisha patnership katika biashara Kama maridhiano hayapo..fei aliweka wazi kipengeëele alichotumia,, hao tifutifu wameweka vipengeële walivyotumia?? Badala ya kutoa ufafanuzi kisheria wanafanya media tour kweli??

Uliwah kuona wapi hakimu anamfunga mtuhumiwa bila kutumia vifungu vya sheria.. au anamfunga Halfu anasema siku fulani atakuja kutoa ufafanuzi kwanini nimemfunga...?

CaS Dogo atapta haki yake htakama itaamliwa Bado ni mali ya yanga lkan hukumu yake itatoa mwelekeo Nini fei anatakiwa kufanya kuondoka ynga.. sio hao tifutifu wamekalia stor za vijiweni na za wanasiasa..
 
1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.

2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.

3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.

Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.


Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.

Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".

Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.

Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.

Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu

Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.

Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.

Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.
TFF wanafanya siasa kwenye hii ishu ya FeiToto manake Yanga walipeleka kesi kuhusiana na FeiToto kuvunja mkataba bila utaratibu(kwa mujibu wa Yanga)....sasa cha kushangaza majibu ya hukumu ya awali yanasema FeiToto ni mchezaji halali wa Yanga ambacho hicho ni kitu kingine kabisa nje na topic ya awali.
Hoja ilikua ni kama kweli FeiToto amevunja mkataba bila utaratibu basi aadhiniwe kwa mujibu wa kanuni zao sio kuja kutangaza hukumu eti FeiToto bado ni mchezaji halali wa Yanga kitu ambacho hakuna upande wowote uliopeleka mashtaka TFF kuhusu hilo
 
Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.
Ukiwa free agent haina ulazima wa kusubiri dirisha la usajili.... Unasajiliwa muda wowote
 
Sio kila kitu ni cha kukaa na mwajir, mnapenda sana reference ya onyangoy,, ngja aende CAS atakapo waumbua yanga na TFf yenu..suala hili limetatuliwa kisasa tu, huku sheria zikiwekwa pembeni.. kwanini hadi Leo hakuna ufafanuz wa kisheria... Mpira ni biashara huwez kulazimisha patnership katika biashara Kama maridhiano hayapo..fei aliweka wazi kipengeëele alichotumia,, hao tifutifu wameweka vipengeële walivyotumia?? Badala ya kutoa ufafanuzi kisheria wanafanya media tour kweli??

Uliwah kuona wapi hakimu anamfunga mtuhumiwa bila kutumia vifungu vya sheria.. au anamfunga Halfu anasema siku fulani atakuja kutoa ufafanuzi kwanini nimemfunga...?

CaS Dogo atapta haki yake htakama itaamliwa Bado ni mali ya yanga lkan hukumu yake itatoa mwelekeo Nini fei anatakiwa kufanya kuondoka ynga.. sio hao tifutifu wamekalia stor za vijiweni na za wanasiasa..
Hakuna sehemu Feisal anaweza kushinda ata hiyo kesi yake isikilizwe na Infantino Feisal hatoshinda zaidi atapewa onyo kali.
 
Yeye fei aliweka. Uwenda Alijua thamani yake itakuwa na atataka kuondoka bila bugudha. Na Yanga wakasaini wakiwa na Akili timamu. Wachezaji wengi hawana kipengere hicho.
Kama taasisi Kama ilijua masharti hayo ilitakiwa kujiandaa kwa lolote. Na uwenda walitumia kipengere hicho kumshawishi asaini kwa dau dogo. Nazani wewe ndio unaweka hisia mi nachotaka Tff watoe ufafanuzi tuache hizi porojo
 
1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.

2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.

3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.

Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.


Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.

Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".

Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.

Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.

Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu

Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.

Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.

Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.
inakuuma sana,mnataka vya kunyonga kila siku.
 
Fei kamtia hapo hapo, ukirudi huko Utopoloni umejimaliza.
 
1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.

2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.

3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.

Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.


Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.

Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".

Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.

Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.

Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu

Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.

Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.

Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.
Wewe kweli bonge la chiz.i!

Screenshot_20230110-084511_Instagram.jpg


 
Fei ni mpumbavu , hata kama kuna upenyo huo wa kuvunja mkataba , ni kuwakosea Yanga , tujiulize Yanga wamemkosea nn Fesal? Kulikuwa na malumbano yoyote ? Kama kulikuwa hamna shida kulikuwa na haja gani ya kuwatoroka....ikumbukwe mpira ni biashara , mchezaji anapopanda thaman , na ikatokea timu ikamhitaji tunatarajia mchezaji kulipwa vizur timu atakayokwenda ( hii ni faida Kwa mchezaji) , na pia timu anayotoka ambayo kimsingi ndo imempandisha thamani na wenyewe wapate , ..... Sasa yeye anatoroka kupitia mlango wa nyuma , timu ibaki haina kitu , ni Ujinga mkubwa Sana huo , dogo hafai hata kidogo , na hili ni tatizo la elimu duni Kwa hawa vijana ,

Yalianzia kwenye mziki akina harmonize, Ray-vanny ( yaan wanataka wachukue chote) na sasa yameanza kwenye mpira
Acha mahaba kwani Fei ni wa kwanza kuvunja Mkataba? Dejan Si alivunja na hakulipa chochote akaenda zake?
 
Acha mahaba kwani Fei ni wa kwanza kuvunja Mkataba? Dejan Si alivunja na hakulipa chochote akaenda zake?
Si bora Dejan alikaa kwenye mkataba kuwa mashart ya mkataba hayakutekelezwa na kwa mujibu wamkataba waoasharti hayo yasipotekelezwa automatic mkataba unakuwa umevunjika?
 
Yeye fei aliweka. Uwenda Alijua thamani yake itakuwa na atataka kuondoka bila bugudha. Na Yanga wakasaini wakiwa na Akili timamu. Wachezaji wengi hawana kipengere hicho.
Kama taasisi Kama ilijua masharti hayo ilitakiwa kujiandaa kwa lolote. Na uwenda walitumia kipengere hicho kumshawishi asaini kwa dau dogo. Nazani wewe ndio unaweka hisia mi nachotaka Tff watoe ufafanuzi tuache hizi porojo
Wewe ndiye yule Mwanasheria wa Fei?

Nenda shule kafute ujing.a wako.
 
Si bora Dejan alikaa kwenye mkataba kuwa mashart ya mkataba hayakutekelezwa na kwa mujibu wamkataba waoasharti hayo yasipotekelezwa automatic mkataba unakuwa umevunjika?
Mkuu HAKUNA Mkataba USIOVUNJIKA, HAKUNA!!!!!! Tatizo tunahangaika kujadili Mkataba ambao hatujauona wala kuusoma kujua terms and conditions zake
 
Acha mahaba kwani Fei ni wa kwanza kuvunja Mkataba? Dejan Si alivunja na hakulipa chochote akaenda zake?
Dejan alitoa sababu ya kuvunja mkataba , wote akina Ronaldo inajulikana sababu , Kwa Fei Ni tofaut kabisa , uhuni uhuni tuuu , nashauri Yanga wambane mpak kende la mwisho, iwe funzo Kwa vijana wengine wa hovyo kama yeye
 
Dejan alitoa sababu ya kuvunja mkataba , wote akina Ronaldo inajulikana sababu , Kwa Fei Ni tofaut kabisa , uhuni uhuni tuuu , nashauri Yanga wambane mpak kende la mwisho, iwe funzo Kwa vijana wengine wa hovyo kama yeye
Swali umeuona huo mkataba? umeambiwa vipengere vilivyokiukwa? Kuna Kanuni iliyorejelewa kwenye kufikia maamuzi ya TFF?
 
1. Walianza na barua ya kingereza iliyomtoa uarabuni kwenye program zake wakitaka aje bila kubainisha makosa aliyoshitakiwa nayo ili awe tayari kuandaa utetezi wake. Barua ilikuwa fupi sana. Na kikubwa swala Hilo Feitoto angeweza kulijibu kwa maandishi tu bila kuwepo Sababu Ni la kimkataba. Lkn wanalazimisha arudi.

2. Wakaja na maamuzi yaliyo upande wa Yanga bila kushirikisha wapi Feitoto alikosea. Wakasema ufafanuzi Jana. Lkn maamuzi walishirikisha kwenye vyombo vya habari.

3. Jana hawakutoa ufafanuzi Bali Tuzo zilizoegemea Simba ili kuwazima washabiki wa Simba wanaofatilia swala la Feitoto.

Tff wanajua muda wa dirisha dogo Ni mfupi. Wanajua umuhimu wa uamuzi wa haraka kwa Feitoto kuliko Yanga. Dogo anatakiwa apate timu Kama akishinda. Kutotoa ufafanuzi tu baada ya masaa 72 baada ya hukumu kutolewa kunamyima fursa Feitoto kutafuta haki akiona ameonewa.


Hii Ni roho mbaya Kama sio ushetani. Toka hukumu ya Feitoto itolewe hakuna ata mwanasheria moja wa soka aliyeweza kuja kufafanua Ni vipengere vipi ambavyo vilimbana fei asivunje mkataba wake bila sababu wakati mkataba wake ulikuwa na vipengere hivyo.

Zaidi utasikia oh "mkataba hauvunjwi kihuni".

Fei aliweka kipengere Cha kuvunja mkataba bila Sababu kwa kulipa tsh m 100. (Nakumbusha bila Sababu) na mishahara mitatu.

Tulitegemea Tff ije iseme hakuna kipengere hicho kwenye mkataba wa Feitoto au itoe tafsiri ya hicho kipengere.

Kuvunja kwa Sababu zilizoanishwa na FIFA fei asingelipa chochote.. ikiwa Ni pamoja na kutolipwa mshahara au kukaa benchi 90% ya muda kwa mechi kumi bila sababu

Msitumie tuzo kwa Mgunda na Chama kuzima kimya kimya Swala la Feitoto.

Mliwapa muda kijanja Yanga wa kumrudisha bongo Feitoto ili wapate na gepu waongee nae. Nazani imeshindikana.

Ni muda Sasa wa swala lake kuwa wazi tu.

1) kuhusu barua kuandikwa kingereza, kwani mkataba ulikuwa ni wa kiswahili? Feisal huyo huyo kavunja mkataba uliokuwa umeandikwa kwa kingereza hivyo inawezekana lugha anaijua au kuna mahala anaweza pata msaada.

2)Wewe ulikuwa ndiye mwanasheria wa Feitoto? Kama sio mwanasheria wake je hiyo nguvu yakusema kuwa hajashirikishwa upande wa pili unautoa wapi? Au ulishiriki kwenye majadiliano?
3) kwahiyo hii kesi wanayoshupaza nayo ni wana Simba pekee?

Umetumia hisia sana kutoa hoja zako
 
Back
Top Bottom