Military Genius
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 761
- 1,464
Sawa mkuu mimi nimekuelewa
Ukiona hivyo basi ujue huyo mtu amejawa na dharau na kiburi kiasi kwamba kila ambacho aidha wenyeji wake walimtahadharisha na yeye kujibu kwani watanifanya nini. Ndivyo tulivyo watazania, tunakosea lakini hatuoni makosa yetu zaido ya kuona pale tunapowajibishwa kama tunaonewa.