Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

ha ha ha,ila mleta mada mchonganishi tu,nijuavyo futari huanza kupikwa mchana,sasa sielewi harufu ya futari na ya lunch zina tofauti gani?,au hiyo futari wenzetu huziandalia kwa maalimu?
 
Hivi hizi mada za kiuchonganishi zitakwisha lini? Maana yanayoongelewa ni kinyume na uhalisia na bado watu wanaamini, na wengi wa wanaoamini ni wale ambao Zanzibar wanaisikia kwenye radio. Hata kama ni kufinga katika mwezi mtukufu wa Ramadhan lakini kwa wale ambao sio dini yao haiwapasi kufungishwa kwa lazima na wala sheria haiwabani kula kwao ila inatakiwa staha kwa wenyeji au wenye mji husika. Sasa naona kuna wachafuzi ambao kazi yao ni kuchafua imani za wenzao then wao wanakaa pembeni kuangalia mchuano wa watu wanavyorushiana maneno humu. Dah
الجنونو فنونو!
Kula kwa staha ndo kukoje mkuu....hii nchi inatambua dini zote na wasio na dini...wewe kama dini yako inataka ufunge na mimi nimpagani unanipangiaje mimi jinsi ya kula...nikila njiani or kibarazani wewe yanakuhusu nini mi dini yangu si inaniruhusu....kama mimi kula hadharani inakuuma wewe njoo na wewe ule
 
Mazingira ya maisha hapa zanzibar kipindi hiki cha mfungo wa ramadan kwa wakristo ni magumu sana hasa kuhusu suala la chakula,kwa sisi ambao tuko kikazi huku na familia zetu ziko bara ni shida, mfano kupata chakula inabidi uende kwenye lile kanisa ambapo zamani kulikua na soko la watumwa,ukiwa mwanakwerekwe napo inabidi uende pale kanisani,ukiwa maeneo ya mbweni itabidi uende kanisani ndio kuna kimgahawa hapo utapata chakula,ila kwa siku ya leo kuna kitu kimenikera sana baada ya kukosa chakula kanisani ikabidi nipelekwe sehemu ya mafichoni kunapouzwa chakula,nimefika na chakula nimepata ila mazingira ya kukaa pamoja ulaji sio mzuri kwa sababu unakula kwa hofu kwamba muda wowote mnaweza kamatwa.na kama unafamilia yako huku basi kama mkeo anataka kupika ni marufuku kupikia nje inatakiwa kila kitu amalize humo humo ndani na ukikamatwa unapelekwa jela mpaka mwezi uishe ndio unaachiwa,lakini hivi vitu vinafanyika kwa ngozi nyeusi kwa nyeusi,ngozi nyeupe aiguswi na hii zihaka mzungu wanakula na kunywa muda wowote na hotel/ mabaa yao yako wazi muda wote,ombi langu kwa waislamu ni kwamba waache tabia za unafiki wa kubagua maana kwa mtindo huu hata thwawabu sidhani kama mtapata.

Uislamu ni dini ya ajabu.
 
Na tutaendelea na utaratibu wetu wazanzibar viboko vitawahusu wote wanaokula hadharani au kwa kujionyesha
..
 
Kula kwa staha ndo kukoje mkuu....hii nchi inatambua dini zote na wasio na dini...wewe kama dini yako inataka ufunge na mimi nimpagani unanipangiaje mimi jinsi ya kula...nikila njiani or kibarazani wewe yanakuhusu nini mi dini yangu si inaniruhusu....kama mimi kula hadharani inakuuma wewe njoo na wewe ule
Kula kwa staha, ni utaratibu wa kula bila kujionesha, au wakati wa chakula kaa ndani kwako na familia yako ikiwa mezani au chini kwenye mkeka lakini bila kujionesha kwa maana kila mtu anajua kuwa tunakula ndio maana tunaishi. Kwani tukifanya hivyo tutapungukiwa nini?!
 
Dini ya kristu hii washazoea hata kutamaniana kwenye nyumba zao za ibada mavaz yao hasa wadada ni ushawahi mtupu... ko suala la kula hadharani wanaona normal
. Sasa ndugu zangu dini ni sheria siyo siasa /democracy
ha ha ha,ila mleta mada mchonganishi tu,nijuavyo futari huanza kupikwa mchana,sasa sielewi harufu ya futari na ya lunch zina tofauti gani?,au hiyo futari wenzetu huziandalia kwa maalimu?
 
Kula kwa staha, ni utaratibu wa kula bila kujionesha, au wakati wa chakula kaa ndani kwako na familia yako ikiwa mezani au chini kwenye mkeka lakini bila kujionesha kwa maana kila mtu anajua kuwa tunakula ndio maana tunaishi. Kwani tukifanya hivyo tutapungukiwa nini?!
Mkuu kwani nikila hadharani nikionekana kuna ubaya gani...nakuwa nimevunja sheria gani ya nchi???
 
Lakin ni mtu kaandk kulichomkut ajgombanish mtu
Ukiona hivyo basi ujue huyo mtu amejawa na dharau na kiburi kiasi kwamba kila ambacho aidha wenyeji wake walimtahadharisha na yeye kujibu kwani watanifanya nini. Ndivyo tulivyo watazania, tunakosea lakini hatuoni makosa yetu zaido ya kuona pale tunapowajibishwa kama tunaonewa.
 
Kula kwa staha ndo kukoje mkuu....hii nchi inatambua dini zote na wasio na dini...wewe kama dini yako inataka ufunge na mimi nimpagani unanipangiaje mimi jinsi ya kula...nikila njiani or kibarazani wewe yanakuhusu nini mi dini yangu si inaniruhusu....kama mimi kula hadharani inakuuma wewe njoo na wewe ule
Sasa ww njoo huku zanzibar alafu alafu ule njiani au hadharani uone tutavyo kufanya...
 
Mkuu kwani nikila hadharani nikionekana kuna ubaya gani...nakuwa nimevunja sheria gani ya nchi???
Wanasema ukienda kwenye mji wa vipofu nawe jifanye chongo mkuu, sasa we unataka kujifanya una macho wakati mamlaka zipo na zinajua watu wote kwenye mji huo ni vipofu.
 
Dini ya kristu hii washazoea hata kutamaniana kwenye nyumba zao za ibada mavaz yao hasa wadada ni ushawahi mtupu... ko suala la kula hadharani wanaona normal
. Sasa ndugu zangu dini ni sheria siyo siasa /democracy
Dini sio sheria mkuu...ndo mana katiba yetu inatutambua hata sisi tusio na dini..maswala yenu ya sheria za dini yapelekeni huko makanisani na misikitini kwenu...huku tunaishi kwa kufuata sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania
 
Back
Top Bottom