Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe wakati mwengine uwe unaficha ujinga wako.
Kwani mlilazimishwa kwenda kuteseka huko au tamaa zenu ndiyo zinawapeleka.Hii ni dhambi kubwa sana ya kuwatesa wale wasiokuwa waislamu kwa kisingizio cha Ramadhan.
Kukosa kwako dini si kibali cha kuvuruga ibada za wenye diniDini sio sheria mkuu...ndo mana katiba yetu inatutambua hata sisi tusio na dini..maswala yenu ya sheria za dini yapelekeni huko makanisani na misikitini kwenu...huku tunaishi kwa kufuata sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania
Ndo mana nakwambia huo ndo upuuzi wa hizi dini...kama muislamu anafanya adhana zake huko miskitini we mkristo yanakuhusu nini...akifanya adhana zake anavunja sheria gani ya nchi??huu ujinga kazima tuupingeMkuu kitu ambacho hakipo ukitaka kukiweka hivi sasa ni tatizo. Lakini umeona wapi ndani ya Zanzibar adhana muda wote na watu wakawa wanakasirika kuwa wanakerwa na kelele zake, lakini katika miji mengine si wanasema wanafanyiwa kelele na adhana? Lakini hapo hapo kuna bar jirani na inapiga mziki usiku kucha watu hao hao hawasemi kuwa wanakerwa na kelele za mziki kutoka bar. Ndipo nikasema usilazimishe kitu ambacho kipo katika mji wa watu kifanane na katika mji wako au kilichopo katika mji wako kifanane na katika mji wa watu. Upo katika mji wa watu fuata taratibu zao na hutogombana nao. Faqat.
Msome huyo jamaa halafu useme kama haya mambo hayapo.
Si uende hoteli wanazokula wazungu umekatazwa?Sinaga ujinga mie nasimamia haki na uhuru wa Watanzania wote wale. Zanzibar kunajulikana kwamba kuna wageni chngu nzima wa kutoka Bara na Watalii kutoka nchi nyingi duniani halafu eti kwa kuwa wailamu wamefunga basi muwanyime wasiokuwa waislamu haki yao ya kwenda kupata chakula sehemu waitakayo safi na wanakula kwa raha zao. Ni aya ipi iliyoandika kwamba Waislamu wana haki ya kuwazuia wasiokuwa waislamu kupata milo yao mchana wakati wa Ramadhani? Acheni kutenda dhambi kwa wasio Waislamu kwa kusingizia kufunga.
Na wewe taratibu za dini yako si kibali cha kuvuruga utaratibu wangu wa maisha usiovunja sheria za nchi....na kula kwangu wewe yanakuhusu nini...kwani mi ndo nimekutuma ushinde njaa??kama unaona wivu na wewe si uleKukosa kwako dini si kibali cha kuvuruga ibada za wenye dini
Sasa utaupinga vipi ustaarabu, tamaduni, mila, silka na desturi za wenzio ambazo zipo miaka na miaka?Ndo mana nakwambia huo ndo upuuzi wa hizi dini...kama muislamu anafanya adhana zake huko miskitini we mkristo yanakuhusu nini...akifanya adhana zake anavunja sheria gani ya nchi??huu ujinga kazima tuupinge
Hata wao ni utaratibu wao wa maisha, sasa endelea na kiburi chako mwishowe tutajua nani kapata nini !Na wewe taratibu za dini yako si kibali cha kuvuruga utaratibu wangu wa maisha usiovunja sheria za nchi
!
Kwani mlilazimishwa kwenda kuteseka huko au tamaa zenu ndiyo zinawapeleka.
Ndo mana nakwambia huo ndo upuuzi wa hizi dini...kama muislamu anafanya adhana zake huko miskitini we mkristo yanakuhusu nini...akifanya adhana zake anavunja sheria gani ya nchi??huu ujinga kazima tuupinge
Ndo mana kuepusha hayo yote serikali imeamua kutunga sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania ambazo wote lazima tuzifuateSasa utaupinga vipi ustaarabu, tamaduni, mila, silka na desturi za wenzio ambazo zipo miaka na miaka?
Na ambazo we mwenyewe umekwenda ugenini na umezikuta?
Hakuna kulazimishana, haki na batili viko wazi. Aidha uamue kukufuru au kushukuru.Dini ya kulazimishana .
Na kwa Zanzibar kuna sheria za Zanzibar na ndio zinazofuatwa. Na vile vile sio sheria zote za Jamhuri zinafuatwa Zanzibar. Kama huamini basiNdo mana kuepusha hayo yote serikali imeamua kutunga sheria za jamuhuri ya muungano wa tanzania ambazo wote lazima tuzifuate
Na bado mtapata tabu Sana.. Wapenda kula.. Ni fimbo tuNa hakuna aya yoyote ile ambayo wanaweza kuiweka hapa ili kuhalalisha huo upuuzi wao wa kuzuia mahoteli mchana yasifunguliwe ili wasio waislamu wasipate sehemu za kupata chakula bila bugugha yoyote ile. Mbona Bara hakuna huo upuuzi?
Nenda Kariakoo ukaone wewe, mpumbavu mwili mzima !Na hakuna aya yoyote ile ambayo wanaweza kuiweka hapa ili kuhalalisha huo upuuzi wao wa kuzuia mahoteli mchana yasifunguliwe ili wasio waislamu wasipate sehemu za kupata chakula bila bugugha yoyote ile. Mbona Bara hakuna huo upuuzi?
Onesha aya Yesu anasema "Mimi Mungu".Na hakuna aya yoyote ile ambayo wanaweza kuiweka hapa ili kuhalalisha huo upuuzi wao wa kuzuia mahoteli mchana yasifunguliwe ili wasio waislamu wasipate sehemu za kupata chakula bila bugugha yoyote ile. Mbona Bara hakuna huo upuuzi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na bado mtapata tabu Sana.. Wapenda kula.. Ni fimbo tu