Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Jinsi tunavyoishi wakristo hapa Zanzibar kipindi hiki cha mfungo

Ndio mnalazimisha kila mtu afate hiyo dini ya mohamedi.
Kwani lazima uende Zanzibar kipindi cha mfungo? Si baki zako huko kwenu Mbwinde, uwe unakula huku unatembea kama mbuzi walioona maganda ya fenesi na wasio na mwenyewe wanaozurura kwenye stendi kuu ya mabasi. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]
 
Who is dr shein??...
Raisi wa tanzania na amiri jeshi mkuu ni mmoja tu anaitwa magufuli...zanzbar ni sehemu ya tanzania na hakuna nchi inayoitwa zanzbar ila kuna serikali ya mapinduzi ya zanzbar
Kila shemeu yenye serikali basi ujue kuna watu pia
 
Kama hujui basi uwe unaulizaga na sio kubisha tu. Ukiambiwa hadi ukweli unabisha, basi endelea kubisha ila kaa ukijua kuna katiba ya Zanzibar ambayo sheria Zanzibar zinatungwa na Baraza la Wawakilishi. Ndio maana hafi leo hii Zanzibar hata ukikutwa umekaa na mtoto wa watu hata kama ni mjane unafunguliwa kesi wakati bara inaonekana ni kitu cha kawaida.
Hahaaaah unanichekesha mkuu....nipe reference ya kesi ya mtu kushtakiwa mahakamani kwa kukutwa kakaa na mjane na alihukumiwaje na mahakama??
 
Naona mnatoana ngeu humu
Wengine sisi watazamaji tu!
Wenye dini yao huko wametulia tuli wote.....

Ova
 
nina ishi south africa huku dini ni yako mwenyewe hakuna anaye kubuguzi yani kitu kinacho hitwa haki ya binadamu huku wamekitendea haki.
mpaka muislamu kafunga lakini anauza mgahawa wake watu wanakula,huku kila mtu yupo huru [emoji23]
Unapo zungumzia neno HAKI,ubaguzi tena ukazidi kuseama SA wamevitendea haki ----nimekudharau kiwango cha mnara ulio juu---south afrika ndo inch inayo ongoza kwa ubaguzi afrika tena ubaguzi wakutoa damu kwa kuchinja na kupiga mpka kuua-nakupa fursa yakutaja inchi zengine ila si kwa ulio itaja---kadanganye unao waona mazuzu ila si humu jf mkuu-humu ni great thinkers watupuu
 
Waislam hawafungi wanabadilishaga Muda kula tu badala ya kula mchana wanakula usiku.

Unafuturu saa 1 jioni (sawa na breakfast)

Unakula daku saa 4 usiku (Sawa na Lunch)

Unakula daku saa 10 alfajiri (hii chakula cha usiku) [emoji16][emoji16] hapa umefunga nini? Kama sio kuibiana.

Ukifunga ndani ya saa 24 kula mara moja tu, hio ndio kujiweka ndani ya nadhiri. Ila hii yakushindilia chakula masaa mawili kabla ya wafanyakazi kunywa breakfast waende kazini unasema umefunga kumbe umekula alfajiri ni mbwembwe
Hahaaa...wanabadili tu majira ya kula lkn mfumo mzima wa ulaji uko pale pale.
 
Safi sana
Akili zako ndipo zilipoishia hapo. Kuabudu kwako hakustahili kuingilia haki ya binadamu mwingine kupata haki zake za kibinadamu kama kupata mlo wakati wewe umefunga. Ni wapumbavu kama wewe tu ndiyo mnapotoka na kuunga mkono huo ujinga. Jaribuni kupiga fimbo Bara muone kazi. Pumbafu.
 
Daaah!...? Mbavu zangu miye zinavunjika sana na majibu ya huu mtifuano
Mpumbavu babaako na mamaako. Kariakoo watu wanakula mchana bila shida acha uzushi wako. Hiyo sheria ya kulazimisha watu Bara ilitungwa lini na Bunge lipi? Juha mkubwa wewe
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Endekeza ujinga tuu !
Waislam mnatakiwa muelewe kitu kimoja kuwa binadamu wote tuliumbiwa majaribu yaani ili mradi wewe ni binadamu basi majaribu lazima yawe sehemu ya maisha yako na hautakiwi kuyakwepa wala kukata tamaa bali unatakiwa ukubaliane nayo na uyakabili na hapo ndipo utakapopimwa udhaifu au uimara wako sasa shida inakuja dini yenu nyie ina walakini sababu dini gani ambayo inakwepa majaribu

Yaani hayo ya kuona mtu anakula mbele yako ndo majaribu yenyewe hayo na kutamani au kutokutamani ndo kutaonyesha udhaifu au uimara wako kwahiyo kwa kifupi ni kwamba dini yenu inapenda raha yaani haitaki shida wakati hapa duniani hakuna raha tena mbinguni ndo kuna raha kwa watakaofanikiwa kwenda lakini vinginevyo hapa duniani tegemeeni mwinuko pia msipende mteremko tu
 
kama haya usemayo ni kweli basi itakuwa mamlaka za Zanzibar bado haziujui Uislamu!


Ile ni serikali ya mapinduzi zanzibar na wala si serikali ya kiislamu hivyo usishangae wao kutotekeleza maagizo ya Qur'an.

Katika Qur'an kwa waislamu wasiotakiwa kufunga ni Wasafiri na Wagonjwa. Sasa kwanini iwe ni haramu kuwepo na huduma za wazi za chakula kwa ajili ya watu hao??.

Isitoshe si kila mtu ni Muislamu ama awe mzungu au mswahili sasa unapotaka wale wasio waislamu wabanwe na mila za kiislamu hapo ni kukiuka mafundisho ya kiislamu yanayosema "laa ikraha fii diin", yaani "hakuna karaha katika dini", neno Ikraha pia linaweza kutafsiriwa kama "kulazimisha" na maana ya hayo maneno ikawa "hakuna kulazimishana katika (mambo) ya dini", hivyo kufunga migahawa ya vyakula ambapo wasiokuwa waislamu wangepata huduma ni sawa na kuwalazimisha watende mila za kiislamu au waathirike na mila za kiislamu ambapo sio sawa kulingana na mafundisho ya Uislamu.

Kumbuka kuna Waislamu, waumini wa kiislamu na kuna dini ya Uislamu.
 
Onesha aya Yesu anasema "Mimi Mungu".
Jesus spoke in parables, mafundisho yalikuwa ni ya mafumbo unabidi utafakari alichosema.
Ila makuhani/mafarisayo, wajuzi na wasomi wa vitabu na sheria za dini walikuwa wanamuelewa alichokuwa anaaminisha na ndo maana walisisitiza wamuue kwasababu machoni kwao yesu alitenda kosa kubwa kuliko yote la wakati huo, LA KUJIFANANISHA NA MUNGU"

YOHANA 10:29-33
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
30 Mimi na Baba tu umoja.
31 Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.
32 Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?
33 Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.

Pia Yohana 5:18
18 Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu.

Pia YOHANA 14:5-9
5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Kuna mistari mingine mingi ila hii niliyotoa inaonesha wajuzi wa dini/ma askofu wa wakati huo walikuwa kila wakimsikiliza yesu wa nasikia allkisema yeye ni Mungu ndo kitu kilichowakasirisha wakapanga kumua.
 
Mleta mada kasema hili ni kwa mtu wa rangi hii asili ya kiafrika tu ila kwa watu weupe au watalii weupe sheria hii hai wakamati......
Sasa kwanini wasifungue kesi mahakamani na kuidai haki yao? Kama wakristo wa bara wanahisi wanabaguliwa na wazungu wanaachiwa. Njia nyepesi ni mahakama tu, hapo wataipata haki yao.


Nangatukaa 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Unakula hadharani hali ukijua ni hadharani wakati huo huo ukijua jamii kubwa imo katika ibada ya funga, hayo ni makusudi ya makuruhu/maudhi. Hukumu yako inastahili kuwa papo kwa hapo !
Kwahiyo dini yenu inawaambia mkifunga hamtakiwi kuona watu wasiofunga wakila?
Kuna Aya inasema ivyo?
Kwahiyo hawa waislam wa dar wanavyofunga huku huduma za vyakula vina endelea na wengine paka wameajiriwa kwenye migahawa wanauza chakula wanakuwa wanafanya makosa?
 
Jesus spoke in parables, mafundisho yalikuwa ni ya mafumbo unabidi utafakari alichosema.
Ila makuhani/mafarisayo, wajuzi na wasomi wa vitabu na sheria za dini walikuwa wanamuelewa alichokuwa anaaminisha na ndo maana walisisitiza wamuue kwasababu machoni kwao yesu alitenda kosa kubwa kuliko yote la wakati huo, LA KUJIFANANISHA NA MUNGU"

YOHANA 10:29-33
29 Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote; wala hakuna mtu awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
30 Mimi na Baba tu umoja.
31 Basi Wayahudi wakaokota mawe tena ili wampige.
32 Yesu akawajibu, Kazi njema nyingi nimewaonyesha, zitokazo kwa Baba; kwa ajili ya kazi ipi katika hizo mnanipiga kwa mawe?
33 Wayahudi wakamjibu, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.

Pia Yohana 5:18
18 Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake, akijifanya sawa na Mungu.

Pia YOHANA 14:5-9
5 Tomaso akamwambia, Bwana, sisi hatujui uendako; nasi twaijuaje njia?
6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
7 Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.
8 Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.
9 Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

Kuna mistari mingine mingi ila hii niliyotoa inaonesha wajuzi wa dini/ma askofu wa wakati huo walikuwa kila wakimsikiliza yesu wa nasikia allkisema yeye ni Mungu ndo kitu kilichowakasirisha wakapanga kumua.
We punguani kweli kweli.

Unaambiwa onesha wapi Yesu kasema "Mimi Mungu" unakuja na kizungumkuti ambacho hata wewe hukielewi.
 
Back
Top Bottom