FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Tatizo lako nini? Unataka kufakamia mbele ya watu waliofunga? Si ukale na mkweo chumbani kwenu.Kwahiyo dini yenu inawaambia mkifunga hamtakiwi kuona watu wasiofunga wakila?
Kuna Aya inasema ivyo?
Kwahiyo hawa waislam wa dar wanavyofunga huku huduma za vyakula vina endelea na wengine paka wameajiriwa kwenye migahawa wanauza chakula wanakuwa wanafanya makosa?